TRC yaomba radhi baada ya Treni ya SGR kukwama njiani Januari 8, 2025

TRC yaomba radhi baada ya Treni ya SGR kukwama njiani Januari 8, 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Shirika la Reli Tanzania (TRC), linapenda kutoa pole kwa abiria waliokuwa wakisafiri kati ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma Januari 8, 2025 kufuatia usumbufu uliojitokeza kutokana na hitilafu ya kiufundi iliyotokea katika kituo cha Ihumwa Dodoma majira ya saa 5:38 usiku.

Tunajua kuwa safari zetu za kawaida kati ya Dar es Salaam na Dodoma zimeathirika, na tunatambua kuwa hii inaweza kuwa na athari kubwa kwenu.

Mafundi wetu wamepambana kurekebisha tatizo husika na kuhakikisha huduma zetu zinarejea kwenye hali ya kawaida.

Soma, Pia: Treni ya SGR ya Dar - Dodoma imesimama Morogoro kwa Saa Mbili, kisha imezima tena kabla ya kufika Dodoma

Treni zilizoathirika ni:

• Treni iliyoondoka saa 12:55 jioni siku ya Jumanne Januari 7, 2025 kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma, iliyotarajiwa kufika saa 5:01 usiku badala yake ilifika saa 7:00 usiku.

• Treni inayoondoka saa 11:15 asubuhi siku ya Jumatano Januari 8, 2025 kutoka Dodoma kuelekea Dar es Salaam, iliondoka saa 3:05 asubuhi.

• Treni iliyotakiwa kuondoka saa 12:00 asubuhi tarehe 8 Januari 2025 kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma, iliondoka saa 12:30 asubuhi.

• Treni iliyotakiwa kuondoka saa 3:30 asubuhi siku ya Jumatano Januari 8, 2025 kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma, iliondoka saa 11:55 asubuhi.
IMG_2399.jpeg
 
Kwanini sababu za chanzo cha tatizo hazitajwi? Je ni ngedere na bundi?
 
Shirika la Reli Tanzania (TRC), linapenda kutoa pole kwa abiria waliokuwa wakisafiri kati ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma Januari 8, 2025 kufuatia usumbufu uliojitokeza kutokana na hitilafu ya kiufundi iliyotokea katika kituo cha Ihumwa Dodoma majira ya saa 5:38 usiku.

Tunajua kuwa safari zetu za kawaida kati ya Dar es Salaam na Dodoma zimeathirika, na tunatambua kuwa hii inaweza kuwa na athari kubwa kwenu.

Mafundi wetu wamepambana kurekebisha tatizo husika na kuhakikisha huduma zetu zinarejea kwenye hali ya kawaida.

Soma, Pia: Treni ya SGR ya Dar - Dodoma imesimama Morogoro kwa Saa Mbili, kisha imezima tena kabla ya kufika Dodoma

Treni zilizoathirika ni:

• Treni iliyoondoka saa 12:55 jioni siku ya Jumanne Januari 7, 2025 kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma, iliyotarajiwa kufika saa 5:01 usiku badala yake ilifika saa 7:00 usiku.

• Treni inayoondoka saa 11:15 asubuhi siku ya Jumatano Januari 8, 2025 kutoka Dodoma kuelekea Dar es Salaam, iliondoka saa 3:05 asubuhi.

• Treni iliyotakiwa kuondoka saa 12:00 asubuhi tarehe 8 Januari 2025 kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma, iliondoka saa 12:30 asubuhi.

• Treni iliyotakiwa kuondoka saa 3:30 asubuhi siku ya Jumatano Januari 8, 2025 kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma, iliondoka saa 11:55 asubuhi.
View attachment 3196264
Nothing new!

Hakuna lolote lile jipya na la maana.
 
Yani kwa uandishi huu wa muda hapana kwakweli.
Na hapo wana uzoedu wa kuwa kazini kwa miaka mingi ila hata kuandika majira tu ni tatizo au ni mimi pekee zijazoelewa hizo 11, 12, na 3 asubuhi??
 
Snapinsta.app_472906890_1007715601396167_3806846736298234546_n_1080.jpg
TAARIFA KWA UMMA

MABADILIKO YA SAFARI ZA TRENI ZA ABIRIA KATI YA DAR ES SALAAM NA DODOMA

Dar es Salaam, Januari 8, 2025.

Shirika la Reli Tanzania (TRC), linapenda kutoa pole kwa abiria waliokuwa wakisafiri kati ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma Januari 8, 2025 kufuatia usumbufu uliojitokeza kutokana na hitilafu ya kiufundi iliyotokea katika kituo cha Ihumwa Dodoma majira ya saa 5:38 usiku. Tunajua kuwa safari zetu za kawaida kati ya Dar es Salaam na Dodoma zimeathirika, na tunatambua kuwa hii inaweza kuwa na athari kubwa kwenu.

Mafundi wetu wamepambana kurekebisha tatizo husika na kuhakikisha huduma zetu zinarejea kwenye hali ya kawaida.

Treni zilizoathirika ni treni iliyoondoka saa 12.55 jioni siku ya Jumanne Januari 7, 2025 kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma iliyotarajiwa kufika 5.01 usiku badala yake ilifika saa 7 usiku, treni inayoondoka saa 11.15 asubuhi siku ya Jumatano Januari 8, 2025 kutoka Dodoma kuelekea Dar es Salaam iliondoka saa 3.05 asubuhi, treni iliyotakiwa kuondoka saa 12.00 asubuhi tarehe 8 Januari 2025 kutoka Dar es Salaam kueleka Dodoma iliondoka saa 12.30 asubuhi na treni iliyotakiwa kuondoka saa 3.30 asubuhi siku ya Jumatano Januari 8, 2024 imeondoka saa 11.55 kutoka Dar es Salaam Kuelekea Dodoma.

Shirika linaendelea kuomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.

Imetolewa na Kitengo cha Habari na Uhusiano

Shirika la Reli Tanzania

Pia soma ~ Treni ya SGR ya Dar - Dodoma imesimama Morogoro kwa Saa Mbili, kisha imezima tena kabla ya kufika Dodoma
 
Naona mpaka muda huu ziko zinapishana barabarani hazilali leo
 
Naona mpaka muda huu ziko zinapishana barabarani hazilali leo
 
Sio tarehe 8 tu, hata 7 kulikuwa na shida na watu waliokuwa wanakuja Dar wakachelewa kufika.

Huu usafiri unapoteza ushawishi kutokana na hitilafu zisizokoma, watu wenye vikao na mikutano inayowahitaji kufika kwa wakati watatafuta mbadala wa usafiri.
 
Back
Top Bottom