Treasury Bills and Bonds VS FDR

Bills calculation ya BOT ndio kama hizo hapo. Usipoelewa mahala uliza

Bonds siweki. Wengi wanaonunua bonds wanalenga miaka mingi mbele na wanaweka hela nyingi isiyo ya mawazo na mara nyingi wanatumia kukopea
 
Kuna nyuzi nyingi zinaongelea hili swala.
 
Naomba kwa anaelewa anifafanulie kiundani ni jinsi gani Treasury bills and bonds zinavyofanya kazi. Pia kati ya hizo mbili ukilinganisha na Fixed Deposit Account. Assuming ni 100,000,000 nataka kuizungusha kupitia hizo njia.
NENDA KWENYE BOT WEB SITE HARAFU NENDA KWENYE BONDS CALCULATOR
 
Naomba kwa anaelewa anifafanulie kiundani ni jinsi gani Treasury bills and bonds zinavyofanya kazi. Pia kati ya hizo mbili ukilinganisha na Fixed Deposit Account. Assuming ni 100,000,000 nataka kuizungusha kupitia hizo njia.
Wekeza kwenye bonds mkuu. Kwa rate ya 15% per annum. Unaweza staafu mapema ukiweka hela ya kiwango hicho. Uwekezaji unawezekana kuanzia 2M. Unaweza ingia na kutoka anytime
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…