Masikini_Jeuri JF-Expert Member Joined Jan 19, 2010 Posts 6,829 Reaction score 1,303 Mar 19, 2012 #1 Massey - Ferguson 595 90HP 2WD Liliingizwa nchini Dec 2009 Liko katika hali nzuri na limefanya kazi; Iringa; Dodoma na Ruvu! Ni pm kwa anayehitaji MODS : nimeshindwa kuattach picha Naomba MODS mnipm niweke pich hapa kwa ajili ya wadau!
Massey - Ferguson 595 90HP 2WD Liliingizwa nchini Dec 2009 Liko katika hali nzuri na limefanya kazi; Iringa; Dodoma na Ruvu! Ni pm kwa anayehitaji MODS : nimeshindwa kuattach picha Naomba MODS mnipm niweke pich hapa kwa ajili ya wadau!
Kituko JF-Expert Member Joined Jan 12, 2009 Posts 9,555 Reaction score 9,357 Mar 19, 2012 #2 Masikini_Jeuri said: Massey - Ferguson 595 90HP 2WD Liliingizwa nchini Dec 2009 Liko katika hali nzuri na limefanya kazi; Iringa; Dodoma na Ruvu! Ni pm kwa anayehitaji MODS : nimeshindwa kuattach picha Click to expand... Mkuu, si ungeweka na Kabei basi
Masikini_Jeuri said: Massey - Ferguson 595 90HP 2WD Liliingizwa nchini Dec 2009 Liko katika hali nzuri na limefanya kazi; Iringa; Dodoma na Ruvu! Ni pm kwa anayehitaji MODS : nimeshindwa kuattach picha Click to expand... Mkuu, si ungeweka na Kabei basi
TIQO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2011 Posts 13,786 Reaction score 2,095 Mar 19, 2012 #3 Wazee wa kilimo kwanza
MAMA POROJO JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 4,974 Reaction score 785 Mar 20, 2012 #4 Unauza tractor pamoja na jembe na harrow? Bei gani?
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,656 Mar 20, 2012 #5 Mkuu kama picha imegoma kuwekwa na bei nayo imekataa?
Masikini_Jeuri JF-Expert Member Joined Jan 19, 2010 Posts 6,829 Reaction score 1,303 Mar 26, 2012 Thread starter #6 Nisameheni wakuu nilisafiri kdg na sikuapata wasaa wakufika hapa tena Update: Treakta hizo ziko 2 na ni model ya 1992 bei ni Tshs 18.5 each mazungumzo yapo.............na haziuzwi na jembe ila ukihitaji jembe ...........tutafanya mazungumzo zaidi
Nisameheni wakuu nilisafiri kdg na sikuapata wasaa wakufika hapa tena Update: Treakta hizo ziko 2 na ni model ya 1992 bei ni Tshs 18.5 each mazungumzo yapo.............na haziuzwi na jembe ila ukihitaji jembe ...........tutafanya mazungumzo zaidi