Trending Routes KLM

Tatizo lako hujui kwa nini tunawaonesha takwimu hizi. Ngoja nikukumbushe.

1. Magufuri alichukua approach tofauti na mataifa yote duniani. Sisi hatukufunga nchi, kazi nyingi ziliendelea na shule baadaye zikafunguliwa.

2. Tukautangazia ulimwengu vipimo vya corona ni fake, vimepima papai, mbuzi na fenesi.

3. Chadema wakasusa bunge kujikinga na corona, na akina sugu wakawa na mawazo sawa na kenya, Rwanda na Uganda, wakaenda mbali zaidi kuwa tumekataa lockdown, tutafanyiwa lockout.

4. Wakati Kenya, Uganda na Rwanda wanaruhusiwa kuingia kwetu kwenye corona nyingi, wao hawaruhusu mtanzania kuingia kwao, atapeleka corona. Uganda na Rwanda mgogoro uliisha mapema lkn Kenya waliendeleza kutunyanyasa.

5. Kenya wakawa wanatangaza majibu ya uongo kwa kila mtanzania anayeingia Kenya, lengo lao dunia ijue ili tutengwe East Africa na duniani kote.

6. Wakati wanafungua anga, wakatangaza Tanzania na Burundi marufuku kuingia Kenya. Tulijibu kwa kuzuia KQ.

Sasa pamoja na hila zao dhidi yetu, badala tutengwe, wageni waliochoka lockdown wanakuja kupunguza hasira kwetu. Hilo linawauma. Nasi tunawaambia hawatuwezi na bado tunatafakari kuiruhusu KQ
 
Watamiminika wengi na atakaekutwa na Corona atatibiwa na dawa ya TANZANIA NIMRCAFE wiki tu anapona anaendelea kukoronize huko mbugani wao waache wasubiri dawa ya mzungu. Sasa hivi wameanza kujitibu Kwa limao na ndimu mpaka wametupandishia bei bidhaa hiyo limao limefika tsh 700
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…