Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 741
What are we waiting for, gas tunayo, tunaweza kutengeneza umeme mwingi wa kutumia hadi tukauza nje, kwanini train zetu zisianze kutumia umeme kama Ulaya na tupate zile za faster kama wenzetu?
Nini kinazuia? Na kama kuboresha reli na train wanaosabotage ni wamiliki wa malori, kwanini tusitumie kama Kagame kuwawinda hao tuwateketeze wapinga uchumi wa Tanzania hao?
Au kwasababu malori mengi yanamilikiwa na watu walioko kwenye system hivyo umasikini wetu ni nafasi yao kuendelea kuwa matajiri? Hadi lini na kila kitu tunacho, Mungu atupe nini jamani, gunia la chawa tujikune au upele?
Nini kinazuia? Na kama kuboresha reli na train wanaosabotage ni wamiliki wa malori, kwanini tusitumie kama Kagame kuwawinda hao tuwateketeze wapinga uchumi wa Tanzania hao?
Au kwasababu malori mengi yanamilikiwa na watu walioko kwenye system hivyo umasikini wetu ni nafasi yao kuendelea kuwa matajiri? Hadi lini na kila kitu tunacho, Mungu atupe nini jamani, gunia la chawa tujikune au upele?