what are we waiting for, gas tunayo, tunaweza kutengeneza umeme mwingi wa kutumia hadi tukauza nje, kwanini train zetu zisianze kutumia umeme kama ulaya na tupate zile za faster kama wenzetu? nini kinazuia? na kama kuboresha reli na train wanaosabotegi ni wamiliki wa malori, kwanini tusitumie kama kagame kuwawinda hao tuwateketeze wapinga uchumi wa tz hao? au kwasababu malori mengi yanamilikiwa na watu walioko kwenye system hivyo umasikini wetu ni nafasi yao kuendelea kuwa matajiri? hadi lini na kila kitu tunacho, Mungu atupe nini jamani, gunia la chawa tujikune? au upele?