Treni ya kaskazini inahujumiwa?

Treni ya kaskazini inahujumiwa?

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Juzi Alhamisi abiria waliokuwa wakienda kaskazini walilazwa njiani wilayani Same bila kuambiwa sababu, na abiria waliokuwa waondoke Arusha walilalamika kushindishwa stesheni bila kuambiwa sababu za msingi. Haya matukio mawili yanatokea baada ya shirika la reli kutangaza kuongeza mabehewa sawa na idadi ya mwanzo! Je, kuna wsfanyakazi wa TRC kwa kushirikiana na wenye mabasi ya kaskazini wameamua kulihujumu shirika ili mabasi yapate abiria wengi kwa mtindo uliozoweleka wa kuzidisha nauli?
 
Hata SGR ikija kuanza utakuja kusikia tu mambo ya kipuuzi kama haya, nchi ngumu sana hii.
Huenda kushindikana kuanza safari kati ya Dar na Moro ni kuwawezesha waliochukua mikopo ya mabasi zaidi ya mia wafanye biashara bila upinzani wamalize mikopo yao.
 
Hamna hujuma, ni uzembe tu wa baadhi ya wafanyakazi wa TRC, pia kukosekana uwajibikaji kunaleta nafasi ya kufanya huu ujinga. JPM kwa uzembe huo mtu angeumbuliwa anayefuata angehakikisha usafiri unakuwa wa uhakika.
 
Hamna hujuma, ni uzembe tu wa baadhi ya wafanyakazi wa TRC, pia kukosekana uwajibikaji kunaleta nafasi ya kufanya huu ujinga. JPM kwa uzembe huo mtu angeumbuliwa anayefuata angehakikisha usafiri unakuwa wa uhakika.
 
Juzi Alhamisi abiria waliokuwa wakienda kaskazini walilazwa njiani wilayani Same bila kuambiwa sababu, na abiria waliokuwa waondoke Arusha walilalamika kushindishwa stesheni bila kuambiwa sababu za msingi. Haya matukio mawili yanatokea baada ya shirika la reli kutangaza kuongeza mabehewa sawa na idadi ya mwanzo! Je, kuna wsfanyakazi wa TRC kwa kushirikiana na wenye mabasi ya kaskazini wameamua kulihujumu shirika ili mabasi yapate abiria wengi kwa mtindo uliozoweleka wa kuzidisha nauli?
Matajiri wa mabasi hawezi kukubali na siyo kaskazini pekee ni nchi nzima, SGR ni wimbo wa tangu 2017 mpaka leo ipo kwenye majaribio miaka 7, shame on us
 
Juzi Alhamisi abiria waliokuwa wakienda kaskazini walilazwa njiani wilayani Same bila kuambiwa sababu, na abiria waliokuwa waondoke Arusha walilalamika kushindishwa stesheni bila kuambiwa sababu za msingi. Haya matukio mawili yanatokea baada ya shirika la reli kutangaza kuongeza mabehewa sawa na idadi ya mwanzo! Je, kuna wsfanyakazi wa TRC kwa kushirikiana na wenye mabasi ya kaskazini wameamua kulihujumu shirika ili mabasi yapate abiria wengi kwa mtindo uliozoweleka wa kuzidisha nauli?
Hivi kuboresha reli route za MGR kutoka Dar -Kigoma/Mpanda/Mwanza na route ya MGR iliyoboreshwa kutoka Dar-Tanga/Moshi/Arusha ....Ni route ipi ingeilipa faida TRC maradufu? 🤔
 
Bila bakora nzito hawa wafanyakazi wa umma hawaendi sawa.
 
Hivi kuboresha reli route za MGR kutoka Dar -Kigoma/Mpanda/Mwanza na route ya MGR iliyoboreshwa kutoka Dar-Tanga/Moshi/Arusha ....Ni route ipi ingeilipa faida TRC maradufu? 🤔
Zote zinafaida sawa tatizo ni kutokujua matumizi sahihi ya treni, ufinyu wa uelewa wetu unatufanya tuweke kipaumbele cha kusafirisha abiria badala ya mizigo, hauwezi kujenga reli kwa ajili ya abiria, abiria wanajazia baada ya mizigo na tusije tukashangaa SGR kushindwa maana upo muekekeo wa abiria ili pongezi zijae kibubu cha mama. Katika hali ya kawaida majaribio ya reli hiyo yangeanza na kusafirisha mizigo ili kuona uimara wake badala ya kupitisha kichwa cha mwendawazimu bila mabehewa!
 
Juzi Alhamisi abiria waliokuwa wakienda kaskazini walilazwa njiani wilayani Same bila kuambiwa sababu, na abiria waliokuwa waondoke Arusha walilalamika kushindishwa stesheni bila kuambiwa sababu za msingi. Haya matukio mawili yanatokea baada ya shirika la reli kutangaza kuongeza mabehewa sawa na idadi ya mwanzo! Je, kuna wsfanyakazi wa TRC kwa kushirikiana na wenye mabasi ya kaskazini wameamua kulihujumu shirika ili mabasi yapate abiria wengi kwa mtindo uliozoweleka wa kuzidisha nauli?
Kama walikuwa wanang'oa vipuli kipindi kile cha Sabaya hawashindwi kuwapa pipi hao TRC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom