Treni ya SGR angalieni upya gharama za parking za magari

Treni ya SGR angalieni upya gharama za parking za magari

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Kwanza niwapongeze kwa huduma zetu nzuri za usafiri wa treni, hata hivyo kuna hii changamoto naileta kwenu; Kuna baadhi ya vituo vipo nje kabisa ya Mji, mfano; MOROGORO, Pugu nk na hakuna usafiri wa kueleweka zaidi ya bajaji; sasa mtu anakwenda na usafiri wake asubuhi ili jioni akirudi apate usafiri; Bei mliyoweka ya shs 1000 kwa lisaa, ni bei juu sana kwani mtu anapaki gari kwa muda mrefu.

Najua mnasafiri Nje ya Nchi hivyo mnajua jinsi wenzenu wanavyofanya; Treni huwekwa kusaidia kupunguza magari/msongamano barabarani, mazingira nk nk hivyo parking fee kwenye vituo vya treni zipo chini sana (mfano 300shs kwa lisaa), Na hii ni kwa sababu watu hupaki kwa muda mrefu (wastani wa masaa 8 hadi 12)

Nawashauri mlifuatilie hili huku mkizingatia hali ya uchumi wa wananchi msije kulinganisha bei ya Ujerumani na Tanzania wakati mshahara wao wa chini ni zaidi ya mara 7 ya Tanzania.
 
Hili nalo mkalitazame" KWA ILE SAUTI YAKE NA JICHO LA HUBA
 
Kwanza niwapongeze kwa huduma zetu nzuri hata hivyo
kuna baadhi ya vituo vipo nje kabisa ya Mji, mfano; MOROGORO, Pugu nk na hakuna usafiri wa kueleweka zaidi ya bajaji; sasa mtu anaenda na usafiri wake asubuhi ili jioni akirudi apate usafiri kwani hakuna usafiri wa kueleweka; njie mnacharge shs 1000 kwa lisaa?
Najua mnasafiri Nje ya Nchi mnajua jinsi wenzenu wanavyofanya; Treni huwekwa kusaidia kupunguza magari/msongamano barabarani nk nk hivyo parking fee kwenye vituo vya treni zipo chini sana (mfano 300shs kwa lisaa), Na hii ni kwa sabau watu hupaki kwa wastani wa masaa 8 hadi 12
Nawashauri mlifuatilie hili huku mkizingatia hali ya uchumi wa wananchi msije kulinganisha bei ya Ujerumani na Tanzania wakati mshahara wao wa chini ni zaidi ya mara 7 ya Tanzania....
Bajaji ni fursa kwa vijana, zitumike bajaji kwa wingi
 
Kwanza niwapongeze kwa huduma zetu nzuri hata hivyo
kuna baadhi ya vituo vipo nje kabisa ya Mji, mfano; MOROGORO, Pugu nk na hakuna usafiri wa kueleweka zaidi ya bajaji; sasa mtu anaenda na usafiri wake asubuhi ili jioni akirudi apate usafiri kwani hakuna usafiri wa kueleweka; njie mnacharge shs 1000 kwa lisaa?
Najua mnasafiri Nje ya Nchi mnajua jinsi wenzenu wanavyofanya; Treni huwekwa kusaidia kupunguza magari/msongamano barabarani nk nk hivyo parking fee kwenye vituo vya treni zipo chini sana (mfano 300shs kwa lisaa), Na hii ni kwa sabau watu hupaki kwa wastani wa masaa 8 hadi 12
Nawashauri mlifuatilie hili huku mkizingatia hali ya uchumi wa wananchi msije kulinganisha bei ya Ujerumani na Tanzania wakati mshahara wao wa chini ni zaidi ya mara 7 ya Tanzania....
Nashangaa terminal kujengwa katikati ya miji, yaani waliopendekeza hii ni wajinga, wapumbavu, washenzi sana.
 
Brother ulicho sema ndio ukweli hata airport za duniani kuna peak and drop for 30 minutes free.
Na wao wangefanya ivyo tu. Pia kwa lisaa limoja ingependeza 300 TSH
 
Hii nchi mindset za viongozi wetu bado wanaamini kumiliki gari binafsi ni anasa hapo ndio tunapokwama;
 
Wangefanya tu kuanzia masaa 5 kwenda juu shilingi elfu 5 ndani 24 hrs
 
Back
Top Bottom