Mtoa Taarifa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2024
- 213
- 671
Treni ya SGR iliyokuwa inatoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma imekwama kwenye Stesheni ya Kilosa baada ya Umeme kukatika, tuko hapa tunasubiri umeme urudi ndio safari iendelee, tumeambiwa Grid ya Taifa imezima.."
Kabla hayajafika tulishauri haya Madude yaje na "Power bank" lakini Mfumgwa wetu mtarajiwa Bwana Kadogosa akasema umeme ukikatika yanatumia Diesel.
Haya Kiko wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?
Pia soma ~ TRC: Treni za SGR zilisimama maeneo matatu tofauti kutokana na hitilafu ya umeme katika Gridi ya Taifa
Kabla hayajafika tulishauri haya Madude yaje na "Power bank" lakini Mfumgwa wetu mtarajiwa Bwana Kadogosa akasema umeme ukikatika yanatumia Diesel.
Haya Kiko wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?
Pia soma ~ TRC: Treni za SGR zilisimama maeneo matatu tofauti kutokana na hitilafu ya umeme katika Gridi ya Taifa