Treni ya SGR kutoka Dar kwenda Dodoma yadaiwa kukwama tena baada ya Umeme kukatika Stesheni ya Kilosa

Treni ya SGR kutoka Dar kwenda Dodoma yadaiwa kukwama tena baada ya Umeme kukatika Stesheni ya Kilosa

Mtoa Taarifa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2024
Posts
213
Reaction score
671
Treni ya SGR iliyokuwa inatoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma imekwama kwenye Stesheni ya Kilosa baada ya Umeme kukatika, tuko hapa tunasubiri umeme urudi ndio safari iendelee, tumeambiwa Grid ya Taifa imezima.."

Kabla hayajafika tulishauri haya Madude yaje na "Power bank" lakini Mfumgwa wetu mtarajiwa Bwana Kadogosa akasema umeme ukikatika yanatumia Diesel.

Haya Kiko wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?

1733298500854.png

Pia soma ~ TRC: Treni za SGR zilisimama maeneo matatu tofauti kutokana na hitilafu ya umeme katika Gridi ya Taifa
 
Wa Tanzania gubu sasa unajuwa umeme umekatika shida nini? utasema kitu cha ajabu sana nchi nzima umeme umekatika sehemu kubwa kwa hiyo kusubiri tu imekuwa shida? Basi na siku zingine kukiwa hakuna shida zinafika salama muwe mnaandika sio negative tu.
 
Wa Tanzania gubu sasa unajuwa umeme umekatika shida nini? utasema kitu cha ajabu sana nchi nzima umeme umekatika sehemu kubwa kwa hiyo kusubiri tu imekuwa shida? Basi na siku zingine kukiwa hakuna shida zinafika salama muwe mnaandika sio negative tu.
Tatizo mwizi Kadogosa alisema treni itakuwa ikihifadhi umeme wake endapo umeme utakatika, kiko wapi?


View: https://youtu.be/3pByESZbTZc?si=e0bsYnqEcomQ1cVN
 
Wa Tanzania gubu sasa unajuwa umeme umekatika shida nini? utasema kitu cha ajabu sana nchi nzima umeme umekatika sehemu kubwa kwa hiyo kusubiri tu imekuwa shida? Basi na siku zingine kukiwa hakuna shida zinafika salama muwe mnaandika sio negative tu.
Mtu mwenye afya hahitaji daktari kumtibu ugonjwa.

Mgonjwa ndiye anahitaji daktari wa kumtibu ugonjwa.
 
Treni ya SGR iliyokuwa inatoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma imekwama kwenye Stesheni ya Kilosa baada ya Umeme kukatika, tuko hapa tunasubiri umeme urudi ndio safari iendelee, tumeambiwa Grid ya Taifa imezima.."

Kabla hayajafika tulishauri haya Madude yaje na "Power bank" lakini Mfumgwa wetu mtarajiwa Bwana Kadogosa akasema umeme ukikatika yanatumia Diesel.

Haya Kiko wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....?
View attachment 3168603
Toa credit mkuu
 
Wa Tanzania gubu sasa unajuwa umeme umekatika shida nini? utasema kitu cha ajabu sana nchi nzima umeme umekatika sehemu kubwa kwa hiyo kusubiri tu imekuwa shida? Basi na siku zingine kukiwa hakuna shida zinafika salama muwe mnaandika sio negative tu.
Sio gubu masanja kadogosa alisema treni inatumia umeme na mafuta ikitokea changamoto ya umeme treni itahamia kwenye mfumo wa mafuta kwanini tudanganywe?
 
Tatizo mwizi Kadogosa alisema treni itakuwa ikihifadhi umeme wake endapo umeme utakatika, kiko wapi?


View: https://youtu.be/3pByESZbTZc?si=e0bsYnqEcomQ1cVN

Inabidi haya maswali aulizwe atoe ufafanuzi ila kwa kumsikiliza hapa anasema kuna vichwa vitaletwa vichache dual maana bado havijaja sasa hizi issue tech ni wajibu wao kuzielezea vizuri inawezakana back up haizidi nusu saa haya ni wao kutoa ufafanuzi. TRC hawakufanye enough test haya yote anayosema yalitakiwa kufanywa kwenye commissioning different scenarios sijui kama walifanya.
 
Back
Top Bottom