joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kama kawa kama dawa, Uhuru Kenyatta ameendeleza ile jadi na utamaduni wa wakenya wa kuendekeza ukabila na upendeleo katika kutoa ajira na nafasi teuzi za serikali.
Huwa ndugu zetu wakenya (wakikuyu na idots), wanasema Uhuru Kenyatta hawezi kumfukuza mtu Kazi kwasababu katiba inamfunga mikono, vipi kuhusu kuteua na kuajiri jamaa zake, katiba inamruhusu?
===
Wazee hujuana: Rais Kenyatta amzawadi mwanawe Maina Kamanda
Rais Uhuru Kenyatta amekashifiwa na baadhi ya Wakenya baada ya kumteua mwanawe Maina Kamanda kwenye Tume ya Kitaifa ya uwiano na utengamano (NCIC).
Kwenye orodha iliyotolewa na Rais Kenyatta, Danvas Makori, ambaye ni mumewe mwanawe Maina Kamanda alitajwa kama mmoja wa walioteuliwa.
Wakenya wamemfokea Rais Uhuru Kenyatta baada ya kumteua mwanawe Maina Kamanda kwenye tume ya NCIC. Picha: State House
Source: Facebook
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne, Oktoba 22, huku ikiwa na majina ya Samuel Kobia (72) na pia aliyekuwa mbunge wa Rangwe, Philip Okundi wa miaka 77.
Wakenya hata hivyo walikerwa na kuwepo kwa makori kwani kando na kuwa na mwanawe Kamanda, vile vile alifurushwa kutoka serikali ya kaunti ya Nairobi kwa madai ya kuhusika kwenye ufisadi.
Wakenya wamemfokea Rais Kenyatta baada ya kumpa kazi mwanawe Maina Kamanda, Danvas Makori. Picha: Standard
Source: UGC
Makori alifurushwa na gavana Mike Sonko baada yake kusema waziri huyo alikuwa akihusika katika kuipora serikali ya kaunti hiyo mamilioni ya fedha.
Kando na kero la Wakenya kwa Makori, Rais Kenyatta pia alimteua aliyekuwa mbunge wa Othaya Mary Wambui kwenye tume nyingine licha ya kuwa amewahi kukiri hana masomo ya kutosha.
Hatua hiyo iliwakera sana Wakenya ambao wameuliza maswali ni kwani vijana walio na masomo na kukosa nafasi za kaszi hawapewi nafasi.
Rais Uhuru Kenyatta alimchagua Mary Wambui na kuzua tetesi kali kutoka kwa Wakenya. Picha: Daily Nation
Source: UGC
Uteuzi wa wazee ndani ya serikali ya Rais Kenyatta ulianza wakati ambapo aliyekuwa makamu wa rais Moody Awori alipewa kazi.
Awori ana miaka 92 na kupata kazi kwake serikali kuliwaacha vijana ambao Jubilee iliahidi kuwapa nafasi za kazi wakimeza mate tu.
Katika uchaguzi wake wa 2013, Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto waliahidi vijana kuwa watatoa mabango ya ukosefu wa kazi na kuweka yale ya kutangaza nafasi za kazi.
kiswahili.tuko.co.ke
Huwa ndugu zetu wakenya (wakikuyu na idots), wanasema Uhuru Kenyatta hawezi kumfukuza mtu Kazi kwasababu katiba inamfunga mikono, vipi kuhusu kuteua na kuajiri jamaa zake, katiba inamruhusu?
===
Wazee hujuana: Rais Kenyatta amzawadi mwanawe Maina Kamanda
Rais Uhuru Kenyatta amekashifiwa na baadhi ya Wakenya baada ya kumteua mwanawe Maina Kamanda kwenye Tume ya Kitaifa ya uwiano na utengamano (NCIC).
Kwenye orodha iliyotolewa na Rais Kenyatta, Danvas Makori, ambaye ni mumewe mwanawe Maina Kamanda alitajwa kama mmoja wa walioteuliwa.
Wakenya wamemfokea Rais Uhuru Kenyatta baada ya kumteua mwanawe Maina Kamanda kwenye tume ya NCIC. Picha: State House
Source: Facebook
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne, Oktoba 22, huku ikiwa na majina ya Samuel Kobia (72) na pia aliyekuwa mbunge wa Rangwe, Philip Okundi wa miaka 77.
Wakenya hata hivyo walikerwa na kuwepo kwa makori kwani kando na kuwa na mwanawe Kamanda, vile vile alifurushwa kutoka serikali ya kaunti ya Nairobi kwa madai ya kuhusika kwenye ufisadi.
Wakenya wamemfokea Rais Kenyatta baada ya kumpa kazi mwanawe Maina Kamanda, Danvas Makori. Picha: Standard
Source: UGC
Makori alifurushwa na gavana Mike Sonko baada yake kusema waziri huyo alikuwa akihusika katika kuipora serikali ya kaunti hiyo mamilioni ya fedha.
Kando na kero la Wakenya kwa Makori, Rais Kenyatta pia alimteua aliyekuwa mbunge wa Othaya Mary Wambui kwenye tume nyingine licha ya kuwa amewahi kukiri hana masomo ya kutosha.
Hatua hiyo iliwakera sana Wakenya ambao wameuliza maswali ni kwani vijana walio na masomo na kukosa nafasi za kaszi hawapewi nafasi.
Rais Uhuru Kenyatta alimchagua Mary Wambui na kuzua tetesi kali kutoka kwa Wakenya. Picha: Daily Nation
Source: UGC
Uteuzi wa wazee ndani ya serikali ya Rais Kenyatta ulianza wakati ambapo aliyekuwa makamu wa rais Moody Awori alipewa kazi.
Awori ana miaka 92 na kupata kazi kwake serikali kuliwaacha vijana ambao Jubilee iliahidi kuwapa nafasi za kazi wakimeza mate tu.
Katika uchaguzi wake wa 2013, Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto waliahidi vijana kuwa watatoa mabango ya ukosefu wa kazi na kuweka yale ya kutangaza nafasi za kazi.
Wazee hujuana: Rais Kenyatta amzawadi mwanawe Maina Kamanda
Rais Uhuru Kenyatta amekashifiwa na baadhi ya Wakenya baada ya kumteua mwanawe Maina Kamanda kwenye Tume ya Kitaifa ya uwiano na utengamano (NCIC).