Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,353
- 1,492
Sasa hv wana Daddy kimokoAZDA ulitungwa 1973 lakini ukawa released 74. hapa Kuna ufundi wa solo wa hali ya juu. Wakati huo Madilu bado hajafika TP OK Jazz
Tatizo Madilu hakuachana vizuri na Master Franco, hata nyimbo za mwisho za Franco, Master aliamua kumshirikisha kijana wake wa zamani Sam Mangwana. Kwenye muongo na mulozi Ni watu wa kuchoma( Forever OK) Madilu Ni miongoni ambao mzee anawasema kwa umbea wao kuhusu afya yake alipokuwepo amelazwa ulaya. Kwa hiyo Madilu alikosa radhi za mzeeNna ngoma zake zote jamaa baada ya kurehemika madiluu alishindwa kuvaa viatu vyake kabisa
kina dali kimoko, lokasa, silian mpenza, na wengine wanapiga zaidi gita kwenye njia tofauti na njia ambazo to ok Jazz walipita. Solo ya Franco na Lutumba ilikuwa style ya kente...gitaa linaongoza waimbaji.Sasa hv wana Daddy kimoko
Kwenye Mamou mpiga base gitaa aliyeitwa Mpudi Deca ndo aliimba ile sauti ya Mamou...akiigiza Kama mwanamke.Mamou ni mzuri xna akishirikiana madilu sytem huo wimbi unahusu wanawake wawili wanaokwaruzana
Hii alikuwa anamsifia dikteta wa Zaire, MOBUTU SESESEKO NZAMUBANGA WA ZABANGA KUKU NGEBEDU. [emoji23]
Kwenye hii picha Franco anatumia gitaa linaloitwa Gibson le Guitar, hili gitaa pia alitumia Robert Nesta Marley...hii picha Ni miaka ya 1980-82. TP OK Jazz ilikuwa kwenye mbi gu ya saba ya muziki. Upande was mkono wa kulia wa Franco Ni mpiga solo Gery Dialuangwa, na kushoto ambaye haonekani vizuri na nywele Ni mpiga base Mpudi Deca.Wanajamii karibuni poleni na shughuli za maendeleo kwa wale wadau wa Music Kali ebu taja kibao chako kimoja cha grand maitre ulichokipenda Mimi ni matata ya muasi na mobali Ekoki Kosila te( mafarakano baina ya mke na mume hayataisha kwenye hii dunia Kamwe)
View attachment 1873188
Ya Jean Ni wimbo wa Jean Bialu Madilu miaka 3 baada ya Franco kufa. Ni solo project yake..Hiyo hatari sana ina vibe balaah
Kwani afya ya mzee ilikuajeTatizo Madilu hakuachana vizuri na Master Franco, hata nyimbo za mwisho za Franco, Master aliamua kumshirikisha kijana wake wa zamani Sam Mangwana. Kwenye muongo na mulozi Ni watu wa kuchoma( Forever OK) Madilu Ni miongoni ambao mzee anawasema kwa umbea wao kuhusu afya yake alipokuwepo amelazwa ulaya. Kwa hiyo Madilu alikosa radhi za mzee