Kama wampenda mtakaa mlijadili na uwe open to it with logic rather than emotions. Inauma unalala na mtu alafu yeye ataje mtu mwingine... Katika situation umetoa kuna unafuu, mana hapa anajuwa kuwa ni ex.
Haya mambo ya kuependa ex yapo kwa watu mbali mbali. Kama imetokea hio inategemea sana kuwa muda gani umepita toka wameachana na huyo ex. kama ni zaidi ya miezi 6 then kazi ipo.... Kama ni chini ya miezi 3 then ni understandable kabisa na mwaweza lifanyia kazi as long as unaona kuwa pana mwelekeo wa huyo mhusika kutaka lifanyia kazi.