Tril. 360 kuwa Kanyaboya na Plea Bargaining kuwa historia katika nchi hii

Tril. 360 kuwa Kanyaboya na Plea Bargaining kuwa historia katika nchi hii

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Hakika matukio haya mawili yaliyofanywa na utawala wa awamu ya 5 chini ya aliyejiita mzalendo na rais wa wanyonge itabidi yaingie kwenye historia ya wizi na uongo kupata kutokana hapa nchini.

Tuliambiwa kuwa kampuni ya barrick tunaidai tril. 360 kwa kukiuka ulipaji kodi fedha ambazo ni nyingi sana lakini mwisho wa siku tukaambiwa zile fedha ni kanyaboya.

2. Tukio la pili ni hili la plea bargain
Tuliambiwa hizi fedha zipo hazina zitatumika kwa shughuli za maendeleo lakini jana mh.Rais samia alisema kuna fedha za plea bargain hazionekani ila zimefungulia akaunti china.

Wananchi tunajiuliza kwanini akaunti ifunguliwe china na kwa jina gani? Majibu ya maswali hayo tunaomba wahusika wake wakuu ambao wapo na mmoja alikuwa katbu mkuu na mwingine dpp watujibu.

yerickonyerere_1675180453587308.jpg
kumbushodawson_1675231123517421.jpg
kumbushodawson_1675231123517994.jpg
1664915659087.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na jina lako kamili ni Sir robbery au Sir robber? Anyway, daylight robbery is the name of the game. Sir.
 
Wasipokujibu, nashauri ukafanye maandamano ya mtu mmoja nje ya jengo la Wasafi Mbezi Beach, ambalo Biswialo Mganga kammilikisha mjomba wake kwa niaba ya Serikali.
 
Back
Top Bottom