inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hizi si ndiyo kabudi alisema zilikua kanyaboya!!?Sio tunawadai hizo ni hasara walizosababishia taifa kwa kusafirisha makinikia kwa miaka 10+ bila kuulizwa na mtu, uufichage upumbavu wako fala wewe
Kwanza alipiga kura ya Ndiyo Hoja ya Bandari au hakupiga?Luhaga Mpina: Trilioni Zetu 360 Zipo Wapi..! I Bunge Nzima Linapiga Makofi kwa Trilioni 1.3
Mpina mnafiki tu kama wengine
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mi nilimaanisha plopaganda usinipangie
Sio tunawadai hizo ni hasara walizosababishia taifa kwa kusafirisha makinikia kwa miaka 10+ bila kuulizwa na mtu, uufichage upumbavu wako fala wewe
Chamwino Dodoma..😶Hivi huyu mwamba ni mbunge wa wapi?
Mwanasarakasi yule jamaaChamwino Dodoma..😶
Yero maasaiMwanasarakasi yule jamaa
Hahaha ndio maana kumbeeYero maasai
Jambo la kushangaza ni kwamba huyo uliemjibu hapo anajitangaza mweyewe kuwa ni msomi, tena mwanasheria, mtu anayetakiwa kuwa na ufahamu mpana wa mambo muhimu.Waliokosea shabaha kwa Lissu bado wanaweweseka kwa kujaribu kumwaga damu. Dhambi ya kuua kila mtu anaikwepa kwa sasa.
Asante kwa ufafanuzi...hizo ni zile ambazo Magufuli na Kabudi walisema tunawadai Accacia / Barrick.
Unalo tatizo gani na mkuu 'JokaKuu'? Mbona ni mtu makini sana?uufichage upumbavu wako fala wewe
HAKUNA WABUNGE KUNA WAJUMBE WA CCM NDANI YA MAJENGO YA BUNGELuhaga Mpina: Trilioni Zetu 360 Zipo Wapi? Bunge zima linapiga makofi kwa Trilioni 1.3.
"Tunazo trilioni 360 zimeshikiliwa na Mahakama uamuzi haujatoka, nilitegemea kwenye mpango hapa isemwe hela hizo ziko wapi. Leo bunge zima linapiga makofi kwa Trilioni 1.3 tulizopewa na IMF mpaka mikono inauma!
"Bunge halijaumia, Serikali haijaumia, kama tatizo ni Bodi za Rufaa za Kodi kukosa wataalamu, si waajiriwe wataalamu kutoka nje?
"Tuna kampuni 504 yenye miamala zaidi ya Trilioni 105 kwa mwaka, uwezo wa TRA kukagua makampuni haya ni 1% kwa mwaka, hawana wataamu wala fedha na hawezi kukagua, hivyo hatuwezi kupata kodi kwenye makampuni haya, fedha za Watanzania zinapotea.
"Haya yote hatuoni kama ni shida wala hatupati hasira katika hili, lakini tukiletewa hata bilioni 5 hapa tunafurahi kwelikweli. Nilitegema hata mikataba mibovu na ya kinyonyaji nchini kama ya TRA na SICPA ingezungumzwa Bungeni kuwa inaenda kufutwa mara moja na hivyo kusadia kupata mapato mengi ya serikali.
"TR anasimamaia Mashirika ya Umma 237 ambayo yanategemea ruzuku kutoka Serikalini, hayana mtaji na hayatekelezi majukumu yake sawa sawa. Kwanini mpango hauzungumzii juu ya kuyapatia mtaji mashirika haya ili yafanye biashara serikali iweze kupata gawio kubwa, hela zinazopelekwa kwa ajili ya ruzuku zifanye mambo mengine?
"Msajili wa Hazina anaweza kusimamia makapuni haya kwa 13% tu, hana fedha wala watalaamu, lakini sisi tunaona kukaa na kupanga ni sawa lakini hatufanyii kazi suluhisho la matatizo haya.
"Bado tuna maeneo mengi yenye utoroshaji mkubwa wa fedha, ukienda mipakani madini bado yanatoroshwa, mifugo, mazoa ya uvuvi, misitu na hata wanayama pori bado wanatoroshwa. Mpango unatueleza nini, unaenda kudhibiti vipi maeneo haya ili tuzidi kupata mapato?"
Kiutani utani Luhanga anaenda kuwa presidaa candidate...Luhaga Mpina: Trilioni Zetu 360 Zipo Wapi? Bunge zima linapiga makofi kwa Trilioni 1.3.
"Tunazo trilioni 360 zimeshikiliwa na Mahakama uamuzi haujatoka, nilitegemea kwenye mpango hapa isemwe hela hizo ziko wapi. Leo bunge zima linapiga makofi kwa Trilioni 1.3 tulizopewa na IMF mpaka mikono inauma!
"Bunge halijaumia, Serikali haijaumia, kama tatizo ni Bodi za Rufaa za Kodi kukosa wataalamu, si waajiriwe wataalamu kutoka nje?
"Tuna kampuni 504 yenye miamala zaidi ya Trilioni 105 kwa mwaka, uwezo wa TRA kukagua makampuni haya ni 1% kwa mwaka, hawana wataamu wala fedha na hawezi kukagua, hivyo hatuwezi kupata kodi kwenye makampuni haya, fedha za Watanzania zinapotea.
"Haya yote hatuoni kama ni shida wala hatupati hasira katika hili, lakini tukiletewa hata bilioni 5 hapa tunafurahi kwelikweli. Nilitegema hata mikataba mibovu na ya kinyonyaji nchini kama ya TRA na SICPA ingezungumzwa Bungeni kuwa inaenda kufutwa mara moja na hivyo kusadia kupata mapato mengi ya serikali.
"TR anasimamaia Mashirika ya Umma 237 ambayo yanategemea ruzuku kutoka Serikalini, hayana mtaji na hayatekelezi majukumu yake sawa sawa. Kwanini mpango hauzungumzii juu ya kuyapatia mtaji mashirika haya ili yafanye biashara serikali iweze kupata gawio kubwa, hela zinazopelekwa kwa ajili ya ruzuku zifanye mambo mengine?
"Msajili wa Hazina anaweza kusimamia makapuni haya kwa 13% tu, hana fedha wala watalaamu, lakini sisi tunaona kukaa na kupanga ni sawa lakini hatufanyii kazi suluhisho la matatizo haya.
"Bado tuna maeneo mengi yenye utoroshaji mkubwa wa fedha, ukienda mipakani madini bado yanatoroshwa, mifugo, mazoa ya uvuvi, misitu na hata wanayama pori bado wanatoroshwa. Mpango unatueleza nini, unaenda kudhibiti vipi maeneo haya ili tuzidi kupata mapato?"
Chama gani hicho shekhe?Ilikuwaje mzee ukawa ccm badala ya kwenda kwa watu wanaounda chama chenye watu wenye IQ kubwa?
Kuwa CCM ni upumbavu!