Trouble in Form Six

Trouble in Form Six

Baba Imani

Member
Joined
Jul 15, 2011
Posts
79
Reaction score
15
Salam Wana JF.
Wazee mwenzenu natafuta nakala ya kitabu kiitwacho Trouble in Form Six. Nilikisoma zamani miaka ya Eighties, kimeandikwa na Cyprian Ekwensi. Tafadhali ndugu zangu.
 
Mkivipata naombeni mniazime.
Thanks in advance.
 
Mimi natafuta watoto wa mama ntilie sehemu ya pili.
 
Pwani ya mabwege kilichoandikwa na harrison mwakyembe.
 
na mimi nataka suck your brain from mark anthony
 
hahahaha! Ili ni jukwaa la jokes au? Nimepotea njia nini? N by the way alieulizia ya alaji dirty version ni nacho. Lmfao!
 
Back
Top Bottom