Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu
Ni juzi niliposikia kiu kubwa sana nami mfukon nilikuwa na sh mianne tu lakin bahat nzur nikaona sh mia iko chin hivyo nikaikota ili niongezee kwenye hela ya maji
Kwanza nilifurah sana kuokota hiyo mia nikajua ni mapenz ta mungu maana kasiki kilio changu cha kiu iliyokuwa ina nisakama
Nilinunua maji nikanywa ili kupoza kiu
Lakin baada tu ya kunua maji nilianza kuwashwa mwili mzima kitu kilichopelekea kujikuna sana
Mda tu kidogo mwili ulivimba wote na kuumka vipele vikubwa na vidogo
Kwa sasa mwili wangu wote umevimba majibu
Nimeenda hospital kupima nikaambiwa sina ugonjwa
Kwa sasa nahaha sana sijui hata cha kufanya
Nateseka sana aisee
LONDON BABY
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu
Ni juzi niliposikia kiu kubwa sana nami mfukon nilikuwa na sh mianne tu lakin bahat nzur nikaona sh mia iko chin hivyo nikaikota ili niongezee kwenye hela ya maji
Kwanza nilifurah sana kuokota hiyo mia nikajua ni mapenz ta mungu maana kasiki kilio changu cha kiu iliyokuwa ina nisakama
Nilinunua maji nikanywa ili kupoza kiu
Lakin baada tu ya kunua maji nilianza kuwashwa mwili mzima kitu kilichopelekea kujikuna sana
Mda tu kidogo mwili ulivimba wote na kuumka vipele vikubwa na vidogo
Kwa sasa mwili wangu wote umevimba majibu
Nimeenda hospital kupima nikaambiwa sina ugonjwa
Kwa sasa nahaha sana sijui hata cha kufanya
Nateseka sana aisee
LONDON BABY