Ha ha ha wegero kwetu shauri yako...utapigwa kipapaiFwala mmoja
Samahani mkuu.
Hana uwezo huo bwege tu huyuHa ha ha wegero kwetu shauri yako...utapigwa kipapai
Achana na hii story, umewachosha wasomaji.Hatimae nimerudi tena.
Sio wote walozi!Lkn mpaka hapa alipo fikia amenipa mafunzo mengi sana, sisi watu wa kaskazini hakuna mambo km haya kbs japo yapo siwezi jiaminisha, ila wasukuma walozo sana, napia ni wanafiki kwakujifanya wao ni wakarimu, japo ss wa kaskazini tunaonekana wakorofi
nipe namba ya yungeSio wote walozi!
Kwani inaendelea?!Kaka weka ndefundefu Kama zile za part one
🤣🤣🤣🤣Hata mie nataman iendelee ila bhaaas.
Kwahio nyie ndo wanyabi?Lkn mpaka hapa alipo fikia amenipa mafunzo mengi sana, sisi watu wa kaskazini hakuna mambo km haya kbs japo yapo siwezi jiaminisha, ila wasukuma walozo sana, napia ni wanafiki kwakujifanya wao ni wakarimu, japo ss wa kaskazini tunaonekana wakorofi
Mzinguaji tu omba JF wafute uzi wako au ulikuwa unaiba sehemu mwenye simulizi yake kazingua,au umetunga mwisho kumaliza hauwezi.Hata mie nataman iendelee ila bhaaas.
Yanini yote hayo madamMzinguaji tu omba JF wafute uzi wako au ulikuwa unaiba sehemu mwenye simulizi yake kazingua,au umetunga mwisho kumaliza hauwezi.
Hawana ukarimu wowote ni watu wa hovyo,tu hujaish nao tuLkn mpaka hapa alipo fikia amenipa mafunzo mengi sana, sisi watu wa kaskazini hakuna mambo km haya kbs japo yapo siwezi jiaminisha, ila wasukuma walozo sana, napia ni wanafiki kwakujifanya wao ni wakarimu, japo ss wa kaskazini tunaonekana wakorofi
Mbado[emoji15][emoji15] hii story mbado ipoo haijaishaa aisee
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hii ya sasaivi ni part 2,Kwani inaendelea?!
Iko wapi mkuu hebu ni tagHii ya sasaivi ni part 2,
Part 1 aliitoa mwezi wa 3 ilikua tamu kinoma alafu ilikua ni ndefu na vipande vyake ni virefu