True Story: Binti alivyotumia mbinu ya kijasusi ili kuolewa.


bila strategies mnafikiri inakuwaje usawa huu!safi sana binti
 

Zinaa ni zinaa awe Slaa au wewe haiteteeki. Na hakuna ubaya kukataza yaliokatazwa na Mwenyeezi Mungu mbya ikiwa ntaanza kukataza yasiokatazwa. Upo hapo ulipo? au wewe kuzini unaona ni jambo zuri? na kwa ubuyu wa Slaa wako anaonesha mfano mzuri kwa jamii?

Pata darsa kidogo:

Qur'an 3:110. Nyinyi mmekuwa bora ya umma walio tolewa watu, kwa kuwa mnaamrisha mema na mnakataza maovu, na mnamuamini Mwenyezi Mungu. Na lau kuwa Watu wa Kitabu nao wameamini ingeli kuwa bora kwao. Wapo miongoni mwao waumini, lakini wengi wao wapotovu.
 
Ngoja nami nitie nia kwa Doreen, najua tu atasoma hapa na ataiga tu.
 
what is drasa by the way zomba u are totaly right ila kumbuka kuna kitu kinaitwa toba watu wanatubu ,na sio vizuri kumtaja kila kwenye kosa linalofanana nalo how many times wewe unamkashifu kuwa ni mzinzi je lii kheri kuendelea kuzini ovyo au kualalisha je ina maana gani hii majuzi wengi wawaislam hufunga ndoa takatifu ili awe safi anapoingia kwenye mfungo si ndio! sasa basi li wapi kosa la huyo slaaa.acha hiyo tabia kabisa usimchafue mtu kwa itikadi zako za kidini hamna msafi kamwe tunaishi kwa toba na rehema za Mwenyezi Mungu tu.UNGEKUWA WEWE NI SAFI USINGESWALI 5 KILA SIKU INAMAANA UNAMKOSEA MUNGU KILA WAKATI NA KULITAMBUA HILO UNAKWENDA KUSWALI
 
Hamna kitu huyo dogo alikuwa anapiga issue,Ila hataki tu kusema ukweli
 

Kuna darwesh mmoja maarufu sana akiitwa darwesh kibendera, alikuwa akiongea kuhusu haya haya ya kuzini ya kulewa ya kusengenya watu, na mwoshowe ansema, anekasirika "ndio yeye huyo".

Sasa ndio sifa yake hiyo huyo, hutaki isemwe au wewe unaona kiongozi wa Kitaifa anafaa kufanya anayoyafanya Slaa? hivi anafundisha maadili yepi kwa umma? iwe Kikristo, Kiislaam au Kwa wasio na dini, basi kama nchi haina maadili? ingawa haina dini?
 
Bora kama huyo jike wa kikurya si mgomvi
 
Itakuja kum-cost siku za mbele, coz hapo inaonesha mwanaume hana mapenzi ya dhati kwa huyo mwanamke, so ajiandae na small house
 
Inamaana mama mkwe anakalainika na vitenge kiasi ambacho hata mwanawe hakumsikiliza?
 
Sikujua kama waeza lazimisha ndoa wallah! Khaaaaaaaa!
 
Inamaana mama mkwe anakalainika na vitenge kiasi ambacho hata mwanawe hakumsikiliza?
 
kusema ukweli hapo kijana atakua alikua anampenda binti maana hakuna kitu kibaya kama kulazimisha mapenzi sembuse ndoa??ndoo maana Mpoki alisema "kupenda usipopenda ni sawa na kusubiri meli Airport".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…