True story: Mkuu wa shule alininajisi!


Unapomuuliza mtu kama ana akili una maana gani kweli......? Really fazaa....really?? Sina mpango wa kumfundisha mtu lugha coz mimi sio mama lugha..........after all huenda nikawa sijui/najua kutofautisha kati ya vile na vile (kama ulivyosema), but the point is.. ACHA DHARAU even though humjui hakujui!!
 
MIMI NAKULIZA WEWE TOKA LINI SWALI LIKAWA TUSI NIJIBU KWANZA AFU TUTAENDELEA.


Yani nikisema hivi wewe ni malaya basi nimeisha kuita wewe malaya? si unahaki ya kujibu afu wewe umekuwa msemaji wa smile au?
 
Hahaha! Ukisema testimony utamu unapotea, ukisema true story inanoga zaidi.... 'True Story ya kutunga' lol.

Mkuu nawe umesaidia sana kuzibainisha loose ends za story hii ya kutunga: hakika wewe umethubutu kuongea kwa uwazi, tofauti na comments za baadhi ya wana JF wengine zilikuwa zinasugar coat kwa maneno ya oh pole sana etc.
 
MIMI NAKULIZA WEWE TOKA LINI SWALI LIKAWA TUSI NIJIBU KWANZA AFU TUTAENDELEA.


Yani nikisema hivi wewe ni malaya basi nimeisha kuita wewe malaya? si unahaki ya kujibu afu wewe umekuwa msemaji wa smile au?

Direct and indirect rule.....zote hizo ni njia zilizotumiwa na wakoloni kuweza kuwatawa waafrica. Kama ilivyo kwa...akufukuzae hakwaambii toka..., pia akutukanae hakuchagulii tusi though aweza kuchagua namna ya kukutukana either kwa statement or kwa swali, provided ujumbe umefika! Hivyo basi....swali na statement vyote vyaweza kuwa tusi ama kejeli!!! Na mwisho kabisa, mimi sio msemaji wa Smile ila ni mchangiaji na mtoa maoni kwenye thread!
 
Kipipi kwani mimi ni mkoloni.....BTW smile kenda wapi mbona hajibu PM mana nimemtongoza mpaa akisoma atanionea huruma :biggrin:
 
kama headmaster na daktari hawakuomba mzigo haina shida maana ishu sio kukushika matiti ishu ni kukuomba mzigo na kama ilikuwa inafanya kwenye closed place ambayo sio mbele za watu sio ishu sana
 
kama headmaster na daktari hawakuomba mzigo haina shida maana ishu sio kukushika matiti ishu ni kukuomba mzigo na kama ilikuwa inafanya kwenye closed place ambayo sio mbele za watu sio ishu sana
Hivi unajua maana ya kunajisi? Unasema kama hakuomba mzigo mengine sio mbaya????
 
Pole sana Smile! You should have said mapema! Kama hata mtuhumiwa na mhalifu hatakiwi kushikwa na kusachiwa na mtu asiye jinsia yake iweje ninyi watoto wadogo tena kipindi hicho ulikuwa haumjui mme! nasema uongo Smile?
nilikuwa simjui mume mkuu nilikuwa brand new kabisa
 
Kipipi kwani mimi ni mkoloni.....BTW smile kenda wapi mbona hajibu PM mana nimemtongoza mpaa akisoma atanionea huruma :biggrin:
huruma kilio majonzi
 
Mkuu nawe umesaidia sana kuzibainisha loose ends za story hii ya kutunga: hakika wewe umethubutu kuongea kwa uwazi, tofauti na comments za baadhi ya wana JF wengine zilikuwa zinasugar coat kwa maneno ya oh pole sana etc.
sijatunga mkuu.kwani wengine wanapimwaje wote ni hvohvo tu hapa wanajikausha.sl hawezi jua maana ni mwanaume
 
Kwa nn siku zote hizo usiniambie? kusudi na mm nataka kuwapima, mwl. na Dr. wake. Haya hata sasa hujachelewa sana, ni pm jina lake na shule anayopimia.
yaishe tu mkuu tuangalie tu yasirudie kwa wadogo zetu
 
Pole Smile kwa kukutwa na mengi ktk maisha! Ni vzr umeliweka hapa ili na wanafunzi au wengineo walio vyuoni au mashuleni watambue kuwa upimaji huu si wa kawaida, na kuchukua tahadhari mapema.
yes mkuu
wenye kuchonga wachonge tu
 
Smile unajua nazidi kukupenda, unaonaje tuendeleze mapenzi kule kwenye pm :biggrin:
mbona jf mnapenda kutongoza tongoza sana.? i hate that
 
siku hiziii wanakujaa na embee bichi na chumvii kuonyeshea wanafunz wa kikee.atae kusanyaa matee kwa wingi.wanajua tiyari
 
Uctuchore bana,: wee mwenyewe umemisi kushikwashikwa tu basi.
 

we nawe siku hizi una story kali sana

nakumbuka ile ya kufuga vukenge, sasa tena hii.... i am sure kuna kitu un-drive towards sema bado haijakaa sawa

please see a doctor akusaidie ushauri nasaha, it is surely eating you up!!

KWAHIYO BIKIRA ILISHATOKA SIO?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…