kweli babu siwezi danganya
kwa kosa gani mbu nimfungulie mashtaka sasa hvi.maana nikikumbuka walivokuwa wanatugeuza geuza roho inauma sana
Babu DC u khali gani? Habari za utokako? Ndio nini kupotea bila kuaga wajukuu zako? Bishanga anakutafuta sana. Karibu tena jamvini. Mie nimefurahi kukuona!
@ Smile unajua/ kuelewa maana ya kunajisiwa?... Poleni kwa kudhalilishwa huo upimaji ulikuwa kiboko..
Mie bado niko na Kamusi ya kiswahili ya TUKI, natafuna maana ya hili neno kunajisi..................ona sijaona sehemu uliyonajisiwa? au mimi ndio sijui maana ya kunajisi
kunyoa ni lazima?watu woote huku duniani hata kama wananyoa kila siku wana upara? hulazimishwi kuamini mkuu unilipi hatakuna mahali uliwahi kusema kuwa umekaa miaka 7 bila kunyoa ''mabwepande''(https://www.jamiiforums.com/mahusia...-ushuhuda-wa-kweli-niliishi-miaka-7-bila.html) sasa mimi niulize siku hiyo ya zoezi la kupima mimba ulivua vipi nguo zote? hedimasta na dokta hawakukwambia ukanyoe?...au hizi simulizi zenu hizi ni za kupotezea mda?
na hedimasta alikunajisi vipi?maana hujaeleza kwenye thrad yako hii.....na hii misemo yenu hii ya kuaminisha watu uongo hii eti ''true story''......
kunyoa ni lazima?watu woote huku duniani hata kama wananyoa kila siku wana upara? hulazimishwi kuamini mkuu unilipi hata
shuleni kulikuwa na utaratibu wa kupimwa mimba kila tufunguapo shule baada ya wiki mbili.ila upimaji wake daaah huwa nautafakari sana
mkuu wa shule alikuwa wa kiume,daktari wa kiume even tulikuwa na matron hakuruhusiwa kuingia
chumba cha kupimia alikuwa anaingia headmaster na dokta wake
jinsi ya kupima,tulikuwa tunavuliwa nguo zote
dokta na mkuu wa shule wanakushika shika tumbo na matiti wanadai wanapima cancer
mkuu wa shule sometimes alikuwa anasema ulale na mgongo apime na homa ya uti wa mgongo
hii ilikuwa fair kweli? walikuwa wanakushika kweli hadi wadada wengine walikuwa wanazimia zoezi linaenda hata wiki
siku hzi sijui wanapimaje
ngoja mr rocky aje babuSmile,
Naamini mnaweza kufungua kesi endapo mtapatikana wengi ambao mtatoa ushahidi usioacha shaka kwamba kweli mlifanyiwa vitendo hivyo...
Hebu jaribu kuwasiliana na wanasheria au tusubiri wajuzi wa sheria waje watupashe zaidi..
Naona kama sitaweza kuendelee kuisoma hii hadithi..Inaniumiza sana roho!!
Babu DC!!
kwani nilikuwa najua upimaji wa mimba ukoje? mimi niliamini ndivo mimba inapimwa sasa ningestaki vp dear?
daah mimi mambo hayo nilikuwa naogopa sana kuyazungumzia.mimba zilipimwa kila term mara 2sio ushtaki, hata kumhadithia mzazi wako kwamba shule tunapimwa mimba kwa kugeuzwa guezwa na inauma? Au hata marafikiri zenu hapo shule au wa shule nyingine hamhadithiani mkiwa mabwenini au likizo?
Na je mimbe mlipimwa mara moja (one time event) au ilibidi mpimwe ila term?
daah mimi mambo hayo nilikuwa naogopa sana kuyazungumzia.mimba zilipimwa kila term mara 2
tulikuwa tunachukia tunalalamika yanaisha tunasubiria msimu mwingine tenakwa nini ulikuwa unaogopa? Kwani wewe pekee darasani kwenu ndo ulikuwa ukipimwa mimba? Je nini kimekusukuma kuyazungumzia haya mambo leo? (samahani kwa maswali mengi)
kunyoa ni lazima?watu woote huku duniani hata kama wananyoa kila siku wana upara? hulazimishwi kuamini mkuu unilipi hata
tulikuwa tunachukia tunalalamika yanaisha tunasubiria msimu mwingine tena
by the way nimekumbuka tu nikaona ni shee na ninyi