TRUE STORY: Nimekoswakoswa Kuibiwa na msichana wa JF

Hivi kweli unaweza kukutana na mchana ukaenda naye ukifika unalala jicho moja [emoji35][emoji35] acha uongo
Kwo kisa msichana ndo umuamini 100% na ulale mazima?
wajinga ndio waliwao
 
mm ndio mana sitaki kabisa kuonana na wanaume wa humu unajiepushia mengi sana kama hivyo kuja kudhalilika bure angetulia zake yasingemkuta
Hao WASIO WA HUMU, inawezekana ndio WA HUMU.
 
mm ndio mana sitaki kabisa kuonana na wanaume wa humu unajiepushia mengi sana kama hivyo kuja kudhalilika bure angetulia zake yasingemkuta
njoo kwangu mrembo ,mm ndo peninsula xavier dos santos from mpumalanga hutojuta af sikutangazi wala nini
 
Hadithi ya kutunga ili mradi nawe ujiandae vema na Fiesta si ndio?HAIWEZEKANI umfiche mwizi then utushike vichwa watu wazima sie!NYAMBAAAF
 
mm ndio mana sitaki kabisa kuonana na wanaume wa humu unajiepushia mengi sana kama hivyo kuja kudhalilika bure angetulia zake yasingemkuta
nawewe umeshatafutwa kweli?au ndio umetoa tangazo wakutafute sasa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…