Trump alipomshutumu Obama na Hillary Clinton kuasisi kikundi cha kigaidi cha ISIS

Trump alipomshutumu Obama na Hillary Clinton kuasisi kikundi cha kigaidi cha ISIS

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Kipindi Trump anagombea urais dhidi ya Hillary Clinton, Donald Trump alipiga kombora zito lililowaacha wamarekani mdomo wazi. Trump alisema kuwa Obama kwa kushirikiana na Hillary Clinton ndiyo walioasisi kikundi cha kigaidi cha ISIS kilichoua malaki ya watu huko Syria.
Kauli hiyo ilinukuliwa na kurushwa na vyombo vikubwa vya habari ikiwemo CNN na ABC.

Ili kuthibitisha kauli ya Trump kuwa ni ukweli, kuna emails za Hillary clinton zilidukuliwa na mojawapo ya email ya Hillary inasema kuwa AL-QAEDA ni washirika (ally) wa Wamarekani huko Syria.

Hii inaonyesha kuwa siyo tu kwamba Marekani ni taifa lenye mbinu chafu lakini limekuwa ni mzizi wa ugaidi duniani, ambapo limekuwa likiasisi vikundi vya kigaidi halafu kusingizia wengine kuwa ni magaidi.

Ifahamike pia Serikali ya Marekani chini ya Ronald Reagan imewahi kushutumiwa vikali kwa kuendesha operesheni ya kuuza madawa ya kulevya kwenye mitaa ya watu weusi huko marekani ili kupata pesa za kifinance vita zake dhidi ya Sandinistas huko America ya kusini. Ishu hii inafahamika kama Iran-Contra affairs, ambapo CIA ilikuwa inauza madawa ya kulevya, kisha kutakatisha hizo pesa kwa kuizia silaha Iran (ambaye alikuwa ni hasimu wao) kisha pesa zinazopatikana zinenda kusaidia waasi wa sandinista.

HAPA CHINI UNAWEZA KUMSIKIA TRUMP AKISEMA OBAMA ALIANZISHA ISIS


View: https://www.youtube.com/watch?v=EzhCjC6NxPE&ab_channel=ABCNews
 
They are eating dogs 🐕
 
They're eating cats-Trump
 
Kipindi Trump anagombea urais dhidi ya Hillary Clinton, Donald Trump alipiga kombora zito lililowaacha wamarekani mdomo wazi. Trump alisema kuwa Obama kwa kushirikiana na Hillary Clinton ndiyo walioasisi kikundi cha kigaidi cha ISIS kilichoua malaki ya watu huko Syria.
Kauli hiyo ilinukuliwa na kurushwa na vyombo vikubwa vya habari ikiwemo CNN na ABC.

Ili kuthibitisha kauli ya Trump kuwa ni ukweli, kuna emails za Hillary clinton zilidukuliwa na mojawapo ya email ya Hillary inasema kuwa AL-QAEDA ni washirika (ally) wa Wamarekani huko Syria.

Hii inaonyesha kuwa siyo tu kwamba Marekani ni taifa lenye mbinu chafu lakini limekuwa ni mzizi wa ugaidi duniani, ambapo limekuwa likiasisi vikundi vya kigaidi halafu kusingizia wengine kuwa ni magaidi.

Ifahamike pia Serikali ya Marekani chini ya Ronald Reagan imewahi kushutumiwa vikali kwa kuendesha operesheni ya kuuza madawa ya kulevya kwenye mitaa ya watu weusi huko marekani ili kupata pesa za kifinance vita zake dhidi ya Sandinistas huko America ya kusini. Ishu hii inafahamika kama Iran-Contra affairs, ambapo CIA ilikuwa inauza madawa ya kulevya, kisha kutakatisha hizo pesa kwa kuizia silaha Iran (ambaye alikuwa ni hasimu wao) kisha pesa zinazopatikana zinenda kusaidia waasi wa sandinista.

HAPA CHINI UNAWEZA KUMSIKIA TRUMP AKISEMA OBAMA ALIANZISHA ISIS


View: https://www.youtube.com/watch?v=EzhCjC6NxPE&ab_channel=ABCNews

Ngoja wamarekani wa muyengo waje
 
Kipindi Trump anagombea urais dhidi ya Hillary Clinton, Donald Trump alipiga kombora zito lililowaacha wamarekani mdomo wazi. Trump alisema kuwa Obama kwa kushirikiana na Hillary Clinton ndiyo walioasisi kikundi cha kigaidi cha ISIS kilichoua malaki ya watu huko Syria.
Kauli hiyo ilinukuliwa na kurushwa na vyombo vikubwa vya habari ikiwemo CNN na ABC.

Ili kuthibitisha kauli ya Trump kuwa ni ukweli, kuna emails za Hillary clinton zilidukuliwa na mojawapo ya email ya Hillary inasema kuwa AL-QAEDA ni washirika (ally) wa Wamarekani huko Syria.

Hii inaonyesha kuwa siyo tu kwamba Marekani ni taifa lenye mbinu chafu lakini limekuwa ni mzizi wa ugaidi duniani, ambapo limekuwa likiasisi vikundi vya kigaidi halafu kusingizia wengine kuwa ni magaidi.

Ifahamike pia Serikali ya Marekani chini ya Ronald Reagan imewahi kushutumiwa vikali kwa kuendesha operesheni ya kuuza madawa ya kulevya kwenye mitaa ya watu weusi huko marekani ili kupata pesa za kifinance vita zake dhidi ya Sandinistas huko America ya kusini. Ishu hii inafahamika kama Iran-Contra affairs, ambapo CIA ilikuwa inauza madawa ya kulevya, kisha kutakatisha hizo pesa kwa kuizia silaha Iran (ambaye alikuwa ni hasimu wao) kisha pesa zinazopatikana zinenda kusaidia waasi wa sandinista.

HAPA CHINI UNAWEZA KUMSIKIA TRUMP AKISEMA OBAMA ALIANZISHA ISIS


View: https://www.youtube.com/watch?v=EzhCjC6NxPE&ab_channel=ABCNews

Hili linajulikana mkuu na hoja ishapelekwa hadi bunge la Ulaya ila inaitwa tu kapuni, kuna makumi ya Evidence kama sio Mamia.
 
Kipindi Trump anagombea urais dhidi ya Hillary Clinton, Donald Trump alipiga kombora zito lililowaacha wamarekani mdomo wazi. Trump alisema kuwa Obama kwa kushirikiana na Hillary Clinton ndiyo walioasisi kikundi cha kigaidi cha ISIS kilichoua malaki ya watu huko Syria.
Kauli hiyo ilinukuliwa na kurushwa na vyombo vikubwa vya habari ikiwemo CNN na ABC.

Ili kuthibitisha kauli ya Trump kuwa ni ukweli, kuna emails za Hillary clinton zilidukuliwa na mojawapo ya email ya Hillary inasema kuwa AL-QAEDA ni washirika (ally) wa Wamarekani huko Syria.

Hii inaonyesha kuwa siyo tu kwamba Marekani ni taifa lenye mbinu chafu lakini limekuwa ni mzizi wa ugaidi duniani, ambapo limekuwa likiasisi vikundi vya kigaidi halafu kusingizia wengine kuwa ni magaidi.

Ifahamike pia Serikali ya Marekani chini ya Ronald Reagan imewahi kushutumiwa vikali kwa kuendesha operesheni ya kuuza madawa ya kulevya kwenye mitaa ya watu weusi huko marekani ili kupata pesa za kifinance vita zake dhidi ya Sandinistas huko America ya kusini. Ishu hii inafahamika kama Iran-Contra affairs, ambapo CIA ilikuwa inauza madawa ya kulevya, kisha kutakatisha hizo pesa kwa kuizia silaha Iran (ambaye alikuwa ni hasimu wao) kisha pesa zinazopatikana zinenda kusaidia waasi wa sandinista.

HAPA CHINI UNAWEZA KUMSIKIA TRUMP AKISEMA OBAMA ALIANZISHA ISIS


View: https://www.youtube.com/watch?v=EzhCjC6NxPE&ab_channel=ABCNews

Bams
 
Kipindi Trump anagombea urais dhidi ya Hillary Clinton, Donald Trump alipiga kombora zito lililowaacha wamarekani mdomo wazi. Trump alisema kuwa Obama kwa kushirikiana na Hillary Clinton ndiyo walioasisi kikundi cha kigaidi cha ISIS kilichoua malaki ya watu huko Syria.
Kauli hiyo ilinukuliwa na kurushwa na vyombo vikubwa vya habari ikiwemo CNN na ABC.

Ili kuthibitisha kauli ya Trump kuwa ni ukweli, kuna emails za Hillary clinton zilidukuliwa na mojawapo ya email ya Hillary inasema kuwa AL-QAEDA ni washirika (ally) wa Wamarekani huko Syria.

Hii inaonyesha kuwa siyo tu kwamba Marekani ni taifa lenye mbinu chafu lakini limekuwa ni mzizi wa ugaidi duniani, ambapo limekuwa likiasisi vikundi vya kigaidi halafu kusingizia wengine kuwa ni magaidi.

Ifahamike pia Serikali ya Marekani chini ya Ronald Reagan imewahi kushutumiwa vikali kwa kuendesha operesheni ya kuuza madawa ya kulevya kwenye mitaa ya watu weusi huko marekani ili kupata pesa za kifinance vita zake dhidi ya Sandinistas huko America ya kusini. Ishu hii inafahamika kama Iran-Contra affairs, ambapo CIA ilikuwa inauza madawa ya kulevya, kisha kutakatisha hizo pesa kwa kuizia silaha Iran (ambaye alikuwa ni hasimu wao) kisha pesa zinazopatikana zinenda kusaidia waasi wa sandinista.

HAPA CHINI UNAWEZA KUMSIKIA TRUMP AKISEMA OBAMA ALIANZISHA ISIS


View: https://www.youtube.com/watch?v=EzhCjC6NxPE&ab_channel=ABCNews

In order to stop a bad man with a gun it requires a good guy with a gun.
 
Sasa mercineries kuvarishwa kofia na kufundishwa chants mbili tatu za dini ya kiislamu huo ni ushahidi kuwa wote ni waislamu?
Na kwanini hao mercenaries wasifundwe chants za dini nyingine kama uhindu, ubudha etc? Osama nae alifundishwa chants mbili tatu za uislam, alshabaab je?! Boko haram?
Hamas, Islamic jihad?
 
Kipindi Trump anagombea urais dhidi ya Hillary Clinton, Donald Trump alipiga kombora zito lililowaacha wamarekani mdomo wazi. Trump alisema kuwa Obama kwa kushirikiana na Hillary Clinton ndiyo walioasisi kikundi cha kigaidi cha ISIS kilichoua malaki ya watu huko Syria.
Kauli hiyo ilinukuliwa na kurushwa na vyombo vikubwa vya habari ikiwemo CNN na ABC.

Ili kuthibitisha kauli ya Trump kuwa ni ukweli, kuna emails za Hillary clinton zilidukuliwa na mojawapo ya email ya Hillary inasema kuwa AL-QAEDA ni washirika (ally) wa Wamarekani huko Syria.

Hii inaonyesha kuwa siyo tu kwamba Marekani ni taifa lenye mbinu chafu lakini limekuwa ni mzizi wa ugaidi duniani, ambapo limekuwa likiasisi vikundi vya kigaidi halafu kusingizia wengine kuwa ni magaidi.

Ifahamike pia Serikali ya Marekani chini ya Ronald Reagan imewahi kushutumiwa vikali kwa kuendesha operesheni ya kuuza madawa ya kulevya kwenye mitaa ya watu weusi huko marekani ili kupata pesa za kifinance vita zake dhidi ya Sandinistas huko America ya kusini. Ishu hii inafahamika kama Iran-Contra affairs, ambapo CIA ilikuwa inauza madawa ya kulevya, kisha kutakatisha hizo pesa kwa kuizia silaha Iran (ambaye alikuwa ni hasimu wao) kisha pesa zinazopatikana zinenda kusaidia waasi wa sandinista.

HAPA CHINI UNAWEZA KUMSIKIA TRUMP AKISEMA OBAMA ALIANZISHA ISIS


View: https://www.youtube.com/watch?v=EzhCjC6NxPE&ab_channel=ABCNews
Mimi nilisha wambia humu wavaa misalaba wakabisha, mtu anavaa msalaba karibu robo ton ya dhahabu, lakini hamsaidi mama yake au baba yake hahahaha ukristo noma sana. Huo msalaba una msaidia nini zaidi kukubalina na bibilia yao, mtu aliye tundikwa kwenye Cross ana lana
 
Back
Top Bottom