Trump alisema ataiweka tarrifs China za 60% kwa bidhaa zote mbona ameweka 10% tu?

Trump alisema ataiweka tarrifs China za 60% kwa bidhaa zote mbona ameweka 10% tu?

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Huyu bwana Trump Rais wa marekani wakati wa kampeni zake kabla hajawa Rais wa marekani mara kadhaa alikuwa akisema ataiwekea China tarriffs za 60% kwa bidhaa zote zitokazo China.

Jambo la kunishangaza ameweka 10% tu tofauti na alivyokuwa akitamba mara tu atakapo ingia ikulu ni nini kimetokea mpaka bwana huyu kupiga u-turn kali na kuweka asimilia ndogo tu tena kwa baadhi ya bidhaa ?

Tofauti kabisa na mwenzake China kajibu mapigo kwa kumlima 15% sasa sielewi huyu bwana DT zilikuwa tu sifa za kusaka kura ama nini ?
 
Huyu bwana Trump Rais wa marekani wakati wa kampeni zake kabla hajawa Rais wa marekani mara kadhaa alikuwa akisema ataiwekea China tarriffs za 60% kwa bidhaa zote zitokazo China.

Jambo la kunishangaza ameweka 10% tu tofauti na alivyokuwa akitamba mara tu atakapo ingia ikulu ni nini kimetokea mpaka bwana huyu kupiga u-turn kali na kuweka asimilia ndogo tu tena kwa baadhi ya bidhaa ?

Tofauti kabisa na mwenzake China kajibu mapigo kwa kumlima 15% sasa sielewi huyu bwana DT zilikuwa tu sifa za kusaka kura ama nini ?
Maneo bila video ni umbea tu.
 
Anaogopa imported inflation anajua hawezi kuzikimbia bidhaa za China
Japo ni nafuu kwa bei lakini nyingi sana ni feki, nimewahi kuishi Marekani na ninaongea kwa uzoefu.

Bidhaa za Japan, Korea Kusini, Taiwan, Mexico na Brazil zinazosafirishwa kwenda huko ni bora zaidi kuliko za China ila za kichina bei ziko chini.
 
Japo ni nafuu kwa bei lakini nyingi sana ni feki, nimewahi kuishi Marekani na ninaongea kwa uzoefu.

Bidhaa za Japan, Korea Kusini, Taiwan, Mexico na Brazil zinazosafirishwa kwenda huko ni bora zaidi kuliko za China ila za kichina bei ziko chini.
Bidhaa gani ?
 
Huyu bwana Trump Rais wa marekani wakati wa kampeni zake kabla hajawa Rais wa marekani mara kadhaa alikuwa akisema ataiwekea China tarriffs za 60% kwa bidhaa zote zitokazo China.

Jambo la kunishangaza ameweka 10% tu tofauti na alivyokuwa akitamba mara tu atakapo ingia ikulu ni nini kimetokea mpaka bwana huyu kupiga u-turn kali na kuweka asimilia ndogo tu tena kwa baadhi ya bidhaa ?

Tofauti kabisa na mwenzake China kajibu mapigo kwa kumlima 15% sasa sielewi huyu bwana DT zilikuwa tu sifa za kusaka kura ama nini ?
Taarifu zitalipwa na wa marekeni wenyewe usa hawana compititive economic advantage maana wao sio industrialiazed country labda silaha pekee yake
 
Japo ni nafuu kwa bei lakini nyingi sana ni feki, nimewahi kuishi Marekani na ninaongea kwa uzoefu.

Bidhaa za Japan, Korea Kusini, Taiwan, Mexico na Brazil zinazosafirishwa kwenda huko ni bora zaidi kuliko za China ila za kichina bei ziko chini.
Unajua maana ya fake? Hizo bidhaa za Mexico zinazoenda Marekani nyingi zinaingia Marekani kupitia Mexico kama third party
 
Mchina hakimbiwi kirahisi rahisi, ana tunguvu twake na yeye.
 
Japo ni nafuu kwa bei lakini nyingi sana ni feki, nimewahi kuishi Marekani na ninaongea kwa uzoefu.

Bidhaa za Japan, Korea Kusini, Taiwan, Mexico na Brazil zinazosafirishwa kwenda huko ni bora zaidi kuliko za China ila za kichina bei ziko chini.
Kwahio Bei za china kuwa chini huko Marekani ndio sababu za kuwa ni bidhaa fake?.
 
Back
Top Bottom