Trump amefungulia milipuko mikubwa ya magonjwa yaliyowahi kudhibitiwa na WHO.

Trump amefungulia milipuko mikubwa ya magonjwa yaliyowahi kudhibitiwa na WHO.

ngusillo

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2019
Posts
1,064
Reaction score
2,017
Maamuzi ya Bw. Trump, [the disgraced president of the United States of America.,] kuzuia kutoa ada na mchango wake kwenye shirika la afya duniani ni ya kusikitisha mno.

Madhara yake ni makubwa mno. Na ni wazi kuwa yatasababisha milipuko na kushindikana kuyazuia maradhi mengine mfano polio, ebola, ukimwi, homa ya manjano, dengu, nk. kusambaa duniani.

Matendo haya ya Trump yanafananishwa na maandalizi ya kusababisha vifo kwa maelfu au mamilioni kwenye jamii maskini kabisa duniani hasa Afrika.

Kwa maamuzi haya na mengine, baadhi ya wanausalama wa Marekani wameanza kumwona Trump kama tishio la usalama maisha ya binadamu na hata wamarekani.

Trump anaweza kuwa anatenda haya kwa kufuata ushauri wa wapambe wake wanaomwaminisha kuwa yeye yupo sahihi wakati wote.

Zipo dalili za wazi za kuchokwa kwa Bw. Trump na wamarekani na hata na vyombo vya usalama vya nchi hiyo maarufu duniani.

Sisi huku kwa makapuku tuendelee na maisha yetu ya kimaskini na kumtegemea Mungu. Kama ametupangia maangamizi hata Trump hawezi kutuokoa. Kama ilivyoandikwa "Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu".

Ni hoja tu nawasilisha.
 
Maamuzi ya Bw. Trump, [the disgraced president of the United States of America.,] kuzuia kutoa ada na mchango wake kwenye shirika la afya duniani ni ya kusikitisha mno.

Madhara yake ni makubwa mno. Na ni wazi kuwa yatasababisha milipuko na kushindikana kuyazuia maradhi mengine mfano polio, ebola, ukimwi, homa ya manjano, dengu, nk. kusambaa duniani.

Matendo haya ya Trump yanafananishwa na maandalizi ya kusababisha vifo kwa maelfu au mamilioni kwenye jamii maskini kabisa duniani hasa Afrika.

Kwa maamuzi haya na mengine, baadhi ya wanausalama wa Marekani wameanza kumwona Trump kama tishio la usalama maisha ya binadamu na hata wamarekani.

Trump anaweza kuwa anatenda haya kwa kufuata ushauri wa wapambe wake wanaomwaminisha kuwa yeye yupo sahihi wakati wote.

Zipo dalili za wazi za kuchokwa kwa Bw. Trump na wamarekani na hata na vyombo vya usalama vya nchi hiyo maarufu duniani.

Sisi huku kwa makapuku tuendelee na maisha yetu ya kimaskini na kumtegemea Mungu. Kama ametupangia maangamizi hata Trump hawezi kutuokoa. Kama ilivyoandikwa "Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu".

Ni hoja tu nawasilisha.
Mimi mnanishangaza sana mnavyobwekabweka kuhusu funds za USA. Kwa nyinyi nchi zenu zimekatazwa kuendelea kutoa michango au kuchangia kiasi kikubwa zaidi ya hicho cha USA ?

Mjifunze kwamba kila kiongozi anaangalia maslahi ya watu wake. Nyie kama rais wenu amewatelekeza pambaneni na hali yenu
 
Mimi mnishangaza sana mnavyobwekabweka kuhusu funds za USA. Kwa nyinyi nchi zenu zimekatazwa kuendelea kutoa michango au kuchangia kiasi kikubwa zaidi ya hicho cha USA ?

Mjifunze kwamba kila kiongozi anaangalia maslahi ya watu wake. Nyie kama rais wenu amewatelekeza pambaneni na hali yenu
Hapa unamaanisha nani? Polio au ebola ikisambaa hata huko Marekani itafika.

Trump aliposikia wachina wanateketea aliona kama Mungu kamrahishia kazi ya kuishusha china kiuchumi. Akaja na maneno ya kwenye khanga eti chinese virus.
 
Inabidi China asolve hii ishu sababu yeye ndo mhithiwa anachanga kidogo halafu anakuwa na mdomo mrefu wakati sometime anaahidi halafu hadonate
 
Hapa unamaanisha nani? Polio au ebola ikisambaa hata huko Marekani itafika.

Trump aliposikia wachina wanateketea aliona kama Mungu kamrahishia kazi ya kuishusha china kiuchumi. Akaja na maneno ya kwenye khanga eti chinese virus.
Acha maneno
China wao ni donor country wafidie hizo dola 400M zilizokuwa zinatolewa na marekani
 
Hii hatua ya Trump itakuwa na athari mbaya sana hasa wakati huu ambapo baadhi ya nchi zinategemea sana msaada wa WHO ili kuimarisha sekta zao za afya kupambana na Corona.
Hivi ana mamlaka ya kuzuia yeye? I thought Congress controls the funding as they literally are in charge of the US Budget.
 
Nampongeza Trump kwa uamuzi wake.
Ameonyesha kuwajali watu wake.
Sidhani kama kuna mtoto chizi anayeweza kumlaumu mzazi wake pindi anapisitisha kuzisaidia familia za nje.
Kwetu ni pigo ila kwa Wamarekani ni neema
Mimi mnishangaza sana mnavyobwekabweka kuhusu funds za USA. Kwa nyinyi nchi zenu zimekatazwa kuendelea kutoa michango au kuchangia kiasi kikubwa zaidi ya hicho cha USA ?

Mjifunze kwamba kila kiongozi anaangalia maslahi ya watu wake. Nyie kama rais wenu amewatelekeza pambaneni na hali yenu
 
Nampongeza Trump kwa uamuzi wake.
Ameonyesha kuwajali watu wake.
Sidhani kama kuna mtoto chizi anayeweza kumlaumu mzazi wake pindi anapisitisha kuzisaidia familia za nje.
Kwetu ni pigo ila kwa Wamarekani ni neema
So obvious
 
Yeye ni mwanachama kama wengine ana haki ya kujitoa kwa manufaa yake, cha msingi tuliobaki tutafute namna ya kupambana na hali zetu
Toa maoni basi mbn unawapa wengine mzigo wa kufikiria wakati umependekeza namna ya kufanya.
 
Turampet yuko sahihi wanatakiwa wajifunze kutembea kwamiguu yao wenyewe sasa

Heko Donald Hatakama Wengi Tutaumia Juu Yamaamuzi Haya


Paula Paul

Sent using My COVID-19
Uzuri wa hii strategy ni kwamba watu wataumia kwa kipindi flani then wataweza kusimama kwa miguu yake then baada ya hapo nchi mbalimbali duniani zitakua haziiogopi US maana zinajua haziitegemeii kwa lolote lile,hata ipige mikwara ya Vikwazo watu hawashtuki tena.

Trump anadhani wenzake walikua wajinga ku-print ma $$$ na kuyagawa kwny mashirika/nchi mbalimbali?Wanajua mtoa pesa ndio ataheshimika na ndio gharama za u-superpower,sasa wewe hutoi pesa nani akuogope hapa Duniani?

Trump inatakiwa aendelee kufanya hivi hivi baada ya muda kidogo itakua US ikitoa tamko/vikwazo ni kama vile tu ambavyo belgium/italy/Norway imetoa tamko yaani hamna mtu anshtuka wala nini.
 
Back
Top Bottom