Trump amegundua kiasi cha $50million kilitaka kutumika kutoa msaada wa Condoms huko Gaza.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715


Mind you, hamas imekuwa ikitumia kondomu zilizojazwa heliamu kuelekeza mabomu kupitia mpaka wa Israel ili kufanya madhara.


 
ni jambo jema maana walifanya assessment wakaona kujamiiana ni hitaji la mwili wabinadamu na haliepukiki hata kama watu wapo vitani ,lakini usiku watu watakuwa wakiviziana ili kutimiza hitaji hili la kibaiologia. Sasa sababu watu wapo kwenye disruption ya makazi pamoja na familia inawezekana watu wakafanya ngono na multiple partners ikawa chanzo cha kuambukizana stds na kupeana mimba. Ingawa likaonekana Kama jambo la kipuuzi lakini ukifikiria katika upeo wajuu utaoona ni kwania nzuri
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…