Trump ameshatangaza nia ya kugombea Urais, akina Bashiru msiogope tangazeni!

Trump ameshatangaza nia ya kugombea Urais, akina Bashiru msiogope tangazeni!

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
743
Reaction score
1,839
Ili kunogesha siasa za nchi yetu nashauri wanasiasa wote ndani ya CCM na nje ya CCM wanaoona wanaweza kuwa marais wa nchi watangaze mapema waanze kujijenga na kutoa sera zao mbadala mapema.

Watu wasikubali kufungwa midomo. Trump ameshaanza marekani wakati uchaguzi ni Nov 2024 na hapa kwetu hadi mwakani ni vyema tukawatambua wote wanaotaka Urais.

Anzeni kwenye vyama vyenu wakizingua mnaunda coalition nje ya vyama vyenu
 
'Siyo utamaduni wetu'. Daah, utapeli wa kiasiasa bongo
 
Dr. Bashiru Ali atajuta kuongoza kile kikosi kazi chake cha kuchunguza mali za chama. Uadui wake na ccm asilia ulianzia pale.

Alipokuja kuzawadiwa na ukatibu mkuu wa chama, ndiyo kabisaaa!
 
Naendelea kujifunza tabia za binadamu.

Haijafika siku kuanza kushangilia mtu anayeshambuliwa hasa hasa hawa wanasiasa, huwa navuta subra, maana hata wakati ule Bim anaingia baada ya legend (jeshi la mtu mmoja) kufariki.

Humu humu JF kulikuwa na vigeregere ila leo wengi wamekuwa wapole sana.

So hata hii movie ni kutulia tu, maana wanasiasa siyo wa kuwaamini.
 
Back
Top Bottom