Trump amezidi kuwa kituko cha dunia. Maagizo yake mengi yamepingwa wazi nje na ndani ya nchi

Trump amezidi kuwa kituko cha dunia. Maagizo yake mengi yamepingwa wazi nje na ndani ya nchi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mara baada ya kuapishwa alitishia kuimiki Green Land na mfereji wa Panama huku akiwatishia amani Canada na Mexico zinazopakana na Marekani.

Kwa upande wa Palestina amewatishia amani vibaya wapiganaji wa Hamas kama waisngeachia mateka wote kufikia Jumamosi iliyopita na si kwa mujibu wa mkataba wa kusitisha vita tu.

Hamas kwa upande wao hawakutikisika na vitisho hivyo na wameendelea kuachia mateka kulingana na ratiba zao.
 
Mkutano unaoendelea Riyadh nao haujafuata amri zake
 
Mkutano unaoendelea Riyadh nao haujafuata amri zake
 
Back
Top Bottom