Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Donald Trump ameendelea kuwashangaza wengi baada ya kumteua Matt Gaetz, mmoja wa wafuasi wake chawa aliye chini ya uchunguzi wa kufanya ngono na msichana wa miaka 17 pamoja na kutumia dawa za kulevya kuwa mwanasheria mkuu wa Marekani.
Wamarekani mbalimbali kutoka pande zote za Democrats na Republicans wamelalama kwa uteuzi huo.
Wamarekani mbalimbali kutoka pande zote za Democrats na Republicans wamelalama kwa uteuzi huo.