mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Angekuja kupinga.ila kakaa kimya ina maana anajua alichofanya.Mimi sioni kosa la jamaa.ana haki kulalamika.kama kukopi aende akakopi Google. Atuletee.Kila information tunazo pata duniani someone somewhere alijitutumua ndio na sie tuka pata.
Yaan namkubali sana bold kuwa huwa ana anaandika ila sasa info kama za leo kosa ni kuwa jamaa hajasema tu kuwa katoa kwa bold.
Pia ni mpaka ujue kuwa jamaa naye hii makala kaipata wapi, uskute hata hayuko kwenye hilo group, uskute alifowardiwa naye.
Sijapinga kazi yake ila napinga hii kitu imefanywa big deal wakati si big deal hata. Ni taarifa tu hizi tunashare.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] JohnsooooooonJibu rahisi tu mimi ndie niliependekeza hilo group liundwe ili angalau arosto ya kusoma ipungue coz kule anatoa 4episode kwa wiki, wakati huo hapa ile itaendelea kama ilivokuwa mwanzo tofauti ipo kidogo tu nyie mkiwa na ep 10 , sisi tuna 30 lakini mtatufikia Tu.
hata makanisani kuna VIPs wao wanapata huduma popote mchungaji anamfata wakati huo waumini wengine mnaendelea kumsubiri,
ukiandaa kitu kikaungwa na wengi matunda yake ndo haya wakuu jaribuni na nyie kucreate vitu kama hivi neema itawadondokea,
Haina haja ya mabeef kama watoto wa kike, hata mwalimu anapofundisha darasani huwa anatumia vitabu vilevile kama wengine wanavotumia lakini akifaulisha sifa zinamwendea yy peke yake badala ya waandishi wa hivo vitabu, kutransilate lugha hasa ya kiintelejensia au kidaktari ni shuhuli mkuu tusidanganyane,,,
NB:
nimecheka jamaa alivoanza eti nimetumia siku nzima kufatilia kiapo cha trump,
Hv wikipedia pia walianzia hapo???
Muone upambe tu [emoji23] [emoji23] ww ndo mtuhumiwa namba one hapa kama hujanote hilo, huyo mumeo ni chambo tu,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Johnsooooooon
[emoji119] [emoji119]
Muombe radhi.The Bold,bora ungekaa kimya kuliko ulichokifanya,usipende kulaumu tu sometimes uwe unashukuru pia,mimi nimtu ambae waga nakuona upo smart sana,bt kwa majibu yako ya leo nimekushusha vyeo,unaonekana kama kasichana ka kiswahili,ukikaita tu kanatoa matusi bila kujua ulitaka kusema nn.
Nakisimamia nilichokisema.Muombe radhi.
Sikatai kutokukubaliana hilo ni jambo la kawaida ila hukubaliani nae kwa hoja gani?Sina chuki yoyote usilete mapenzi kwenye maswala ya msingi ,
Mimi silali naye kitandani huyo kwamba kila anachosema lazima nikubaliane naye
Ujue hata the bold angenyamaza kama dogo alivo fanya angekuwa ame score big time, lakini reaction yake ndio imenishangaza kidogo.Angekuja kupinga.ila kakaa kimya ina maana anajua alichofanya.Mimi sioni kosa la jamaa.ana haki kulalamika.kama kukopi aende akakopi Google. Atuletee.
Sababu ni nini!?kutetea haki yake?N
Nakisimamia nilichokisema.
Sio Mara ya kwanza hii.watazoea.Ujue hata the bold angenyamaza kama dogo alivo fanya angekuwa ame score big time, lakini reaction yake ndio imenishangaza kidogo.
Kwa kuwa wapo waliokwisha sema ni andiko la the bold tayari ilitosha
Ila sasa naye kaja kuanza kutoa povu hapo ndio yaan kanishangaza mpaka now.
Habari zenyewe za Nuclear ball ya US ndio wabongo hadi mnagombana!!. The bold ni mtu makini ila kwa leo sija muunga mkono reaction yake kabisaa!
Nimeliona hilo shem darling, lakini hawatuwezi kamwe.Muone upambe tu [emoji23] [emoji23] ww ndo mtuhumiwa namba one hapa kama hujanote hilo, huyo mumeo ni chambo tu,
Sababu ni yeye kujibu watu vibaya,na narudia tena,nakisimamia nilichokisemaSababu ni nini!?kutetea haki yake?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Yoyote anayecopy andiko lolote bila acknowledgement ya mwandishi halisi , sio sawa ni kama Plagiarism tu
Copy (translation) - Copy (JF) hii yote ni plagiarism. , cha msingi sioni mjadala wa maana humu Bali kuumbuana tabia zenu
Nukuu ya Dr Mengi * Wanaokumbia wako nyuma yako ukigeuka huoni hata mmoja*
Umeiona post yake ya kwanza?umeona waliokuwa wakimjibu vibaya!Sababu ni yeye kujibu watu vibaya,na narudia tena,nakisimamia nilichokisema
Uzuri ni kuwa nyie the bold familly mpo, ikitokea tena mje hapa m clarify na kusema hii ni kazi ya ni the bold.Sio Mara ya kwanza hii.watazoea.
Hakika hii thread imeumbua wanafiki wengi sana mkuuYoyote anayecopy andiko lolote bila acknowledgement ya mwandishi halisi , sio sawa ni kama Plagiarism tu
Copy (translation) - Copy (JF) hii yote ni plagiarism. , cha msingi sioni mjadala wa maana humu Bali kuumbuana tabia zenu
Nukuu ya Dr Mengi * Wanaokumbia wako nyuma yako ukigeuka huoni hata mmoja*
Hatukatai kama haya mambo yapo Google. Ila sio vizuri mwenzako akae aandike weww uje tu ulete humu.amekutuma!?Uzuri ni kuwa nyie the bold familly mpo, ikitokea tena mje hapa m clarify na kusema hii ni kazi ya ni the bold.
Pia the bold naye akiandika awe ana clarify katoa wapi info zake, yaan hii ishu itakuwa simple tu.
Uzuri mwandiko wa bold mi naujua nilipo isoma tu info nilijua yake. Lakin content ni public kabsaa, nadhani mleta mada hakutaka ashindane na the bold ila alutaka tupate habari tu kama ilivyo ada ya jf.
Wewe bila shaka ni boko haramuNa aekekeze tuu Afrika nashariki hukuu maana hatuoni la maana wanalolifanya watawala wetu
[emoji120] [emoji120] Mungu yupoNimeliona hilo shem darling, lakini hawatuwezi kamwe.
#TheBold's [emoji123]