Niletee kule whatsappUmeelewa nilichoandika hapo lakini?
Ngoja nami niingie Google nitafute stori halafu niitafsiri halafu niilete humu ili nikupate wewe mchuchu [emoji39] [emoji39]
Nikikuletea huko ntakupata ili uwe mchuchu wangu?Niletee kule whatsapp
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] matola nimekumissssLione kwanza wivu tu pumbaaavuu.
Mvunja sheria anafatiliwa sehemu yoyote ile ndio maana hata gazeti la kisiwa walipotumia bandiko lake walifuatwa hukohuko.Kama amevunja sheria za group la WhatsApp, akamlalamikie huko WhatsApp.
Hivi ukivunja sheria za JF, utalalamikiwa humu humu Jf au kule Facebook?
Pole braza na mi nilihisi.... haya ni mawazo yako kabiiisa the boldHebu kuwa na aibu hata kidogo..
Huo mchezo unaoufanya wewe/mwenzako anayekuibia makala kutoka kwenye group la "Simulizi Za The Bold" alafi unakuja kuziweka huku bila aibu kujifanya za kwako siku zenu zinahesabika.. I'm tracking you down, soon mnakuwa removed from the group.. Ndani ya siku mbili tu nawatumbua..
Shame.!!
[emoji23][emoji23][emoji23] ! Its over jooh![emoji23] [emoji23] Hata mimi nilikuwa namtani sana tu, lakini baada ya kuona nimekosa siti nilikubali kusubiri gari lingine nitakalokaa kwa kujinafasi, tatizo wenzetu wanakaa mbagala wao kuparamia madirishani hawaoni noma[emoji23]
Na yeye si aende Google. Akachukue matirio.atafsiri.alete.kwani amekatazwa?sio unakurupuka tu.mwenzio amepigika huko kutafsiri na kuandika.we unaleta tu.umetumwaaa?Tabia za kichokostiki mwanaume kumind vitu vidogo mbona wewe huwa huwapi credits zao huko kwenye sources za unapochukulia hizo makala kabla hujakaa chini na kuzitranslate before kuzileta huku Jf......
Jf ni uwanja mpana tufanye watu wazidi kuufanya kuwa mpana zaidi na zaidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106][emoji23][emoji23][emoji23] ! Its over jooh!
Na mimi unaweza kuniunga kwenye hilo group mkuu? Napenda sana makala zakoHebu kuwa na aibu hata kidogo..
Huo mchezo unaoufanya wewe/mwenzako anayekuibia makala kutoka kwenye group la "Simulizi Za The Bold" alafi unakuja kuziweka huku bila aibu kujifanya za kwako siku zenu zinahesabika.. I'm tracking you down, soon mnakuwa removed from the group.. Ndani ya siku mbili tu nawatumbua..
Shame.!!
Nimekuelewa mkuu lakini ile thread ya humu si kama imefutwa no lipo na linaendelea na ratiba yake kama kawaida tofauti ni kwamba kule itakuwa (hajaanza kutuma) 4times/week sasa labda kiherehere changu ndo kimeleta yote haya hesabu ni kiasi gani tunapoteza kwa vitu vya kipuuzi? mm ni mpenzi wa kwenda bar lakini nimepiga hesabu kule hadi nipate stimu natumia 20000 per day kwa week naenda mara hata 3 siku za kaw
Bila shaka Mkuu..Na mimi unaweza kuniunga kwenye hilo group mkuu? Napenda sana makala zako
Khaaaaaa!! Tony hupo nyumba hii hii??[emoji23][emoji23][emoji23] ! Its over jooh!
Huna shemeji aiseeeKhaaaaaa!! Tony hupo nyumba hii hii??
Shemeji yako ninavyotundikwa msalabani, mwanawane umejificha kama petro hahahahahahah
Itabidi nikupokonye dadangu Clkey bora tu aendelee kubaki na bab bite johnsonmgaya ushujaa wake kama steringi wa kihindi.. Mtu mmoja anachakza kijiji choteeeee peke yake hahahahahaha
Hahahaa! Nipo mkuu post # 96Khaaaaaa!! Tony hupo nyumba hii hii??
Shemeji yako ninavyotundikwa msalabani, mwanawane umejificha kama petro hahahahahahah
Itabidi nikupokonye dadangu Clkey bora tu aendelee kubaki na bab bite johnsonmgaya ushujaa wake kama steringi wa kihindi.. Mtu mmoja anachakza kijiji choteeeee peke yake hahahahahaha
Eeeh! Tushamaliza hii kesi mama!Huna shemeji aiseee
Mm nmepata hasira tu ikanibidi kunyamaza mai kaka
Upo sahihi kabisaaa,hata mm niliamua kukaa kimya japo roho ilikuwa inaniumaHahahaa! Nipo mkuu post # 96
Ilibidi niwe mpole kidogo baada ya kuona personal attacks zinazidi badala ya watu kufanya debate ya hoja, sasa ukizingatia mimi na nifah tumenyonya ziwa moja. Ningefanya vurugu sana humu
Lakini pia ni busara kuwa mkimya hasa unapoona kuwa watu wana jazba na wewe, wana wivu na chuki juu yako..
Unapaswa kutumia busara ! Wengi humu Jf hatufahamiani katika maisha halisi kuwa ila tumetokea kuwa marafiki humu kutokana na michango na mawazo ya wanaJf
Ni vizuri tukadumisha upendo huo.
Ushauri:
The bold wewe sio malaika hivyo kaa ukijua sio kila mtu anapenda unachofanya..
Mwisho: Naamini tofauti zenu zimeisha mkuu ! Na maisha ya Jf yanaendelea sasa.
Alaaa hapo sawa babaEeeh! Tushamaliza hii kesi mama!
Hahahaa! Nipo mkuu post # 96
Ilibidi niwe mpole kidogo baada ya kuona personal attacks zinazidi badala ya watu kufanya debate ya hoja, sasa ukizingatia mimi na nifah tumenyonya ziwa moja. Ningefanya vurugu sana humu
Lakini pia ni busara kuwa mkimya hasa unapoona kuwa watu wana jazba na wewe, wana wivu na chuki juu yako..
Unapaswa kutumia busara ! Wengi humu Jf hatufahamiani katika maisha halisi kuwa ila tumetokea kuwa marafiki humu kutokana na michango na mawazo ya wanaJf
Ni vizuri tukadumisha upendo huo.
Ushauri:
The bold wewe sio malaika hivyo kaa ukijua sio kila mtu anapenda unachofanya..
Mwisho: Naamini tofauti zenu zimeisha mkuu ! Na maisha ya Jf yanaendelea sasa.
Hahaa! Sawa mkuu! See you at 20:00HRS [emoji23][emoji23][emoji23]Well said.! Kabisa shemeji
Tofauti zishaisha toka Jana, maisha ya JF yanaendelea.. Kugoogle pia kunaendelea hahahahahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Well said.! Kabisa shemeji
Tofauti zishaisha toka Jana, maisha ya JF yanaendelea.. Kugoogle pia kunaendelea hahahahahahaha