Trump apewe nuclear codes

Na Urusi ana Dead Hand, ambayo ilikuwa enzi za USSR ingawa wachunguzi wanasema bado iko active, kwamba hata watu wote wakifa makombola yanaweza jifyatua yenyewe kwa kuhisi tu mtikisiko,
kunakuwa na makombora chini ya ardhi,sasa moscow ikipigwa na watu wakafa ikiwemo Rais,basi kuna mitambo inasense radioactive kisha inafyatua makombora automaticaly
 
Mkuu niadd huko
 
kama kwamba the bold ana monopoly na hizo taarifa,si aweke copyright basi,
kwanza hizo ni public knowledge huyo bold anachofanya ni kuzitafuta na kuzitafsiri tu,au nae yuko pentagon wanamleteaga habari?

Kama ni kitu rahisi tu kwamba ati The Bold "anatafsiri tu" ni vyema mkanfanya hivyo na nyinyi sio kukopi alichoandika The Bold..

Eti "anatafsiri tu" hahahahahahah binadamu bhana..

Asante Mzee msekwa kwa huu msemo; "kuna watu wana wivu wa kike"
 
Mwenyewe pia katafsiri tu toka Wikipedia and other internet sources! Anyways, anatumia muda kutafsri makala zilizoandikwa na wengine!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kwahiyo umetumia akili zako zote Mungu alizokujalia na umeconclude kitu anachofanya huyu bwana ni sahihi?? So sad..
Mkuu the bold, msamehe bure yule ntu nahc hajatambua nn maana ya plagiarism.......
 
Mkuu the bold, msamehe bure yule ntu nahc hajatambua nn maana ya plagiarism.......

Nimemsahe bure yeye na wenzake wanaomtetea! Hii ni moja ya sababu kwanini nimepunguza kuweka makala huku JF.. Wao ni mafundi wa kubeza tu.. Huyu aliyepost huu uzi ni muhuni na narudia tena, am going to get you sooner or latter..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…