Mkuu the bold vbaya hvy bhana, kumbe una group nyeti unatupiaga nondo km hizi whl huku huzitupii, ndio maan jamaa kadukua.......Shukrani Mkuu..
Huyu muhuni/mwenzake anayemuibia makala kule kwenye group nawatumbua ndani ya siku mbili tu..
Sioni ni kwanini ukasirike mkuu wakati none of the content is the work of your hands!Shukrani Mkuu..
Huyu muhuni/mwenzake anayemuibia makala kule kwenye group nawatumbua ndani ya siku mbili tu..
Mwenyewe pia katafsiri tu toka Wikipedia and other internet sources! Anyways, anatumia muda kutafsri makala zilizoandikwa na wengine!Nilikuwa najua ni makala yake.kumbe kakuibia.?
Even me, i like the membership in that group.......Daah, mkuu naomba na mimi niingie kwenye kundi basi.
Unaingia bure au unalipa?
Hilo group kujiunga inahusisha kuweka namba za simu ?Daah, mkuu naomba na mimi niingie kwenye kundi basi.
Unaingia bure au unalipa?
kunakuwa na makombora chini ya ardhi,sasa moscow ikipigwa na watu wakafa ikiwemo Rais,basi kuna mitambo inasense radioactive kisha inafyatua makombora automaticalyNa Urusi ana Dead Hand, ambayo ilikuwa enzi za USSR ingawa wachunguzi wanasema bado iko active, kwamba hata watu wote wakifa makombola yanaweza jifyatua yenyewe kwa kuhisi tu mtikisiko,
Hilo group kujiunga inahusisha kuweka namba za simu ?
Mbona balaa hili
The bold hasira za nini mkuu ? Hizi mambo si zipo tu labda angefanya tu ku kuacknowledge
Dah basi pole aisee jamaa naona ana watu wengi anao watag labda anapitiwa ila sio kesi mbona kuna online libraries kibao na Novel nyingi tu za mambo haya unaweza somaDuuuh balaa sana!
The Bold nikimuombaga hata anitag kwenye post zake anauchunaga aisee.
Dah basi pole aisee jamaa naona ana watu wengi anao watag labda anapitiwa ila sio kesi mbona kuna online libraries kibao na Novel nyingi tu za mambo haya unaweza soma
kama kwamba the bold ana monopoly na hizo taarifa,si aweke copyright basi,kwahyo umecopy kutoka kwenye group alivyopost The Bold umeleta JF
Mkuu niadd hukoHebu kuwa na aibu hata kidogo..
Huo mchezo unaoufanya wewe/mwenzako anayekuibia makala kutoka kwenye group la "Simulizi Za The Bold" alafi unakuja kuziweka huku bila aibu kujifanya za kwako siku zenu zinahesabika.. I'm tracking you down, soon mnakuwa removed from the group.. Ndani ya siku mbili tu nawatumbua..
Shame.!!
Sioni ni kwanini ukasirike mkuu wakati none of the content is the work of your hands!
Labda kwakua tu umetafsiri "labda" toka Wikipedia! Of which inaeleweka pia!
Nuclear football - Wikipedia
Hilo group kujiunga inahusisha kuweka namba za simu ?
Mbona balaa hili
The bold hasira za nini mkuu ? Hizi mambo si zipo tu labda angefanya tu ku kuacknowledge
kama kwamba the bold ana monopoly na hizo taarifa,si aweke copyright basi,
kwanza hizo ni public knowledge huyo bold anachofanya ni kuzitafuta na kuzitafsiri tu,au nae yuko pentagon wanamleteaga habari?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sioni ni kwanini ukasirike mkuu wakati none of the content is the work of your hands!
Labda kwakua tu umetafsiri "labda" toka Wikipedia! Of which inaeleweka pia!
Nuclear football - Wikipedia
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mwenyewe pia katafsiri tu toka Wikipedia and other internet sources! Anyways, anatumia muda kutafsri makala zilizoandikwa na wengine!
Mkuu the bold, msamehe bure yule ntu nahc hajatambua nn maana ya plagiarism.......Kwahiyo umetumia akili zako zote Mungu alizokujalia na umeconclude kitu anachofanya huyu bwana ni sahihi?? So sad..
Mkuu the bold, msamehe bure yule ntu nahc hajatambua nn maana ya plagiarism.......
Hilo group kujiunga inahusisha kuweka namba za simu ?
Mbona balaa
Mbona jamaa ameuliza fresh tu.Watu wengi hatulijui hilo group.No one invited YOU..
Sceptic!