Trump apewe nuclear codes

Mkuu, the thing is mimi na wewe tunajua kuhusu mfano ishu 'A'. Wewe ukaifanyia kazi mfano deeper research, ukaitranslate na ukaipangilia na kuipost katika group lako la whatsapp or wherever.

Mimi hapa Karucee nichukue makala yako 'A' niikopi na kuipesti tena word by word humu ama sehemu ingine ile kama vile ya kwangu. Na inajulikana kabisa ile makala ni ya kwako. Nitakua nimekutendea haki?


Kama na mimi najua chochote ningechangia makala yako kwa kuiongezea nyama, kuikosoa ama kui challenge. Am telling you ingekuwa tamu. Heated debates but intellectual ones.

I hope umeelewa. Samahani kwa kuboreka na ushinde salama.
 
Nafikiri akikupa credit sio mbaya kama tunaweza soma kupitia yeye
 
Sikupingi na uko vizuri.....ila ishu hapa ya pili ni kutokusema ya kuwa Source ni nani.....?
Je naye anapofanya hivyo anatoa Source...?
Mfano Nuclear football - Wikipedia
 
Kibaya zaidi wenzake wakiweka Post humu ili watu wasiokuwa kwenye Group lake wapate povu linamtoka kumbe naye apata kutoka Source nyingine.......Ndivyo habari zilivyo....na hapa ni JF kama hutaki watu wakopi andika kitabu...
Nenda kwenye nakala yake ya kipepeo ili ujue kwann kaunda grp sio mnabeza tuu....
 
Sikupingi na uko vizuri.....ila ishu hapa ya pili ni kutokusema ya kuwa Source ni nani.....?
Je naye anapofanya hivyo anatoa Source...?
Mfano Nuclear football - Wikipedia
Unapotaka ku accredit source ya makala yako unafanya hivyo mfano ume quote directly ama umechukua kipande kutoka kwenye kazi ya mtu ili usiwe accused of plagiarism.

Mfano hapo kwenye Nuclear football, angekua ametoa definition kutoka kwa wikipedia hapo ingemlazimu kutaja source kwa ku cite wikipedia na kama ni kitabu ataje page na authors na edition etc.

Sijapitia makala zake in depth kwa sababu nilikua sipo JF mda mrefu sana but I hope to see some accreditations where due.

Wewe ni muelewa unapoelekezwa na unaonekana unaweza kutoa challenges zinazonogesha utafutaji wa elimu.

Big up sana mkuu.
 
mkuu unapoandika makala yoyote lzm uwe na source tofauti ikiwemo internet ,makala na vitabu tofauti ukiandika makala toka kichwani bila ya kuwa na source hyo inakuwa hadithi za kusadikika!
Principles za uandishi ni kua kama wewe sio direct source ya a certain information unapokipublish unatakiwa kusema umekitoa wapi! Unless otherwise hiyo inaitwa pladgerism, of which it is an offence!
 
Mdukuaji nampa Pongezi za Kipekee kwa kuleta hi habari hapa...
Ila Siku nyingine utuambie Makala ni ya The Bold. Aipendezi kumalizia mpira wavuni bila kumpa sifa mpiga pasi wa mwisho.....
 
Salute kwa mdukuzi hii kitu ingetupita hii tusio kwenye grupu
 
Mdukuaji nampa Pongezi za Kipekee kwa kuleta hi habari hapa...
Ila Siku nyingine utuambie Makala ni ya The Bold. Aipendezi kumalizia mpira wavuni bila kumpa sifa mpiga pasi wa mwisho.....
hahahahahahahah.!! Mdukuaji amekuwa kama Snowden..

Watu wanampongeza na sisi serikali ya Marekani tunamsaka kwa udi na uvumba..
 
Kuishi na watu ni.kaz kudadek..watu walio kuwa wanasoma KIPEPEO ndio walio muomba THE BOLD afungue grp la whats app japp wampe yakupozea koo kwa kazi nzur

SasaCHARMILTON na wenzio mnaobeza bila kujua hivi story ya KIPEPEO mmeisoma kweli??

Maana ni.nzur ..so watu wakaona soo kusoma bure inakuwa kama wanamuiba mshikaji vile...THE.BOLD hajabagua watu kabisa .....

Eti sifa anazo pewa na watoto wa kike...wakuu kutafsir si jambo la kitoto

Usome uelewe then uandike then jitu linacopy kilais lais hivyo...yanakuja majitu yanasemwa yanatengwa

Someni KIPEPEO muone ushujaa wa huyu wa mtu

Achen zenu jamaa,yupo gerezan anamkosa cheupe na majitu inatibua zaid huku.
 
Principles za uandishi ni kua kama wewe sio direct source ya a certain information unapokipublish unatakiwa kusema umekitoa wapi! Unless otherwise hiyo inaitwa pladgerism, of which it is an offence!
Hapa ndipo ninapowaambia Members wasioelewa humu ndani.........hata kama umebadilisha badilisha maneno Mantiki ikibaki palepale hiyo siyo yako.......unatakiwa ueleze Source.........
 
Mademu wa jf washampa kichwa huyu ndio maana unaona dharau kibao ,si unaona hata waliomtag humu wengi wao ni wanawake waliopo kwenye hilo group lake

Dah huyu jamaa nilikuwa nimpa nafasi kubwa sana ya heshima ,unapewa Challenge kidogo unakuwa kama mwanamke bwana ,feelings za nini au anaye tumia hii ID yake ni Nifah ?

Hahahaaaha dah!..........Usimlaumu sana, pengine hivyo vijistori ndio ndoano ya kuvulia samaki.

Ndio yale yale unayosema kila siku........kuwa kuna baadhi ya watu wapo humu kujitafutia credit za KE.
Yaani jamaa karespond emotionally mno!

Nadhani manzi yake ndo anayetumia hii ID labda akirudi baadae atakuja kufanya masahihisho.
Aiseeeeeeeee sikuwahi kufikiri kama nyie watu mna chuki kubwa kiasi hiki!
Japo hatufahamiani lakini tumekuwa tukiishi kwa upendo humu kwa kuquoteana na kupeana likes ktk threads mbalimbali kwa furaha kumbe hizi ndio rangi zenu halisi?

Suala la hii mada na case ya kucopy makala kutoka group la WhatsApp linahusiana vipi na mimi au hadi mfikie kumuambia The bold kajawa kiburi cha wanawake?

Hii ni mara ya kwanza yeye kulalamikia suala la makala zake kukopiwa?
Lakini kama ilivyo ada ya mja kunena hamkosi sababu.
Malalamiko yake mengine yaliyopita wapo waliosema anatafuta kick,hivyo hata sasa baada ya yeye kuwa nami sababu zimekuwa mimi ndiye niliyetumia ID yake hapa,anatumia makala zake kama chambo,anajitafutia credits za Ke.
Poor you guys,I used to respect you nikidhani ni watu wa maana kumbe ni wapuuzi fulani wenye wivu na chuki kali.

Mngekuwa maGT wa ukweli mngelumbana hoja kwa hoja bila kuingiza masuala mliyoyaingiza.
Mmejishushia heshima na nimewadharau kupita kiasi.
Hayakuwa malumbano ya hoja bali personal attack.
 
Mdukuaji nampa Pongezi za Kipekee kwa kuleta hi habari hapa...
Ila Siku nyingine utuambie Makala ni ya The Bold. Aipendezi kumalizia mpira wavuni bila kumpa sifa mpiga pasi wa mwisho.....
Muda haukufika wa kuileta ila naamini angeileta.kwani ametuletea mangapi aje atufiche ili.?ila sio fresh kuweka kazi ya MTU bila ruhusa yake.kama unakumbuka alishawahi kulalamika kuhusu gazeti la kisiwa kukopi makala ile ya kuuawa kwa Osama.Allah amrehemu.akawalalamikia jamaa wakamuelewa.hapa Tanzania kuna waandishi kibao.mbona hawaziandiki hizi makala kama ni kazi ndogo?tuheshimu nguvu na juhudi za mtu.pia na muda wake anaokaa kusoma na kutuandikia.
 
Bro umejiabisha kinoma!!! umejishushia heshima uliyokuwa nayo hapa JF.

Unachokifanya ni sawa na wale watoto wa kindergarten ambao vifutio vyao vikitumiwa na watoto wengine wanaanza kulia lia.
Kwenye hii mada kuna nini cha maana cha kukutoa povu?
Hivi yeye kulalamika makala yake kukopiwa kutoka huko ilikotolewa ni kosa?

Well tuseme kacopy kutoka huko wikipedia hakutumia muda wake kukopi na kutafsiri?

Aliyejiaibisha ni nani kati yake anayelalamika kukopiwa makala yake hapa na wewe uliyeko hapa kuunda majungu?
Una kipi cha maana unachokifanya ktk hii thread?
Unapigania nini?
 
Hivi bila kutuongopea humu ndani hamuwezi ridhika!?
 
Sawa Mkuu Mimi binafsi sikatai na wala sitakataa kuwa Mkuu The Bold anakipaji cha uandishi lakini si Miungoni mwa walioshauri aanzishe Group kwenye simulizi ya VIPEPEO WEUSI.....kwani kufanya hivyo kunatunyima haki isiyo rasmi humu ndani kisa eti hatuna FWEEZA ya kummotisha Mkuu The Bold......ingawa siyo jambo mbaya lakini sisi wengine ni Mbwa kachoka bado nipo hapa Tazara nadoea kazi ya Zege kwa hawa Wajapani............Kwa maana hiyo basi Mkuu The Bold mimi sina FWEEZA na nataka kusoma mapema kama hao walio kwy Group..............Tshs 5,000/= nyingi sana........Mchana wenyewe nakaanga Machine..........
 
"Nitawatumbua",ha ha ha ha,huyu ,@Thebold kalewa madaraka huyu,ha haha,

anyway mi nakubali kabisa kazi anayoifanya si ndogo kamwe,kwanza ni timeconsuming,so anatumia mda mwingi sana hadi kukamilisha hiyo kazi
na impact yake kwa watu ni kubwa,maana sio wote wanaweza kuelewa vizuri lugha ya kingereza,so anasaidia kusambaza knowledge kwa watu ambao hawangeweza kuipata,

na kama kweli mjamaa kaenda huko kwenye group na kucopy kama ilivyo na kuileta hapa,reaction ya thebold naweza kuirate kama Reasonable
 
Mkuu nimeshangaa sana,mtu anatoa malalamiko yake wanakuja watu wanamshambulia na kumkejeli.
Hata hivyo hii imekuwa nafasi nzuri ya kuwatambua wenye chuki na wivu waliokuwa wanajiweka kama watu wema.
Hakika ubaya haujifichi,na unafiki hauna siri...utajidhihiri wakati ukifika.
Nilidhani na nimekuwa nikiamini JF ni ya watu waliopevuka kiakili kumbe ni tofauti kabisa.
So sad indeed.
Nimekuwa dissapointed sana, bora wangekuwa members wengine sio hao wawili niliokuwa nikiwaona kama watu makini.
 
We nawe pabaya pana kuwasha, si bure.

Sasa kulikuwa na umuhimu gani wa wewe kuni quote? nilivyoona alert nilidhani ni kitu cha maana kumbe ni huu uharo wako?

Halafu kwenye post za juu kuna sehemu nimekutaja wewe? au ni kisebseb tu cha kuonesha na wewe upo?
Eti tuna wivu na chuki, kwa lipi hasa? ni kitu gani kilichopo humu cha kumfanya mtu awe na wivu au chuki.
Eti I used to respect you, shame upon you exponentially.

Huu utoto alioufanya hapa jukwaani hukutaka akosolewe[kitu ambacho wengi wamefanya]?

Wakati mwingine usiwe una type kwakuwa una keyboard na vidole, shirikisha ubongo pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…