Trump apewe nuclear codes

Wewe utakuwa una bifu na jamaa tangu muda,sasa ulikuwa unamtafutia sababu umlipue.mwenzako ana lalamika kwa sababu.wewe hauna sababu ya kumlalamikia.anachodai ni haki yake.kama ni rahisi kuandika andika na wewe utuwekee tutasomaaa.
Una dhahani hasi sana niweke bifu na vivuli fake?

Mtu akifanya utumbo huwa namchana hapo hapo na siyo kusubiri hadi nipate muda........ya nini kutembea na sumu wakati uwezo wa kuzitema upo?

Nyie wafuasi wake muwe mnamshauri pindi anapofanya mambo aliyoyazidi umri.
 
Naona mzee umeshikilia bango.kumlaumu jamaa.mbona mleta mada kanyamazaaaaa.anajua alichofanya sio kizuri.
Ishu ya kumkosoa mtu pindi anapokengeuka ninafanya hivyo pale ninapoona kuna umuhimu na sii kwa sababu fulani naye anafanya hivyo.
Ni sawa sawa na wewe unavyo komalia posts zangu, kwani wewe una husikaje kwa mfano?
 
Kwanza mimi sina wivu na The bold namkubali

Lakin leo sija muunga mkono, kwani hizi info zipo hata wikipeidia na kwenye websites za congress au za ikula ya Marekani, na dogo alicho kosea ni kuto sema tu labda imetoka kwa the bold, ila otherwise hizo information ni za public, na acknowldge katumia muda wake kuziunganisha na kutafsiri but, kwa kuwa haja i publish popote, na hata yeye haja acknowldge source zake ni zipi, ni jambo la kawaida tu. Ingekuwa ni hadithi mnyama umejiumiza kuitunga hapo ningesema uko sahihi, au ungekuwa uli take time ukaenda US ukafanya uchunguzi hapo ningesema pia its a big deal.

Mbona watu wanatumaga makala za washington post humu au NY times Na hawasemi, hii jf ni public realm kama kuna knowldge wacheni watu tushare, labda tu anaye share aseme kaitoa kwako.

Halafu kwa the bold na mashabiki wake na wapenzi wake, the bold naye anaweza kukosolewa tu. Na si kila anaye mkosoa ni hater. Kubalini kushangiliwa na kuzomewa pia ndio life.

Naruhusu masahihisho.
 
Jibu rahisi tu mimi ndie niliependekeza hilo group liundwe ili angalau arosto ya kusoma ipungue coz kule anatoa 4episode kwa wiki, wakati huo hapa ile itaendelea kama ilivokuwa mwanzo tofauti ipo kidogo tu nyie mkiwa na ep 10 , sisi tuna 30 lakini mtatufikia Tu.
hata makanisani kuna VIPs wao wanapata huduma popote mchungaji anamfata wakati huo waumini wengine mnaendelea kumsubiri,
ukiandaa kitu kikaungwa na wengi matunda yake ndo haya wakuu jaribuni na nyie kucreate vitu kama hivi neema itawadondokea,
Haina haja ya mabeef kama watoto wa kike, hata mwalimu anapofundisha darasani huwa anatumia vitabu vilevile kama wengine wanavotumia lakini akifaulisha sifa zinamwendea yy peke yake badala ya waandishi wa hivo vitabu, kutransilate lugha hasa ya kiintelejensia au kidaktari ni shuhuli mkuu tusidanganyane,,,
NB:
nimecheka jamaa alivoanza eti nimetumia siku nzima kufatilia kiapo cha trump,
Hv wikipedia pia walianzia hapo???
 
Ishu ya kumkosoa mtu pindi anapokengeuka ninafanya hivyo pale ninapoona kuna umuhimu na sii kwa sababu fulani naye anafanya hivyo.
Ni sawa sawa na wewe unavyo komalia posts zangu, kwani wewe una husikaje kwa mfano?
Kwanza ujue inatakiwa tuwe na uhakika kuwa dogo kaitoa kwa the bold, je kama yeye alikuwa second hand!!? Kama naye alifowardiwa watsapp.
Yaan jambo dogo limekuwa kubwa kweli kweli
 
Huyu dogo ni wenge yaani alivyo pimbi kai copy hivyo hvyo.....alivyoanza hapo mwanzo aise....utafikiri kama kweli aliangalia? hata hapa jf kuna wale VIP member na ndo wenye access ya kuingia majukwa maalumu zaidi.....kila mahali lazima kuwe na ma VIP
 
Umenichekesha mkuu. Ndio wale wanaocopy na jina.
CcThe Bold, Nifah.
 
Huyu dogo ni wenge yaani alivyo pimbi kai copy hivyo hvyo.....alivyoanza hapo mwanzo aise....utafikiri kama kweli aliangalia? hata hapa jf kuna wale VIP member na ndo wenye access ya kuingia majukwa maalumu zaidi.....kila mahali lazima kuwe na ma VIP
Hahaha usikute hata king'amuzi chake hakijalipiwa hvo hakuona mubashara hilo tukio, ila kajitahidi kutoa sign ya The bold kule chini kabisa,
 
Umenichekesha mkuu. Ndio wale wanaocopy na jina.
CcThe Bold, Nifah.
Dogo ningemuona mstaarabu kama angeomba msamaha tu yakaisha, na hao wanaotetea ujinga pia dahh!!! hadi aibu
Sijawahi kuona habari za mwananchi zikafanana na uhuru japo wote wanamzungumzia JPM hata cover picha huwa hazifanani zitapishana hata angle otherwise kuwe na tamko maalumu kabla
 
Ndo maana nikakwambia wewe una bifu na jamaa ila ulikuwa unatafuta sababu.sioni sababu ya wewe kupayuka hivi.nadhani mleta mada angesema ametoa wapi!?lakini sio jamaa kudai haki take unaanza kumsema.sio fair.kama ni rahisi andika yako.
 
Ishu ya kumkosoa mtu pindi anapokengeuka ninafanya hivyo pale ninapoona kuna umuhimu na sii kwa sababu fulani naye anafanya hivyo.
Ni sawa sawa na wewe unavyo komalia posts zangu, kwani wewe una husikaje kwa mfano?
Sipendi kuona MTU akitetea haki yake.alafu kuna watu wanampinga.jamaa alikuwa sahihi kulalamika.kama mleta mada angeileta hii mada kwa kiingereza jamaa asingelalamika.ila jamaa amekopi kitu cha mwenzie.alaf amekaa kimya sio fair.
 
Hapana mkuu.jamaa ana bidii binafsi.na inapaswa iheshimiwe.haiwezekani jamaa kajitutumua kuandika alafu MTU anakuja tu kukopi na kuileta huku.bila idhini yake sio fresh.
 
Alafu huyu jamaa yuko fair sana humu ndani mpaka AME maindi ujue ime mtach.yeye ni sawa na mwalimu mmoja anayefundisha darasani na tuition. Haiwezekani wanayopata tuition na wanayoyapata darasani yawe sawa.kama unataka nenda tuition.ila naamini jamaa haishi kwa kutegemea hela za tuition.ila anachotaka haki miliki.
 
Ok sawa, kashalalamika na sasa hivi ni suspected kuwa huenda makala ni yake, kwahiyo nini kinafuata?..........Binafsi nadhani hakuna cha msingi zaidi ya kuanika utoto.
Wewe mkuu ulizungukwa.demu na huyu jamaa nini??

Mtu kaonya tabia hii isijiludie anasababu ya kusema hivi sio utoto..

Hii nakara haijaisha ila alitoa kama mwangaza tuu....movie nzima yaja ila lipumbavu likacopy km ilivyoo

Wewe unadhan wote wanao tetea ni kwamba hawajui walitendalo...unapo sema ni utoto kuwa na udhibitisho kuwa ni utoto kweli
Hii ni haki yake na nakala haijamalizika halafu lilijitu linatoa public hivi kwa mfano asinge sema ni yake,then angeimaliza na'kutoa public si ndio watu kama ww mngemjia juu kuwa kacopy...



Smtymz ni dalili za wivu,WATU.WANA SABABU KWA KILA WAFACHO hata kama haupende wewe
 
Dah huyu jamaa nilikuwa nimpa nafasi kubwa sana ya heshima ,unapewa Challenge kidogo unakuwa kama mwanamke bwana ,feelings za nini au anaye tumia hii ID yake ni Nifah ?
Hahahah haki ya Mungu watu wana maneno balaa
 
Hapana mkuu.jamaa ana bidii binafsi.na inapaswa iheshimiwe.haiwezekani jamaa kajitutumua kuandika alafu MTU anakuja tu kukopi na kuileta huku.bila idhini yake sio fresh.
Kila information tunazo pata duniani someone somewhere alijitutumua ndio na sie tuka pata.

Yaan namkubali sana bold kuwa huwa ana anaandika ila sasa info kama za leo kosa ni kuwa jamaa hajasema tu kuwa katoa kwa bold.

Pia ni mpaka ujue kuwa jamaa naye hii makala kaipata wapi, uskute hata hayuko kwenye hilo group, uskute alifowardiwa naye.

Sijapinga kazi yake ila napinga hii kitu imefanywa big deal wakati si big deal hata. Ni taarifa tu hizi tunashare.
 
The Bold,bora ungekaa kimya kuliko ulichokifanya,usipende kulaumu tu sometimes uwe unashukuru pia,mimi nimtu ambae waga nakuona upo smart sana,bt kwa majibu yako ya leo nimekushusha vyeo,unaonekana kama kasichana ka kiswahili,ukikaita tu kanatoa matusi bila kujua ulitaka kusema nn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…