Trump asaini Amri ya kukata Msaada kwa Afrika Kusini kwa sababu ya Sera ya Ardhi na Kesi ya ICJ

Mafisadi ya Tanzania kazi kuiba mapesa na kujenga mashell

Trump njoo Tanzania utusaidie baba
Afadhali hao wanaozijengea mashell humu ndani, wengine wanazificha ulaya zikae tu huko na wengine wanawekeza nje ya nchi. Nakumbuka kuna rais mmoja alienda nje ya nchi akalazwa kwenye hotel inayomilikiwa na mmoja wa mawaziri wake. Aliporudi nchini akamfukuza kazi yule waziri.
 
Laana walizitaka wenyewe unaisingizia Israel eti inauwa halaiki.. huku unajua unaongopa
Daa we ndio mpumbafu No. 1 kukutana nae mwaka huu, dini imekumaliza kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…