Trump asaini executive order ya "Wahamiaji haramu kupelekwa Gereza la Guantanamo"

Trump asaini executive order ya "Wahamiaji haramu kupelekwa Gereza la Guantanamo"

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Screenshot_20250130_073957_Chrome.jpg

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameagiza ujenzi wa kituo cha kuwashikilia wahamiaji katika Kituo cha Guantanamo Bay, ambacho alisema kitakuwa na uwezo wa kuhifadhi hadi watu 30,000.

Alisema kituo hicho kilicho katika kambi ya Jeshi la Wanamaji la Marekani nchini Cuba, ambacho kitakuwa tofauti na gereza lake la kijeshi lenye ulinzi mkali, kitawahifadhi "wahamiaji haramu wahalifu hatari zaidi wanaotishia watu wa Marekani."

Guantanamo Bay kwa muda mrefu imekuwa ikitumiwa kuhifadhi wahamiaji, jambo ambalo limekosolewa na baadhi ya mashirika ya haki za binadamu.

Baadaye Jumatano, "tsar wa mpaka" wa Trump, Tom Homan, alisema kituo kilichopo kwa sasa kitapanuliwa na kitaendeshwa na Idara ya Uhamiaji na Forodha (ICE).

ANGALIZO:
Trump hacheki na nyani; Watanzania mlioko huko chukueni hatua, msijepelekwa Guantanamo bay
 
View attachment 3218303
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameagiza ujenzi wa kituo cha kuwashikilia wahamiaji katika Kituo cha Guantanamo Bay, ambacho alisema kitakuwa na uwezo wa kuhifadhi hadi watu 30,000.

Alisema kituo hicho kilicho katika kambi ya Jeshi la Wanamaji la Marekani nchini Cuba, ambacho kitakuwa tofauti na gereza lake la kijeshi lenye ulinzi mkali, kitawahifadhi "wahamiaji haramu wahalifu hatari zaidi wanaotishia watu wa Marekani."

Guantanamo Bay kwa muda mrefu imekuwa ikitumiwa kuhifadhi wahamiaji, jambo ambalo limekosolewa na baadhi ya mashirika ya haki za binadamu.

Baadaye Jumatano, "tsar wa mpaka" wa Trump, Tom Homan, alisema kituo kilichopo kwa sasa kitapanuliwa na kitaendeshwa na Idara ya Uhamiaji na Forodha (ICE).

ANGALIZO:
Trump hacheki na nyani; Watanzania mlioko huko chukueni hatua, msijepelekwa Guantanamo bay
Trump ni hateri hata kwa nchi za wazungu wenzie "the mad man" is in the driving sit lazima dunia itaumia tu.
 
Donald Trump nitakushukuru kama utanipelekea huyu dada anayedhalilisha viongozi wetu Mange Kimambi, yuko hapo California na hana documents.

Screenshot_20250130_081030_Instagram.jpg
 
Donald Trump nitakushukuru kama utanipelekea huyu dada anayedhalilisha viongozi wetu Mange Kimambi, yuko hapo California na hana documents.

View attachment 3218314
Donald Trump nitakushukuru kama utanipelekea huyu dada anayedhalilisha viongozi wetu Mange Kimambi, yuko hapo California na hana documents.

View attachment 3218314
Donald Trump nitakushukuru kama utanipelekea huyu dada anayedhalilisha viongozi wetu Mange Kimambi, yuko hapo California na hana documents.

View attachment 3218314
Mange Kimambi hawezi kurudishwa Tanzania, ni ngumu Sana kwa Serikali ya Marekani kufanya hivyo hata kama Mtu huyo hana Vibali halali vya kuishi katika nchi hiyo ya Marekani
 
Trump ni rais mwenye mapenzi ya kweli na nchi yake,ananikumbusha rais mmoja hivi wa kiafrika ashafariki na namfananisha na mtawala wa kijeshi katika nchi flani mwenye umri mdogo,anaetembea na magwanda ya kijeshi na bunduki kiunoni. Hakika trump tunyooshee mawimbi.
 
Back
Top Bottom