Trump ataka Green land ije Marekani na Gaza iende Jordan na Misri

Trump ataka Green land ije Marekani na Gaza iende Jordan na Misri

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Katika mahojiano aliyofanyiwa rais mpya wa Marekani,Donald Trump hapo jana,amesema Marekani ina tamaa ya kuipata Green Land kwani wakazi wake takriban 50000 wote wanataka kuwa wamarekani.

Trump says he believes US will 'get Greenland'

Akizidi kujibu maswali ya waandishi wa habari akiwa kwenye ndege ya uraisi ya Air force one,Trump amesema anakusudia kuisafisha Gaza yote na kwamba atawaomba raisi wa Misri Elsisi na mfalme wa Jordan,Abullah wawachukue watu wa Gaza kwa wingi kadri inavyowezekana.
Donald Trump hata hivyo hakufafanua umuhimu na haja ya kuwahamisha watu wa Gaza kwenda Jordan na Misri.

Trump says Jordan, Egypt should take more Palestinians from Gaza

 
Katika mahojiano aliyofanyiwa rais mpya wa Marekani,Donald Trump hapo jana,amesema Marekani ina tamaa ya kuipata Green Land kwani wakazi wake takriban 50000 wote wanataka kuwa wamarekani.

Trump says he believes US will 'get Greenland'

Akizidi kujibu maswali ya waandishi wa habari akiwa kwenye ndege ya uraisi ya Air force one,Trump amesema anakusudia kuisafisha Gaza yote na kwamba atawaomba raisi wa Misri Elsisi na mfalme wa Jordan,Abullah wawachukue watu wa Gaza kwa wingi kadri inavyowezekana.
Donald Trump hata hivyo hakufafanua umuhimu na haja ya kuwahamisha watu wa Gaza kwenda Jordan na Misri.

Trump says Jordan, Egypt should take more Palestinians from Gaza

Hizo ni ndoto za mchana Gaza aiwezi kuhamishwa hata Arab league hilo walisha likataa kitambo Green land ni EU, US labda itafute mzizo na marafiki zake wa EU jambo ambalo ni gumu.
 
Referendum iamue hatma ya Greenland.
 
Duh taifa linalojinasibu la kidemokrasia zaidi kuliko yote duniani linataka kupora haki ya kujitawala ya Greenland na Canada hata bila aibu?
Trump what is your different between you and Putin?
 
Duh taifa linalojinasibu la kidemokrasia zaidi kuliko yote duniani linataka kupora haki ya kujitawala ya Greenland na Canada hata bila aibu?
Trump what is your different between you and Putin?
Trump na Putin ni kitu kile kile, akili zao ni sawa na ni marafiki walioshibana.

Trump atamsaidia Putin kuimega Ukraine, nae Trump anatamani kuvamia nchi zingine za kuzitwaa, ikiwemo Canada na Greenland.
 
Trump ni mwehu, hadi miakq yake minne iishe atakuwa amefanya mambo ya hovyo sana.
Huyu kama si rushwa za akina Ellon Musk alishaoneshwa dalili za kushindwa tangu kwenye mjadala na bi Harris
 
Duh taifa linalojinasibu la kidemokrasia zaidi kuliko yote duniani linataka kupora haki ya kujitawala ya Greenland na Canada hata bila aibu?
Trump what is your different between you and Putin?
Trump na Putin hawana tofauti kubwa sana, n hapo ndipo umuhimu wa taasisi imara kudhibiti watawala unapoonekana.
 
Kuchukulia Serious Kauli za Trump unatakiwa kuwa Limbukeni..., chochote watachomwambia Chawa wake au chochote atakachosikia au kile ambacho base yake inataka kusikia basi atakibwabwaja.....; Wajanja wanampuuzia na ku-scratch his ego kwamba yeye ndio alpha na omega ili wapate wanachotaka.., Baniani Mbaya Kiatu chake Dawa;

The biggest looser in this is USA kama Taifa...; Na Dunia kwa ujumla sababu ile misingi ya Kuheshimiana, kufuata Natural Justice is at stake..., Facts are no longer facts but there are some alternative facts...
 
Wakifanya hivyo watahalalisha yaliyotokea Crimea
China naye atafuta mkondo
Kwa China sioni Taiwani wakikubali kurudi bara; unless forgery za kutisha zifanyike. Kwa Crimea not sure.

Kwa Greenland kwa maoni yako ni utaratibu upi mzuri wa kuamua?
 
Katika mahojiano aliyofanyiwa rais mpya wa Marekani,Donald Trump hapo jana,amesema Marekani ina tamaa ya kuipata Green Land kwani wakazi wake takriban 50000 wote wanataka kuwa wamarekani.

Trump says he believes US will 'get Greenland'

Akizidi kujibu maswali ya waandishi wa habari akiwa kwenye ndege ya uraisi ya Air force one,Trump amesema anakusudia kuisafisha Gaza yote na kwamba atawaomba raisi wa Misri Elsisi na mfalme wa Jordan,Abullah wawachukue watu wa Gaza kwa wingi kadri inavyowezekana.
Donald Trump hata hivyo hakufafanua umuhimu na haja ya kuwahamisha watu wa Gaza kwenda Jordan na Misri.

Trump says Jordan, Egypt should take more Palestinians from Gaza

Akiichukua Greenland bsi China naye asizuiwe kuichukua Taiwan
 
Wananchi wengi wa Greenland wanataka nchi yao iwe American Territory hivyo hilo halituhusi sisi.

Wapalestina wao kweli waende tu Jordan na Egypt kwani hakujawahi kutokea nchi inayoitwa Palestina.

Palestina ilikuwa ni eneo tu lakini haikuwa nchi, hao wapalestina waache utapeli.
 
Wananchi wengi wa Greenland wanataka nchi yao iwe American Territory hivyo hilo halituhusi sisi.

Wapalestina wao kweli waende tu Jordan na Egypt kwani hakujawahi kutokea nchi inayoitwa Palestina.

Palestina ilikuwa ni eneo tu lakini haikuwa nchi, hao wapalestina waache utapeli.
🙇🙇🙇
 
Wananchi wengi wa Greenland wanataka nchi yao iwe American Territory hivyo hilo halituhusi sisi.

Wapalestina wao kweli waende tu Jordan na Egypt kwani hakujawahi kutokea nchi inayoitwa Palestina.

Palestina ilikuwa ni eneo tu lakini haikuwa nchi, hao wapalestina waache utapeli.
Hoja zako ni dhaifu tu.Hata huko Greenland na kijijini kwenu ulikozaliwa hapo zamani hakukuwa na watu.
Kwa upande wa Palestina wa Gaza wao hawajaonesha hamu ya kuhamia Jordan wala Misri.
 
Back
Top Bottom