Yeye ameiongoza Marekani kwa zaidi ya miaka 4 mbona haku thubutu kuvishambulia kama ni rahisi?Kumuonea huruma kilema ni thawabu.Hujui hilo?
Mkuu ungemalizia misimamo kama yako hapa JF.Na kuanzia Sasa nitakuwa mfuasi wake.
Anamisimamo kama yangu dhidi ya magaidi
Umri ushampita mzee nashangaa hata hiyo USA kutaka kuongozwa na Wazee kama huyu.Yeye ameiongoza Marekani kwa zaidi ya miaka 4 mbona haku thubutu kuvishambulia kama ni rahisi?
Yeye analeta hasira zake za kukoswakoswa kuuawa ,hivi Israel akivishambulia vinu vya nyukilia vya Iran yeye vya kwake vitakuwa salama?
Unazijua habari za Tel Aviv?Yeye ameiongoza Marekani kwa zaidi ya miaka 4 mbona haku thubutu kuvishambulia kama ni rahisi?
Yeye analeta hasira zake za kukoswakoswa kuuawa ,hivi Israel akivishambulia vinu vya nyukilia vya Iran yeye vya kwake vitakuwa salama?
Mzee hanaga mchezo huyu ndio maana kipindi chake Iran walitulia kimya na hawataki arudi ikulu.
Asiesikia la mkuu huvunjika guu, Kilichofuata Trump alimtungua mkuu wa majeshi ya Iran, Qasem Soleimani, Lilikuwa ni pigo zito mno kwa Iran, Waswahili wanasema kupiga penye mshono.Kipindi chake si ndo Iran alizidungua drone zake2 gharama tena zikiwa kwenye anga la kimataifa ?
Kipindi chake si Iran alikuwa anapeleka meli za mafuta nchini Venezuela pamoja na vikwazo vyake uchwara tena zikipita karibu na pwani ya Marekani?
Hana mchezo kweli. Kibastola tu kimemjambishaMzee hanaga mchezo huyu ndio maana kipindi chake Iran walitulia kimya na hawataki arudi ikulu.
Sijakuelewa fafanuaMkuu ungemalizia misimamo kama yako hapa JF.
Iran hana Nuclear hivi hamuelewi??? Angekua na Nuclear wasingekua wanamgusa wangekua wanaongea bae kwa adabu sio kumtishia tishia kama wanavyofanya...Piga kwenye mshono ,kiburi Cha Iran ni nuklia
Trump Yuko sahihi
Tump ni mjanja sana anajua isreli ikishambulia hayo maeneo wa kulaumiwa ni Biden na camara na atapata hoja kwenye campain zake kuwa utawala uliopo umeshindwa kila kila kituIran hana Nuclear hivi hamuelewi??? Angekua na Nuclear wasingekua wanamgusa wangekua wanaongea bae kwa adabu sio kumtishia tishia kama wanavyofanya...
hata mimiNa kuanzia Sasa nitakuwa mfuasi wake.
Anamisimamo kama yangu dhidi ya magaidi
Rais wa zamani Donald Trump alisema kuwa Israel inapaswa kulenga vituo vya nyuklia vya Iran alipokuwa akizungumza kwenye tukio la kampeni huko Fayetteville, North Carolina, siku ya Ijumaa.
Matamshi ya Trump yalikuja kama majibu kwa kauli za Rais wa Marekani Joe Biden, ambaye alikuwa ameionya Israel dhidi ya kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran.
"Nadhani [Biden] amekosea. Hivyo si ndio vitu ambavyo unapaswa kushambulia?" Trump aliuliza.
"Jibu lilipaswa kuwa kushambulia vituo vya nyuklia kwanza na mengine yatafuata," alisema rais huyo wa zamani.
Republican presidential nominee and former US President Donald Trump speaks at a town hall as he campaigns in Fayetteville, North Carolina, US. October 4, 2024.Trump's comments came in response to US President Joe Biden's earlier statements cautioning Israel against striking Iranian nuclear facilities.
Former president Donald Trump stated that Israel should target Iran's nuclear facilities while speaking at a campaign event in Fayetteville, North Carolina, on Friday.
Trump's comments came in response to US President Joe Biden's earlier statements cautioning Israel against striking Iranian nuclear facilities.