Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kwa nini Marekani inaendelea kuwa na vituo vya kijeshi katika nchi za bara la Africa?
Hivi vituo vya jeshi la Marekani vilivyoko Africa nchi za Kenya, Djibouti, Ghana, Cameroon, Senegal, Seychelles na Gabon kupambana na ugaidi vina tofauti gani na misaada ya USAID?
Itakuwa undumilakwili Trump kuendelea kubakisha US military bases Africa zinazoendeshwa na pesa ya walipa kodi wa Marekani huku akiifuta USAID.
Hivi vituo vya jeshi la Marekani vilivyoko Africa nchi za Kenya, Djibouti, Ghana, Cameroon, Senegal, Seychelles na Gabon kupambana na ugaidi vina tofauti gani na misaada ya USAID?
Itakuwa undumilakwili Trump kuendelea kubakisha US military bases Africa zinazoendeshwa na pesa ya walipa kodi wa Marekani huku akiifuta USAID.