Bangi zimempoza Musk, kwa matamushi na maamuzi yake ya kisiasa hakujua kama vitamgharimu?Baada ya anguko kubwa la mauzo na hisa za magari ya kampuni ya Tesla inayomilikiwa kwa hisa nyingi na kuongozwa Elon Musk, Rais wa Marekani Trump ameingia mzigoni akitumia ofisi ya Ikulu ya US, White House kuifanya matangazo ya kibiashara na kushawishi watu kununua magari ya Tesla huku akiwalaumu Democrats kwa kadhia ya kuanguka mauzo, hisa pamoja na uharibifu wa magari na miondombinu ya kampuni hiyo kote Marekani na Ulaya.
View attachment 3267775
View attachment 3267776View attachment 3267780
Hujaelewa sela za Trump? Kaiondoa Marekani kwenye mkataba wa Paris kuhusu mazingira, kasaini order ya kuruhusu ongezeko la uvunaji wa mbao akidai itasaidia kupunguza majanga ya moto😂😂😂Nimeipenda hii;"In any event,I'm going to buy a brand new Tesla."
Magari ya Tesla ni rafiki wa mazingira,hayachafui mazingira.
Canada nao ni moto😂Bangi zimempoza Musk, kwa matamushi na maamuzi yake ya kisiasa hakujua kama vitamgharimu?
Elon ndio Rais kivuli wa USABaada ya anguko kubwa la mauzo na hisa za magari ya kampuni ya Tesla inayomilikiwa kwa hisa nyingi na kuongozwa Elon Musk, Rais wa Marekani Trump ameingia mzigoni akitumia ofisi ya Ikulu ya US, White House kuifanya matangazo ya kibiashara na kushawishi watu kununua magari ya Tesla huku akiwalaumu Democrats kwa kadhia ya kuanguka mauzo, hisa pamoja na uharibifu wa magari na miondombinu ya kampuni hiyo kote Marekani na Ulaya.
View attachment 3267775
View attachment 3267776View attachment 3267780
Hii ni aibu na haimithiliki. Je, Rais anaweza kujidhalilisha kwa kujaribu kuokoa kampuni ya Elon Musk kwa kununua Tesla moja kwa moja ndani ya White House? Yeye kanunuq moja na mjukuu wake kamnunulia moja, huku Wamarekani wengi wakishangaa jinsi ya kuletea familia zao chakula kutokana na kupunguzwa kwa kazi kwa sababu ya Musk na Trump?Baada ya anguko kubwa la mauzo na hisa za magari ya kampuni ya Tesla inayomilikiwa kwa hisa nyingi na kuongozwa Elon Musk, Rais wa Marekani Trump ameingia mzigoni akitumia ofisi ya Ikulu ya US, White House kuifanya matangazo ya kibiashara na kushawishi watu kununua magari ya Tesla huku akiwalaumu Democrats kwa kadhia ya kuanguka mauzo, hisa pamoja na uharibifu wa magari na miondombinu ya kampuni hiyo kote Marekani na Ulaya.
View attachment 3267775
View attachment 3267776View attachment 3267780
Sio bangi!Bangi zimempoza Musk, kwa matamushi na maamuzi yake ya kisiasa hakujua kama vitamgharimu?
Marekani imeharibika na inazidi kuharibiwa sana na Trump katika utawala wa sheria na siasa za kistaarabu.Hii ni aibu na haimithiliki. Je, Rais anaweza kujidhalilisha kwa kujaribu kuokoa kampuni ya Elon Musk kwa kununua Tesla moja kwa moja ndani ya White House? Yeye kanunuq moja na mjukuu wake kamnunulia moja, huku Wamarekani wengi wakishangaa jinsi ya kuletea familia zao chakula kutokana na kupunguzwa kwa kazi kwa sababu ya Musk na Trump?
Kutumia uwanja wa White House kama eneo la kutangazia gari la kisasa kwa mtengenezaji wa magari ni matumizi mabaya makubwa ya rasilimali za umma, kana kwamba ni mali yake ya kibinafsi
Mungu aende na Rais Trump kwa kishindo kikuu. Mungu ambariki sana Rais TrumpBaada ya anguko kubwa la mauzo na hisa za magari ya kampuni ya Tesla inayomilikiwa kwa hisa nyingi na kuongozwa Elon Musk, Rais wa Marekani Trump ameingia mzigoni akitumia ofisi ya Ikulu ya US, White House kuifanya matangazo ya kibiashara na kushawishi watu kununua magari ya Tesla huku akiwalaumu Democrats kwa kadhia ya kuanguka mauzo, hisa pamoja na uharibifu wa magari na miondombinu ya kampuni hiyo kote Marekani na Ulaya.
View attachment 3267775
View attachment 3267776View attachment 3267780
Mbona kitambo tunamjua ni mtumiaji wa jani, US sheria zinaruhusu. Huwa ni reference kwa watumia janiSio bangi!
Ni matamshi na maamuzi yake ya kisiasa ndo vinamgharimu!
Kutumia jani na kufanya maamuz ya kidwanzi ni vitu viwili tofauti..Mbona kitambo tunamjua ni mtumiaji wa jani, US sheria zinaruhusu. Huwa ni reference kwa watumia jani