Trump kasema rafiki zake wanakuja kupata utajiri Afrika kwani kunabiashara nyingi, sisi tunakimbia

Trump kasema rafiki zake wanakuja kupata utajiri Afrika kwani kunabiashara nyingi, sisi tunakimbia

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Wakuu


Hili leo lazima tujiulize, Trump kasema Afrika kuna fursa nyingi za biashara na rafiki zake wengi wanakuja huku na kutajirika.

Lakini humu tu kuna thread nyingi za kushauriana jinsi ya kuiacha Afrika na kwenda Amerika au Ulaya, ndio maana kwenye nchi zao sisi ni kama vituko kwa kweli tujitafakari upya katika hili.
 
Fursa za afrika..madini, mafuta, gasi, misitu, wanyama, kilimo n.k...wanakuja kwanjia ya uwekezaji wanapewa baraka na viongozi wasio wazalendo..wanavuna mali..wanapeleka ulaya na marekani wanapiga hela.

Ukijaribu kuzitumia mbongo hizi fursa utapata misukosuko mingi hasa kutoka kwenye utawala..mana huna cha kuwapa kwahiyo hawana faida na wewe hivyo hutopata support yoyote.
 
Fursa za afrika..madini, mafuta, gasi, misitu, wanyama, kilimo n.k...wanakuja kwanjia ya uwekezaji wanapewa baraka na viongozi wasio wazalendo..wanavuna mali..wanapeleka ulaya na marekani wanapiga hela.

Ukijaribu kuzitumia mbongo hizi fursa utapata misukosuko mingi hasa kutoka kwenye utawala..mana huna cha kuwapa kwahiyo hawana faida na wewe hivyo hutopata support yoyote.
Bro hapo mengine nakubaliana lakini kwa mtafutaji mwenye nia afrika kiukweli fursa ni nyingi mno
 
ni kweri Africa fursa bado ni nyingi saaaaana, tatizo linakuja palepale watu hawana mitaji hawana nyenzo na pia hata mfumo wa serikali sio rafiki kwa wananchi wake....

kama ndugu yangu jiwe angavu anavyosema hapo juu, mwafrika ukitaka kuwekeza nchini mwako figisu nyingi mno hasa awamu hii, we si ulimsikia juzi tu anasema hapendi kuona watu wanaishi maisha ya raha....unategemea kuna mzawa atataka kuwekeza tena.

waAfrika tunamatatizo sana.
 
Mpaka aseme Trump?? who is Trump to tell us the value of our Continent??
 
Fursa za afrika..madini, mafuta, gasi, misitu, wanyama, kilimo n.k...wanakuja kwanjia ya uwekezaji wanapewa baraka na viongozi wasio wazalendo..wanavuna mali..wanapeleka ulaya na marekani wanapiga hela.

Ukijaribu kuzitumia mbongo hizi fursa utapata misukosuko mingi hasa kutoka kwenye utawala..mana huna cha kuwapa kwahiyo hawana faida na wewe hivyo hutopata support yoyote.
Mfano mzuri ni Manji
Mbowe na shamba lake la mbogamboga
 
Africa we have everything kuwa matajiri,

Kuna watu hapo juu wanasema changamoto mtaji mi nakataa,

Mtaji sio changa moto kwetu changamoto kwetu ni jinsi ya kung'amua fursa basi

Hapa kwetu fursa unaweza kuanza nayo hata kwa bei ndogo sana

Kwahiyo vijana tufanyeni kazi
 
Wakuu


Hili leo lazima tujiulize , trump kasema afrika kuna fursa nyingi za biashara na rafiki zake wengi wanakuja huku na kutajirika.
Lakini humu tu kuna thread nyingi za kushauriana jinsi ya kuiacha afrika na kwenda amerika au ulaya , ndio maana kwenye nchi zao sisi ni kama vituko kwa kweli tujitafakari upya katika hili.
Rafiki zake kutoka nje ya dunia au wa amerika
 
Africa we have everything kuwa matajiri,

Kuna watu hapo juu wanasema changamoto mtaji mi nakataa,

Mtaji sio changa moto kwetu changamoto kwetu ni jinsi ya kung'amua fursa basi

Hapa kwetu fursa unaweza kuanza nayo hata kwa bei ndogo sana

Kwahiyo vijana tufanyeni kazi
Uko sahihi kabisa
 
Ni kweli..ila ogopa sana uwe against na utawala uliopo madarakani..muulize manji..
Kuhusu fursa hilo halipingiki kabisaa ila tatizo kubwa ni usiasa unaligarimu sana Taifa letu mfano ni huyo manji jinsi alivyozinguliwa kiukweli kama una mtaji wa kuunga unga unapumlia mashine sasa. Hivyo vyote ni kurudishana nyuma tuu.
 
Back
Top Bottom