Trump na gavana wa Maine warushiana maneno live, watishiana kupambana mahakamani!

Trump na gavana wa Maine warushiana maneno live, watishiana kupambana mahakamani!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Wakiwa kwenye hafla ya chama cha wachezaji NCAA Trump na gavana wa jimbo la Maine Janet Mills wamerushiana maneno baada Trump wakati anahutubia kumuita gavana huyo na kumtaka kutekeleza amri (Executive Order) yake inayopiga marufuku Transgender kushiriki michezo ya wanawake kikamilifu ndipo

Gavana huyo akamjibu yeye atafuata sheria rasmi za jimbo lake na serikali kuu tu ndipo Trump akamuambia hatapata fedha za serikali kuu na gavana akamjibu watakutana mahakamani Trump naye akamuambia poa tu tukutane huko mahakamani hilo ni jambo rahisi zaidi!
 
Ingekuwa hiyo imetokea kwenye nchi za kiafrika huyo gavana angekuwa ndani.
 
Trump anaondoa "STATUS QUO" ya kutukumbusha waafrika kuwa CCM iko sahihi kumpa kofia mbili za kiutawala Rais wetu na ya kwamba Rais wa nchi anatakiwa AHESHIMIWE sana ,si kama alivyofanya Dr.Malissa kumkosoa rais wake hadharani......

Demokrasia ya kweli huwa haiko "fixed" na Trump anawafundisha MAPUNGUWANI waishi kwa uhalisia wa mambo.....
 
Trump naye akamuambia poa tu tukutane huko mahakamani hilo ni jambo rahisi zaidi!
Na huyu anaweza kwenda mwenyewe hatatuma wakili

Ingekuwa huku kwetu unafikiri nini kingetokea
 
Na huyu anaweza kwenda mwenyewe hatatuma wakili

Ingekuwa huku kwetu unafikiri nini kingetokea
NILITAKA NIJIBU AMBACHO KINGETOKEA LAKINI UBONGO UKANIKUMBUSHA KUWA WAKILI WANGU YUPO MBALI NA HATA ANGEKUWA KARIBU MUHURI WENYEWE HANA.
 
Trump anaondoa "STATUS QUO" ya kutukumbusha waafrika kuwa CCM iko sahihi kumpa kofia mbili za kiutawala Rais wetu na ya kwamba Rais wa nchi anatakiwa AHESHIMIWE sana ,si kama alivyofanya Dr.Malissa kumkosoa rais wake hadharani......

Demokrasia ya kweli huwa haiko "fixed" na Trump anawafundisha MAPUNGUWANI waishi kwa uhalisia wa mambo.....
Si kweli ndiyo maana amepata nafasi ya kumwambia tutakutana mahakamani. Ingekuwa tanzania hapa huyo jamaa hata uwanjani asingetoka angelala ndani.
Sema trump ashafanikiwa wanao renew passport wanawekewa jinsia yake aliyozaliwa nayo.
Anawasaidia wamarekani wamechanganyikiwa sana. Kuna watu wanapigania kutambulika kama wanyama pia. Wengine huenda wangepigania kutambulika kwa umri watakaosema wao. Mfano madonna anasema mimi nina mika 22 na nitambulike hivyo ndivyo ninafeel ndani.
 
Hahaahah nchi za mavumbini a.k.a shithole countries zinamengi ya kujifunza kutoka kwa watu waliostaarabika.

MaDC na MaRC wawe wanaangalia hii midahalo😀😀watu wanatwangana kwa hoja sio vitisho vya kuwekana ndani.Wala kuitana muheshimiwa this muheshiwa that.


📌📌📌TURAMPU HAKUNA KUCHEKA NA WOWOTE👋🤗,,,,,PIGA BABA PIGAAAAA UTAWAUWA DJ SHIZOOOO😂😂😂
 
Si kweli ndiyo maana amepata nafasi ya kumwambia tutakutana mahakamani. Ingekuwa tanzania hapa huyo jamaa hata uwanjani asingetoka angelala ndani.
Sema trump ashafanikiwa wanao renew passport wanawekewa jinsia yake aliyozaliwa nayo.
Anawasaidia wamarekani wamechanganyikiwa sana. Kuna watu wanapigania kutambulika kama wanyama pia. Wengine huenda wangepigania kutambulika kwa umri watakaosema wao. Mfano madonna anasema mimi nina mika 22 na nitambulike hivyo ndivyo ninafeel ndani.
Huyo jamaa unyemjibu haelewi umuhimu wa RAIS WA MARAIS CHAMPION BABU,BABA TURAMPUUU PIGAA HAO MASHOGA. TURUMPU MBELE KWA MBELE.MNNE TENA KWA TURAMPU HAKUNA KUCHEKA NA WOWOTE🤗🤗🤗

IKIMPENDEZA RAIS TURAMPU AIACHE GREENLAND AJE AJICHUKULIE TANZANIA.TUNATAKA TUWE PART YA MAREKANI😅😅😅🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom