Weka no yako mkuu hapa
Wana jamvi yani mimi nimenunua King`amuzi ili niweze kufatilia vita mubashara alafu Trump analeta woga wake anakimbia uwanja wa mapambano ...!!
Sijui kule Pasific alifata nini??
Mwenye parachichi au dodo lililoiva vizuri anipatie nimpe King`amuzi maana sina kazi nacho tena. I buy this purposly to wotch a war game USA VS KOREA. Yani usawa huu wa Magufuli watu tubatiana hasara kijingajinga namna hii[emoji16] [emoji16] View attachment 500853
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wana jamvi yani mimi nimenunua King`amuzi ili niweze kufatilia vita mubashara alafu Trump analeta woga wake anakimbia uwanja wa mapambano ...!!
Sijui kule Pasific alifata nini??
Mwenye parachichi au dodo lililoiva vizuri anipatie nimpe King`amuzi maana sina kazi nacho tena. I buy this purposly to wotch a war game USA VS KOREA. Yani usawa huu wa Magufuli watu tubatiana hasara kijingajinga namna hii[emoji16] [emoji16] View attachment 500853
Sijambo kabisaaa.... Za siku[emoji4]Hujambo?
Hehehe hapana sina baki nacho tuuu utaangalia vodacom ligi [emoji23] [emoji23]Unalo parachichi lililoiva vizuri mama uje uchukue king`amuzi
Hehehe hapana sina baki nacho tuuu utaangalia vodacom ligi [emoji23] [emoji23]Unalo parachichi lililoiva vizuri mama uje uchukue king`amuzi
Sijambo kabisaaa.... Za siku[emoji4]