Trump ni kama yule Mteja kwenye Mgahawa (asiye na staha) anayepayuka payuka na kuongea kwa Sauti huku akiwakera Walaji wengine

Trump ni kama yule Mteja kwenye Mgahawa (asiye na staha) anayepayuka payuka na kuongea kwa Sauti huku akiwakera Walaji wengine

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Ni kama Scenario ya Mgahawa..., kuna wateja wamekuja kuburudika sisi kama dunia (wenye mgahawa) kwa busara zetu tunajua wateja wote ni wafalme.., sasa kuna huyu mteja mmoja analeta sintofahamu ambapo kwa kauli zake ambazo zinafanya wengine wakereke, na washindwe kuendelea na mambo yao kama awali. Ukweli ni kwamba mgahawa sasa hivi upo katika sintofahamu

Urusi ni kama mteja fulani ambaye watu walishamuona kwamba ni mkorofi (iwe kweli au uongo) ingawa na yeye anaendelea kula nyama kimya kimya ila kuna wengine wanapenda sana kumsema vibaya na wanasema anakomba nyama za majirani zake lakini yeye hapigi sana kelele (na hapo nyuma kumbuka) hata USA ni mkomba mboga ila yeye alijua kula na vipofu kwahio wengi hawakulitambua hilo (yaani alikuwa mjanja mjanja)

Mchina ni kama mteja ambaye yeye haongei anakula zake nyama polepole tena nyingine za kutoka jikoni kabisa; wakati wengine wanapiga kelele na wengine wanalalamika kimya kimya kuhusu mpiga kelele yeye anatumia muda huo kula nyama

Ulaya ni kama wale wateja ambao ingawa wanakereka na mara nyingine kutemewa mate na mpayukaji ambaye akiongea hata kuna vimate mate anavitema wapo kimya tu wanashangaa...

Huku Mataifa mengine yaliyobaki wao wanalalamika kwanini huyu anaongea sana badala ya kula sababu kwa kula kwake kuna makombo yangeanguka na wao wangekula...., watu hawa hawajui kwamba kumbe nyama ya zile ng'ombe nyingine zinatoka kwao hivyo wangekuwa na busara wangechinja huyo ng'ombe kabla ya kumsafirisha....

Kwa maono yangu mteja anayenufaika hapa ni yule mchina anayeendelea kula wakati wengine wanashangaa shangaa, vilevile USA pia hafaidiki sababu hapo nyuma marais wengine walijua kula na vipofu (kimya kimya) huku wakitupa vimakombo huku na kule..., huyu anawagusa mkono vipofu hivyo kuwashitua na huenda kula yake ikapungua...
 
Ni kama Scenario ya Mgahawa..., kuna wateja wamekuja kuburudika sisi kama dunia (wenye mgahawa) kwa busara zetu tunajua wateja wote ni wafalme.., sasa kuna huyu mteja mmoja analeta sintofahamu ambapo kwa kauli zake ambazo zinafanya wengine wakereke, na washindwe kuendelea na mambo yao kama awali. Ukweli ni kwamba mgahawa sasa hivi upo katika sintofahamu

Urusi ni kama mteja fulani ambaye watu walishamuona kwamba ni mkorofi (iwe kweli au uongo) ingawa na yeye anaendelea kula nyama kimya kimya ila kuna wengine wanapenda sana kumsema vibaya na wanasema anakomba nyama za majirani zake lakini yeye hapigi sana kelele (na hapo nyuma kumbuka) hata USA ni mkomba mboga ila yeye alijua kula na vipofi kwahio wengi hawakulitambua hilo (yaani alikuwa mjanja mjanja)

Mchina ni kama mteja ambaye yeye haongei anakula zake nyama polepole tena nyingine za kutoka jikoni kabisa wengine wanapiga kelele wengine walalamika na mpiga kelele yeye anatumia muda huo kula nyama

Ulaya ni kama wale wateja ambao ingawa wanakereka na mara nyingine kutemewa mate na mpayukaji ambaye akiongea hata kuna vimate mate anavitema wapo kimya tu wanashangaa...

Huku Mataifa mengine yaliyobaki wao wanalalamika kwanini huyu anaongea sana badala ya kula sababu kwa kula kwake kuna makombo yangeanguka na wao wangekula...., watu hawa hawajui kwamba kumbe nyama ya zile ng'ombe nyingine zinatoka kwao hivyo wangekuwa na busara wangechinja huyo ng'ombe kabla ya kumsafirisha....

Kwa maono yangu mteja anayenufaika hapa ni yule mchina anayeendelea kula wakati wengine wanashangaa shangaa, vilevile USA pia hafaidiki sababu hapo nyuma marais wengine walijua kula na vipofu (kimya kimya) huku wakitupa vimakombo huku na kule..., huyu anawashika mkono vipofu hivyo kuwashitua na huenda kula yake ikapungua...
Mkuu kama una GRIDI YA TAIFA jiandae kununua zile NJAGU za kumeza kila siku.
 
Amemkera nani na kwenye nini?
Sio tu kwamba Kauli zake ni tete bali anaweza kuamka asubuhi na kuamua kuongea lolote hata kama haliwezekani (ili mradi tu base yake ione kwamba amefanya jambo) Nchi ni Machinery yenye vitu vingi vingi ambavyo vinahitaji muda wa ku plan long term; huwezi ku plan long term bila kujua chizi pale Ikulu kesho atasema nini case in Point; issue za Panama, Issue za kutisha watu na Tariff kwamba lazima uwaunge mkono n.k. (Sio kwamba marais wa nyuma walikuwa hawafanyi ila walifanya kimya kimya; mfano ni Biden ndio aliban CHIP ambazo zinafaa kwa AI kwenda China) na hilo lime backfire kwa wachina kutumia alternative cheaply iliyowafanya waje na AI cheaper (proving my point kula nyama kimya kimya)

 
Mkuu kama una GRIDI YA TAIFA jiandae kununua zile NJAGU za kumeza kila siku.
Myopic thinking in the long run hili ni kwa faida ya dunia WHO kweli iwe WHO na sio USA appendage na watu wajifunze kujitegemea..., mbili mimi naongelea issue kubwa kubwa mfano issue kama za Mazingira ambapo jamaa anajikita kwenye consipiracy theories badala ya facts kwamba hakuna Global Warming na anataka kurudi kwenye mambo ya Coal n.k..., ndio huyu huyu aliitoa USA kwenye Paris Accord...; Kwahio kama navyosema wacha iendelee kunyesha na dunia itambue kwamba ni bora kwenda pamoja kuliko peke yako ila kama yule mliyedhani mnakwenda nae iwapo akiamua kusimama haimaanishi na nyie msimame
 
Sio tu kwamba Kauli zake ni tete bali anaweza kuamka asubuhi na kuamua kuongea lolote hata kama haliwezekani (ili mradi tu base yake ione kwamba amefanya jambo) Nchi ni Machinery yenye vitu vingi vingi ambavyo vinahitaji muda wa ku plan long term; huwezi ku plan long term bila kujua chizi pale Ikulu kesho atasema nini case in Point; issue za Panama, Issue za kutisha watu na Tariff kwamba lazima uwaunge mkono n.k. (Sio kwamba marais wa nyuma walikuwa hawafanyi ila walifanya kimya kimya; mfano ni Biden ndio aliban CHIP ambazo zinafaa kwa AI kwenda China) na hilo lime backfire kwa wachina kutumia alternative cheaply iliyowafanya waje na AI cheaper (proving my point kula nyama kimya kimya)

Hizo stori za machinery sijui mambo mengi ni stori tu ambazo wewe umelishwa miaka na miaka ikaziamini sasa akija mwingine akafanya tofauti lazima utapata shida.

Trump yuko na watu makini wanaojua wanafanya nini.
 
Ni kama Scenario ya Mgahawa..., kuna wateja wamekuja kuburudika sisi kama dunia (wenye mgahawa) kwa busara zetu tunajua wateja wote ni wafalme.., sasa kuna huyu mteja mmoja analeta sintofahamu ambapo kwa kauli zake ambazo zinafanya wengine wakereke, na washindwe kuendelea na mambo yao kama awali. Ukweli ni kwamba mgahawa sasa hivi upo katika sintofahamu

Urusi ni kama mteja fulani ambaye watu walishamuona kwamba ni mkorofi (iwe kweli au uongo) ingawa na yeye anaendelea kula nyama kimya kimya ila kuna wengine wanapenda sana kumsema vibaya na wanasema anakomba nyama za majirani zake lakini yeye hapigi sana kelele (na hapo nyuma kumbuka) hata USA ni mkomba mboga ila yeye alijua kula na vipofi kwahio wengi hawakulitambua hilo (yaani alikuwa mjanja mjanja)

Mchina ni kama mteja ambaye yeye haongei anakula zake nyama polepole tena nyingine za kutoka jikoni kabisa wengine wanapiga kelele wengine walalamika na mpiga kelele yeye anatumia muda huo kula nyama

Ulaya ni kama wale wateja ambao ingawa wanakereka na mara nyingine kutemewa mate na mpayukaji ambaye akiongea hata kuna vimate mate anavitema wapo kimya tu wanashangaa...

Huku Mataifa mengine yaliyobaki wao wanalalamika kwanini huyu anaongea sana badala ya kula sababu kwa kula kwake kuna makombo yangeanguka na wao wangekula...., watu hawa hawajui kwamba kumbe nyama ya zile ng'ombe nyingine zinatoka kwao hivyo wangekuwa na busara wangechinja huyo ng'ombe kabla ya kumsafirisha....

Kwa maono yangu mteja anayenufaika hapa ni yule mchina anayeendelea kula wakati wengine wanashangaa shangaa, vilevile USA pia hafaidiki sababu hapo nyuma marais wengine walijua kula na vipofu (kimya kimya) huku wakitupa vimakombo huku na kule..., huyu anawashika mkono vipofu hivyo kuwashitua na huenda kula yake ikapungua...
Ulaya ni mteja yule ambaye ameletwa na mteja anayepayuka ambaye akisimama tu naye anasimama maana aliyemleta ndiye mlipa bill inafaa kujichekesha hata kama hakubaliani na mteja mlipa bill hadi sometimes naye anatishiwa lakini hasemi.
 
Kakera wateja wànaokula kwenye mgahawa wa ARVs.
Hilo la ARVs mbona ni zuri.., ili watu wajitayarishe wakijua kwamba lolote linaweza kutokea wakati wowote hivyo wasitegemee vitu kutoka huko; pia kama formulas zinajulikana ifike wakati watu waweze kutengeneza brands zao...; La kukera ni kupayuka na kuamka asubuhi au kuangalia News (FOX NEWS, kina Hannity) na kuamka asubuhi na kupayuka..., achelewi kusema watu fulani wanakula mifugo ya watu; au keshokutwa tutajitoa kwenye makubaliano ya kuacha kuharibu mazingira (sababu tu kamuona fulani kwenye news anasema Mazingira ni Consipiracy)
 
Hizo stori za machinery sijui mambo mengi ni stori tu ambazo wewe umelishwa miaka na miaka ikaziamini sasa akija mwingine akafanya tofauti lazima utapata shida.

Trump yuko na watu makini wanaojua wanafanya nini.
Huyu Trump aliye makini ndio alishauri watu wajidunge disinfectants ili waweze kuua Corona ?; Hivi wewe unamjua Trump au unamsikia kwenye vijiwe vya Gahawa....; Huyu huyu Trump mtakatishaji fedha ?; Trump yupo pale kwa ajili ya his personal welfare na kampuni zake; kila anachofanya ni kwa ajili ya manufaa yake binafsi
 
Kwamba hapo mghahawani mlizoea kulipiwa kila siku na familia yake, yaani nyie mnakwenda kujazana mghahawani kwenda kula na kunywa na bill kwa familia yake, leo kapewa kuongoza familia yake na tangazo lake la kwanza ni kwamba, "SITOI TENA OFFER kwa yeyote, ukiingia mghahawani, jilipie, mimi silipi" hilo tangazo ndio unaliita kelele? How? Africa tulizoea vibaya; tujitegemee, imetosha
 
Hizo stori za machinery sijui mambo mengi ni stori tu ambazo wewe umelishwa miaka na miaka ikaziamini sasa akija mwingine akafanya tofauti lazima utapata shida.

Trump yuko na watu makini wanaojua wanafanya nini.
Huyu Trump aliye makini ndio alishauri watu wajidunge disinfectants ili waweze kuua Corona ?; Hivi wewe unamjua Trump au unamsikia kwenye vijiwe vya Gahawa....; Huyu huyu Trump mtakatishaji fedha ?; Trump yupo pale kwa ajili ya his personal welfare na kampuni zake, Ndio maana hata wale watu waliovamia Bunge wote aliwaachia kipindi tu ameingia (sababu tu ni supporters wake bila kuangalia walichofanya)
 
Kwamba hapo mghahawani mlizoea kulipiwa kila siku na familia yake, yaani nyie mnakwenda kujazana mghahawani kwenda kula na kunywa na bill kwa familia yake, leo kapewa kuongoza familia yake na tangazo lake la kwanza ni kwamba, "SITOI TENA OFFER kwa yeyote, ukiingia mghahawani, jilipie, mimi silipi" hilo tangazo ndio unaliita kelele? How? Africa tulizoea vibaya; tujitegemee, imetosha
Again myopic thinking na ndio maana nimesema mwisho kuna wale wanaolalamika kwanini anapiga kelele hivyo hadondoshi makombo na wao wale (ukizingatia kwamba hayo makombo baadhi ya hao ng'ombe kawaiba kutoka shambani kwa hao wanaolalamika hatupi makombo hivyo wangeweza kujipikia steak ya kutosha); kelele nazoongelea mimi ni vitu kama tavamia Panama; Vitu kama kujitoa Paris Accord; Vitu kama usipoweka kiwanda kwetu tutakupiga tariff za kufa mtu.., ukizingatia USA amekuwa akifaidika hata tu kwa ulimwengu kutumia Dollar..; Kwahio hios sio OFFER wala FREE hakuna kitu cha bure Dunia hii, Ukiitwa kwenye Fursa wewe ndio Fursa...


 
Ni kama Scenario ya Mgahawa..., kuna wateja wamekuja kuburudika sisi kama dunia (wenye mgahawa) kwa busara zetu tunajua wateja wote ni wafalme.., sasa kuna huyu mteja mmoja analeta sintofahamu ambapo kwa kauli zake ambazo zinafanya wengine wakereke, na washindwe kuendelea na mambo yao kama awali. Ukweli ni kwamba mgahawa sasa hivi upo katika sintofahamu

Urusi ni kama mteja fulani ambaye watu walishamuona kwamba ni mkorofi (iwe kweli au uongo) ingawa na yeye anaendelea kula nyama kimya kimya ila kuna wengine wanapenda sana kumsema vibaya na wanasema anakomba nyama za majirani zake lakini yeye hapigi sana kelele (na hapo nyuma kumbuka) hata USA ni mkomba mboga ila yeye alijua kula na vipofu kwahio wengi hawakulitambua hilo (yaani alikuwa mjanja mjanja)

Mchina ni kama mteja ambaye yeye haongei anakula zake nyama polepole tena nyingine za kutoka jikoni kabisa wengine wanapiga kelele wengine walalamika na mpiga kelele yeye anatumia muda huo kula nyama

Ulaya ni kama wale wateja ambao ingawa wanakereka na mara nyingine kutemewa mate na mpayukaji ambaye akiongea hata kuna vimate mate anavitema wapo kimya tu wanashangaa...

Huku Mataifa mengine yaliyobaki wao wanalalamika kwanini huyu anaongea sana badala ya kula sababu kwa kula kwake kuna makombo yangeanguka na wao wangekula...., watu hawa hawajui kwamba kumbe nyama ya zile ng'ombe nyingine zinatoka kwao hivyo wangekuwa na busara wangechinja huyo ng'ombe kabla ya kumsafirisha....

Kwa maono yangu mteja anayenufaika hapa ni yule mchina anayeendelea kula wakati wengine wanashangaa shangaa, vilevile USA pia hafaidiki sababu hapo nyuma marais wengine walijua kula na vipofu (kimya kimya) huku wakitupa vimakombo huku na kule..., huyu anawashika mkono vipofu hivyo kuwashitua na huenda kula yake ikapungua...
Kinachotakiwa ni sisi kujitegemea, tuache uombaomba
 
Kinachotakiwa ni sisi kujitegemea, tuache uombaomba
Naam na ndio maana nimesema....

Huku Mataifa mengine yaliyobaki wao wanalalamika kwanini huyu anaongea sana badala ya kula sababu kwa kula kwake kuna makombo yangeanguka na wao wangekula...., watu hawa hawajui kwamba kumbe nyama ya zile ng'ombe nyingine zinatoka kwao hivyo wangekuwa na busara wangechinja huyo ng'ombe na wangekula vidali na steak badala ya ngozi na kwato...

Ila kuna mambo ambayo yanatuathiri wote, mfano anaposema atavamia Pamana kama wasiposhusha bei au alivyojitoa last time Paris Accord (ambayo ni mataifa yote yaliungana ili kuhakikisha hakuna uharibifu wa mazingira) hilo ni kwamba hata tukijitegemea kelele zake bado zitatukera...
 
Back
Top Bottom