Trump: Tutaweka utaratibu mzuri wa Kisheria kuwarinda wanaume na mali zao pale ndoa inapovunjika

Trump: Tutaweka utaratibu mzuri wa Kisheria kuwarinda wanaume na mali zao pale ndoa inapovunjika

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Haiwezekani mwanaume awe ametumia miaka mingi kujenga utajiri wake, kisha mwanamke aingie kwenye ndoa, afanye madudu, na mwisho wa siku atoke na nusu ya mali za mwanaume huyo utawekwa utaratibu mzuri ili kuwalinda Wanaume" :- Rais wa Marekani Donald Trump

Komesha ya Wanawake Wenye tamaa ya Mali na Pesa walizochuma wanaume, mwanamke anaingia kwenye ndoa baada ya mda anaanza visa na mwisho anadai taraka ili wagawane mali nusu kwa nusu
20250125_130825.jpg
 
Yaani huyu ni bangosha kasoro rangi tu... R.I.P J.P.M
 
Back
Top Bottom