Trust me or Not: Mwanaume anaendesha ndinga ndo Mchawi wa Totoz

Trust me or Not: Mwanaume anaendesha ndinga ndo Mchawi wa Totoz

MoroGent

Member
Joined
Jan 10, 2018
Posts
84
Reaction score
343
Habari wakuu,

[emoji28][emoji28][emoji28] Hapo kwanza ncheke. Ee bana leo nipo mitaa ya Kasulu, Kigoma hiyo nimekuja kutembea, nipo Lodge moja apa inaitwa China lodge.

Sasa kisa kiko ivi[emoji1787] Nimetoka jioni jion mida ya saa moja kunyosha miguu maana nimekaa ndani toka saa 9 jioni.

Wakati nipo pembezoni mwa lami nachat chat na kula mziki wa apa na pale kabla sijaenda pub kupata Konyagi yangu, ghafla bin vuu nikakutana na pisi moja kali imesimamia Ukucha mzee.

Tukawz tunapishana hivi Duh
Nikamsalimia dada mambo akasema poa, nikamuomba asimame tusalimiane vizuri ikiwa ni pamoja na kumdenda nione km atanipa contact nimdende mbususu baadae akasema nina haraka, basi nikaona isiwe kwere nikampotezea.

Baada ya dakika 1 tu nikapishana na gari aina ya Corora ivi km tax tax ivi, nimeachana na demu km lets say mita 50 umbali, dereva kamuona yule demu, akavuta ndinga pembeni upande wa demu kaanza kuuongelesha dem kasimama na gari ikasimama.

Nikastop kuona km je demu atapanda. Mara Demu akaanza kusepa, jamaa kawasha moto tena kumsogelea mbele na ndiga, demu kasimama tena.

Mara vuu, demu si akapanda kwenye ndiga, jamaa kawasha chjma wakatembea zao, sijui waliko nao km hachezei mkuyenge.

Nikabaki natoa macho tu, nikawaza ningebeba ndinga huyu demu nilikuwa nang'oa. Nikaendelea kugonga kwa ngondi. Mwisho nikarudi room.

Sasa hivi napiga zangu Konyagi Infinity Pub[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tafuta ela, nunua ndinga, uopoe watoto wazuri.

The Devil is Real guys
 
1000123438.jpg
 
Habari wakuu,

[emoji28][emoji28][emoji28] Hapo kwanza ncheke.
moji1787][emoji1787][emoji1787]
Tafuta ela, nunua ndinga, uopoe watoto wazuri.

The Devil is Real guys
Akili za wanachuo hizi
 
Habari wakuu,

[emoji28][emoji28][emoji28] Hapo kwanza ncheke.
Ee bana leo nipo mitaa ya Kasulu, Kigoma hiyo nimekuja kutembea, nipo Lodge moja apa inaitwa China lodge.

Sasa kisa kiko ivi[emoji1787]
Nimetoka jioni jion mida ya saa moja kunyosha miguu maana nimekaa ndani toka saa 9 jioni.

Wakati nipo pembezoni mwa lami nachat chat na kula mziki wa apa na pale kabla sijaenda pub kupata Konyagi yangu, ghafla bin vuu nikakutana na pisi moja kali imesimamia Ukucha mzee.

Tukawz tunapishana hivi Duh
Nikamsalimia dada mambo akasema poa, nikamuomba asimame tusalimiane vizuri ikiwa ni pamoja na kumdenda nione km atanipa contact nimdende mbususu baadae akasema nina haraka, basi nikaona isiwe kwere nikampotezea.

Baada ya dakika 1 tu nikapishana na gari aina ya Corora ivi km tax tax ivi, nimeachana na demu km lets say mita 50 umbali, dereva kamuona yule demu, akavuta ndinga pembeni upande wa demu kaanza kuuongelesha dem kasimama na gari ikasimama.

Nikastop kuona km je demu atapanda. Mara Demu akaanza kusepa, jamaa kawasha moto tena kumsogelea mbele na ndiga, demu kasimama tena.

Mara vuu, demu si akapanda kwenye ndiga, jamaa kawasha chjma wakatembea zao, sijui waliko nao km hachezei mkuyenge.

Nikabaki natoa macho tu, nikawaza ningebeba ndinga huyu demu nilikuwa nang'oa. Nikaendelea kugonga kwa ngondi. Mwisho nikarudi room.

Sasa hivi napiga zangu Konyagi Infinity Pub[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tafuta ela, nunua ndinga, uopoe watoto wazuri.

The Devil is Real guys
 
Mtu ujikinye ununue gari eti ili upandishe madem ukawale, Mungu anibariki na mimi Yaani Gari yangu hatopanda malaya oote pumbav
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wazungu wanawala sana hawa madada njaa tena Mzungu haji na Gari anakuja na lugha tu demu wako anafikiria dollars
Wazungu wenyewe hawa watu wa kusema lete projects, lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siwezi kununua gari kwa kupandisha Malaya sio tu ntamkosea Mungu ila pia kwangu huo ni uchafu maana mimi gari au nyumba au kitu chochote kinachoweza nifanya niishi vizuri siwezi kukifanyia uchafu. Hivyo yaani.
 
Siwezi kununua gari kwa kupandisha Malaya sio tu ntamkosea Mungu ila pia kwangu huo ni uchafu maana mimi gari au nyumba au kitu chochote kinachoweza nifanya niishi vizuri siwezi kukifanyia uchafu. Hivyo yaani.

Mwili wako pia ni sehem ya vitu vinavyokufanya uishi vizuri?
 
Habari wakuu,

[emoji28][emoji28][emoji28] Hapo kwanza ncheke. Ee bana leo nipo mitaa ya Kasulu, Kigoma hiyo nimekuja kutembea, nipo Lodge moja apa inaitwa China lodge.

Sasa kisa kiko ivi[emoji1787] Nimetoka jioni jion mida ya saa moja kunyosha miguu maana nimekaa ndani toka saa 9 jioni.

Wakati nipo pembezoni mwa lami nachat chat na kula mziki wa apa na pale kabla sijaenda pub kupata Konyagi yangu, ghafla bin vuu nikakutana na pisi moja kali imesimamia Ukucha mzee.

Tukawz tunapishana hivi Duh
Nikamsalimia dada mambo akasema poa, nikamuomba asimame tusalimiane vizuri ikiwa ni pamoja na kumdenda nione km atanipa contact nimdende mbususu baadae akasema nina haraka, basi nikaona isiwe kwere nikampotezea.

Baada ya dakika 1 tu nikapishana na gari aina ya Corora ivi km tax tax ivi, nimeachana na demu km lets say mita 50 umbali, dereva kamuona yule demu, akavuta ndinga pembeni upande wa demu kaanza kuuongelesha dem kasimama na gari ikasimama.

Nikastop kuona km je demu atapanda. Mara Demu akaanza kusepa, jamaa kawasha moto tena kumsogelea mbele na ndiga, demu kasimama tena.

Mara vuu, demu si akapanda kwenye ndiga, jamaa kawasha chjma wakatembea zao, sijui waliko nao km hachezei mkuyenge.

Nikabaki natoa macho tu, nikawaza ningebeba ndinga huyu demu nilikuwa nang'oa. Nikaendelea kugonga kwa ngondi. Mwisho nikarudi room.

Sasa hivi napiga zangu Konyagi Infinity Pub[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tafuta ela, nunua ndinga, uopoe watoto wazuri.

The Devil is Real guys
Corolla iliyoko kasulu haiwezi kukwalifai kuitwa ndinga,
 
Mbona hata sisi Bodaboda vidredi tunang'oa sana pisi zenye njaa kama hzo

Sema ndio hivyo hatuvimbi Wala Nini na hela hatuna😁
 
Back
Top Bottom