Try Again: Nitaongea na Rais tumnase Adebayor

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
"Huyu ni mchezaji mzuri sana, niliongea na Rais wa USGN πŸ‡³πŸ‡ͺ akaniambia yupo hapa kwa Mkopo akitokea Denmark πŸ‡©πŸ‡°, huyu si mchezaji wa kurudi Denmark anatakiwa kucheza Simba Sc, nitaongea na Rais tuvunje benki"
Salim Abdallah (Try Again)

Adebayor mwenyewe akihojiwa na Patrick Nyembela amesema yupo tayari kwani Simba ni timu kubwa Africa.
 
Kwani na yule Junior Lokossa yuko wapi! Acheni mihemko bhana. Sisi mashabiki bado tuna imani na wasahambuliaji wetu watatu; Bocco, Mugalu na Mk14!

Hizo hela za kumsajili huyo Adebayor wenu, bora zingetolewa kama motisha kwa hawa washambuliaji wetu watatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…