The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Rage ajengewe mnaraHuyu Try Again ni kichaa,Yaan mtu akusifie unacheza vizuri nanumetolewa mapemaaa ,Hana Akili kabisaaaa
Nakunya hapa nilipo hadi kimara... [emoji134] | π¦ππ ππ πππππ π¬π π ππ πππ’ππ
"Nilipokuwa VIP kwenye fainali ya AFRICAN FOOTBALL LEAGUE, Raisi wa FIFA Gianni Infantino aliniambia timu yenu (Simba SC) inacheza mpira mzuri zaidi ya wanaocheza Mamelodi Sundowns[emoji1221] na Wydad Casablanca [emoji1173] kwenye AFL"
[emoji2399] Salim Abdallah (Try Again)
Kupitia Azam sports 2 hd
Ndicho alimaanisha hyu jaribu tenaNgoja tufanye hesabu za cross multiplication
Simba anacheza vizuri kuliko waydad, mamelodi na Al ahly
Simba anayecheza vizuri.....kagongwa 5....1 na Yanga
There fore Yanga ndo mbabe wa wote Kati ya wydad Casablanca, kolo, Al ahly na mamelodi
Mathematically
Wydad + mamelodi + kolo + Al ahly = Yanga
Inawezekana pia try Tena kakumbwa na tatizo la Afya ya Akili....haya Mambo ya BAO Tano huwa yanasumbua sana Ubongo....[emoji41]Rais wa FIFA ana utu sana anajua kufariji wagojwa
Sio kwamba ana dharau?Rais wa FIFA ana utu sana anajua kufariji wagojwa
Kwa navomjua vizuri infantino, tangu tunasoma alikuwa anapenda sana jokes pale shuleni, kumbe bado hajaacha tu. Jamaa ni mcheshi sana... π | π¦ππ ππ πππππ π¬π π ππ πππ’ππ
"Nilipokuwa VIP kwenye fainali ya AFRICAN FOOTBALL LEAGUE, Raisi wa FIFA Gianni Infantino aliniambia timu yenu (Simba SC) inacheza mpira mzuri zaidi ya wanaocheza Mamelodi SundownsπΏπ¦ na Wydad Casablanca π²π¦ kwenye AFL"
Β©οΈ Salim Abdallah (Try Again)
Kupitia Azam sports 2 hd
Wajomba waongo sana hawa.....