Eliud Bunju
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 356
- 666
Akpan yupoHebu kuwa mkweli, acha kulaumu watu, tatizo la simba ni dimba la kati, no 6 hakuna., kingine chama alitolewa kwann?
hatujamaliza hatujamaliza mlete mdhunguu mlete mdhunguu uyo apo mdhunguu[emoji23][emoji23]Wakuu,
Huu uongozi umeshindwa kuwafunga Yanga, wakubali hatuwezi kuishi bila kuwafunga Yanga. Wajiuzulu tupate watu wenye mipango mipya.
Kufungwa na Yanga ni aibu isiyo na excuse! Ni kama wamejua mlango wa kudeal na sisi na tumeshindwa kuufunga. Sasa tufukuze viongozi, sio kocha, sio wachezaji! Hakuna raha bila kuwafunga Yanga!
Officially tumekuwa wateja wa Yanga! Hii aibu hii ni mwisho kuivumilia! Simba tufanye mabadiliko! No excuse!
Tukavamie ofisi ile tuwatoe tuandamane hakuna kocha pale na viongoziViongozi wamekuwa na a lot of excuses! Sasa tudeal na viongozi! Wamefeli na uvumilivu wetu umefika mwisho game hii! We are done! Kesho mapema mjiuzuru kabla mashabiki hawajaamua hatma ya timu.
Unatuuliza sisi kwani sisi ndio kocha?Hebu kuwa mkweli, acha kulaumu watu, tatizo la simba ni dimba la kati, no 6 hakuna., kingine chama alitolewa kwann?
Naunga mkono hojaTukavamie ofisi ile tuwatoe tuandamane hakuna kocha pale na viongozi
Mmmmh sio sahihi sana.Akpan yupo
Kwan nimekuuliza wee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Unatuuliza sisi kwani sisi ndio kocha?
Mpeni kolokwini huyu [emoji23][emoji23]
Hahaaa ugweeeYaani Simba mkifungwaga tu mnaanza maneno na kufukuzisha viongozi, mnataka mfunge nyie tu, kubalini kushindwa sometimes. Mlivyowafunga wale wanakwaya St. George mkajionaaa.
Sasa ww kwa mawazo yako una kikosi gani Cha maana Cha kuweza kuifunga Yanga hii masikini ya Mungu🤔🤔.. kama ulishindwa msimu wa 2019,2020 ndo utaweza Sasa na uimara huu wa Yanga..?Sawa mkuu lakini kwa kupigwa huku na utopolo mfululizo hapana bora upoteze na Ihefu..
Poleni wana simbaHebu kuwa mkweli, acha kulaumu watu, tatizo la simba ni dimba la kati, no 6 hakuna., kingine chama alitolewa kwann?
Yanga ikiwa imara kwenye uongozi makolo hamuwezi kuifunga hata miaka 100,maana kolo hawawezi kuifunga Yanga bila kuhonga wachezaji au kuwe na mgogoro,mlituona wajinga sana baada ya kutufunga 4 za mchongo tukaacha nusu na robo ya wachezaji wengi wao walikua maduka yenu wakiingozwa na yondani na j abdul,jiandaeni na tena na tena na tenaWakuu,
Huu uongozi umeshindwa kuwafunga Yanga, wakubali hatuwezi kuishi bila kuwafunga Yanga. Wajiuzulu tupate watu wenye mipango mipya.
Kufungwa na Yanga ni aibu isiyo na excuse! Ni kama wamejua mlango wa kudeal na sisi na tumeshindwa kuufunga. Sasa tufukuze viongozi, sio kocha, sio wachezaji! Hakuna raha bila kuwafunga Yanga!
Officially tumekuwa wateja wa Yanga! Hii aibu hii ni mwisho kuivumilia! Simba tufanye mabadiliko! No excuse!
Tena huku wanatetemaaaa🤣🤣🤣Wanawake wote washabiki wa simba humu andikeni kwa bold (Mayele nakojoaa)
@cocastic 😂😂😂😂😂😂Wanawake wote washabiki wa simba humu andikeni kwa bold (Mayele nakojoaa)
Yanga walichokifanya wameziba mianya ya kuwalaghai wachezaji waoYes..kuna tatizo mahali, tatizo kubwa sn
Ni kama yanga wamejua wapi lilipo tundu letu,wanaweka Uzi hata wakifummba macho bila kupata shida yoyote
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app