Tsh.50,000 kwa Tsh.500,000 na Tecno spark 5pro, pre oder sasa!

JF hapa kila mtu tajiri, ila wengi wao ukikutana nao utawahurumia maana ni tofauti na wanavyojinasibu humu.
Ukweli mkuu, utakuta mtu anaiponda tecno nyuma ya keyboard ilihali ndiyo inayomwezesha aingie jf.

Nchi masikini Kama zetu hizi halafu anaibuka mtu anataka aonekane kisa anamiliki Samsung ya Tshs 380,000/= so sad[emoji6]
 
Kwahiyo mnataka wote tutumie tecno sio?🤪 We miliki tecno kimpango wako,yani kelele zote hizi ni kwasababu ya mdau mmoja hapo juu kuuliza kama tecno nazo ni simu🤔?
 
Camera mkuu kwa tecno pia siku hizi wapo juu, wameboresha sna, chaji ndio usiseme ukichaji ikajaa vzr unasahau
Camera tecno ukipiga kwa simu yako unaona iko vizuriiii tuma hizo picha au video kwa simu za duniani
Mbona unanimezesha fikira zako jamaa???
 
Camera mkuu kwa tecno pia siku hizi wapo juu, wameboresha sna, chaji ndio usiseme ukichaji ikajaa vzr unasahau
Yeah nimeona wametoa matokeo kadhaa ya simu zenye megapixels nyingi,wanajitahidi Ila ndohivyo mkuu kila mtu na dreams zake.
 

Atakua ana shida mahali huyo 😂😂
Tecno anazipenda lakini zikichambuliwa uhalisia anatukana watu
Mara umaskini sijui yanatoka wapi kama kweli yuko proud kutumia simu hizo
 
Hiyo iPhone yako nadhani ingekuwa vyema ungekuwa unajigamba kwa kuwa uliitengeneza mwenyewe [emoji23][emoji23]

Ila Kama unatumia simu ya kutoka ng'ambo huna tofauti na mwenye itel.

Wote Ni wategemezi wa maarifa ya nje, akili mbadala hakuna, watu wana mambo ya maana na siyo hizo iPhone za Beijing na Hong Kong [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nachotaka kusema: jifunzeni kuheshimu watu na vitu vyao, Ni maamuzi yao!
 
Kwahiyo mnataka wote tutumie tecno sio?[emoji2957] We miliki tecno kimpango wako,yani kelele zote hizi ni kwasababu ya mdau mmoja hapo juu kuuliza kama tecno nazo ni simu[emoji848]?
Nilimjibu vizuri Sana halafu wewe ukaanza blah blah!

Case closed!
 
Kwani hao walioko ng'ambo wote wanajua kutengeneza simu? Wewe imekosa hoja,sasa umeanza kuifunua roho yako ya kichawi hapa.Yani unalazimisha kunichukia kisa kumili iPhone? 🤔
 
Kabisa!!! Ukweli lazima usemwe ataenuna na anune tu 😂
Nahisi huyu Saguda47 ndie muasisi wa huu uzi wa simu za tecno kupitia ID yake nyingine, hivyo hoja zetu hapa ni kama mwiba kwake.
Haiwezekani swala la kuujadili ubora wa Tecno, limguse kiasi hiki.
 
Nahisi huyu Saguda47 ndie muasisi wa huu uzi wa simu za tecno kupitia ID yake nyingine, hivyo hoja zetu hapa ni kama mwiba kwake.
Haiwezekani swala la kuujadili ubora wa Tecno, limguse kiasi hiki.
Yawezekana kabisa maana anajibu kutoka ndani ya moyo kabisa kama tecno mtengenezaji ni yeye😂
 
Seriously mtu ufanye order ya tecno
Tena preorder
Uchawi upo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Camera mkuu kwa tecno pia siku hizi wapo juu, wameboresha sna, chaji ndio usiseme ukichaji ikajaa vzr unasahau
Tatizo kubwa tuwachane humu humu lens za camera zao za simu zinapungua ubora kadri inavyopiga picha nyingi yani kwa sisi wazee wa picha 100+ kwa siku ni week mbili zinaanza kutoka picha za maziwa na mawingu wingu ila tecno ni mnyama aisee ila sio mkali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…