Ukweli mkuu, utakuta mtu anaiponda tecno nyuma ya keyboard ilihali ndiyo inayomwezesha aingie jf.JF hapa kila mtu tajiri, ila wengi wao ukikutana nao utawahurumia maana ni tofauti na wanavyojinasibu humu.
Kwahiyo mnataka wote tutumie tecno sio?🤪 We miliki tecno kimpango wako,yani kelele zote hizi ni kwasababu ya mdau mmoja hapo juu kuuliza kama tecno nazo ni simu🤔?Mkuu Kuna watu humu utakuta anajitutumua kuwa ana vitu vizuri ( wao wanasema original [emoji3][emoji3]) huku akiwaona wenzake wasio navyo Kama masikini Sana halafu yeye ndiye Mo.
Huyohuyo katika maisha ya kawaida Hana ajira, Hana hata kitanda yaani anakula na kulala kwao[emoji1787]
Kiufupi Tecno sio simu😂😅😅Ndio aina ya watumiaji watecno walivyo huwezikuta aliestaarabika wengi majibu yao ya hovyo kama vimulimuli vyao
Camera tecno ukipiga kwa simu yako unaona iko vizuriiii tuma hizo picha au video kwa simu za dunianiCamera mkuu kwa tecno pia siku hizi wapo juu, wameboresha sna, chaji ndio usiseme ukichaji ikajaa vzr unasahau
Mbona unanimezesha fikira zako jamaa???Vyovyote vile bibie, ukidhani wanaomiliki simu tofauti na tecno ndiyo wastarabu utakuwa huna shule kichwani. Ni sawa na kusema matajiri wote ni wema na Ni wachaMungu huki ukidai masikini wote Ni watenda dhambi na hawajastaarabika.
Unakosea Sana, najua kwa taifa la Tanzania watu wengi mna uchumi unaokaribiana ukitoa matajiri wachache, kujiona kwamba uko juu ya mmiliki wa tecno yeyote yule Ni kipimo dhaifu Sana na ni upungufu wa fikra chanya.
Yeah nimeona wametoa matokeo kadhaa ya simu zenye megapixels nyingi,wanajitahidi Ila ndohivyo mkuu kila mtu na dreams zake.Camera mkuu kwa tecno pia siku hizi wapo juu, wameboresha sna, chaji ndio usiseme ukichaji ikajaa vzr unasahau
Hakuna sehemu yoyote ile niliyokudharau wewe pamoja na tecno yako unayomiliki,kilichonifurahisha mimi ni jinsi ambavyo umemjia juu mkuu rubii baada ya kuhoji swala la tecno kuwa simu. Na hili tatizo la masikini kuhusu kudharauliwa kila muda sio lako tu, hivyo siwezi kulaumu.
Mimi natembea na kila toleo la iPhone😀, hata Sasa si muda mrefu nitakuwa na iPhone 12.
Hiyo iPhone yako nadhani ingekuwa vyema ungekuwa unajigamba kwa kuwa uliitengeneza mwenyewe [emoji23][emoji23]Hakuna sehemu yoyote ile niliyokudharau wewe pamoja na tecno yako unayomiliki,kilichonifurahisha mimi ni jinsi ambavyo umemjia juu mkuu rubii baada ya kuhoji swala la tecno kuwa simu. Na hili tatizo la masikini kuhusu kudharauliwa kila muda sio lako tu, hivyo siwezi kulaumu.
Mimi natembea na kila toleo la iPhone[emoji3], hata Sasa si muda mrefu nitakuwa na iPhone 12.
Nilimjibu vizuri Sana halafu wewe ukaanza blah blah!Kwahiyo mnataka wote tutumie tecno sio?[emoji2957] We miliki tecno kimpango wako,yani kelele zote hizi ni kwasababu ya mdau mmoja hapo juu kuuliza kama tecno nazo ni simu[emoji848]?
Camera tecno ukipiga kwa simu yako unaona iko vizuriiii tuma hizo picha au video kwa simu za duniani
Hiyo ndo hoja,kila mmoja apite na flavour zake.Ni kwavile hujawahi kutumia simu zingine tofauti na tekno. Kila mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake mkuu. Enjoy....
We bwana miliki Tecno yako,hakuna anaekubughuzi,Ila ndo hivyo ukweli juu ya ubora wa simu aina ya Tecno lazima usemwe.Nilimjibu vizuri Sana halafu wewe ukaanza blah blah!
Case closed!
Haya karibu kwetu mkuu[emoji120][emoji120]We bwana miliki Tecno yako,hakuna anaekubughuzi,Ila ndo hivyo ukweli juu ya ubora wa simu aina ya Tecno lazima usemwe.
Kabisa!!! Ukweli lazima usemwe ataenuna na anune tu 😂Kiufupi Tecno sio simu😂
Kwani hao walioko ng'ambo wote wanajua kutengeneza simu? Wewe imekosa hoja,sasa umeanza kuifunua roho yako ya kichawi hapa.Yani unalazimisha kunichukia kisa kumili iPhone? 🤔Hiyo iPhone yako nadhani ingekuwa vyema ungekuwa unajigamba kwa kuwa uliitengeneza mwenyewe [emoji23][emoji23]
Ila Kama unatumia simu ya kutoka ng'ambo huna tofauti na mwenye itel.
Wote Ni wategemezi wa maarifa ya nje, akili mbadala hakuna, watu wana mambo ya maana na siyo hizo iPhone za Beijing na Hong Kong [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nachotaka kusema: jifunzeni kuheshimu watu na vitu vyao, Ni maamuzi yao!
Nahisi huyu Saguda47 ndie muasisi wa huu uzi wa simu za tecno kupitia ID yake nyingine, hivyo hoja zetu hapa ni kama mwiba kwake.Kabisa!!! Ukweli lazima usemwe ataenuna na anune tu 😂
Yawezekana kabisa maana anajibu kutoka ndani ya moyo kabisa kama tecno mtengenezaji ni yeye😂Nahisi huyu Saguda47 ndie muasisi wa huu uzi wa simu za tecno kupitia ID yake nyingine, hivyo hoja zetu hapa ni kama mwiba kwake.
Haiwezekani swala la kuujadili ubora wa Tecno, limguse kiasi hiki.
Kwasababu hujui simuKati ya cm ambazo nazikubali sana na nazielewa basi namba moja ni tecno
Tatizo kubwa tuwachane humu humu lens za camera zao za simu zinapungua ubora kadri inavyopiga picha nyingi yani kwa sisi wazee wa picha 100+ kwa siku ni week mbili zinaanza kutoka picha za maziwa na mawingu wingu ila tecno ni mnyama aisee ila sio mkaliCamera mkuu kwa tecno pia siku hizi wapo juu, wameboresha sna, chaji ndio usiseme ukichaji ikajaa vzr unasahau
Dah nimechekaaa😂😂😂😂Seriously mtu ufanye order ya tecno
Tena preorder
Uchawi upo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]