So Chattle na Mwanza zote zitakuwa zakimataifa[emoji28]View attachment 1296264
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza hamna slums wwWarekwbishe na zile slums za milimani
Wewe lazima utakuwa unaishi katika moja ya hizi👇Mwanza hamna slums ww
Mtaongea saana kipindi hiki,wakati mawaziri wa mikoa ya kilimanjaro walipokua wakihujumu inchi na kwenda kuendeleza wilaya za kasikazini wala hamkupiga kelele,mfano david creopa msuya nenda mwanga kuna lami mbk vijijini,waziri mmoja wa fedha kutoka rombo kashiliki kuhujumu ATCL mradi tu ndege shilika lenu procision likue,kuna mengi mlioyafanya serikarini na kustawisha kasikazini lakini ss wa mikoa mingine tupo kimya.kuna mkoa gani uliouzidi kilimanjaro ukiachia dar,sasa ni zamu ya mikoa mengine nyie mmeshapewa train tulieni mwanza na kusini ijengwe,mmeanzisha chama cha siasa hili mpate ridhaa ya kuongoza mtupige vizuri,mungu yupo chama chenu cha kasikazini kipo njiani kufa subirini mwakani.Hilo kaambiwa na rafiki yake Kagame ili autumie uwanja huo kwa ndege zake na zile za ETIHAD ambao ameingia nao mkataba mnono. Sisi kama kawaida shamba la bibi.
Ata-rename jina na kuhamishia makao makuu ya mkoa Chatoiyo ni plan ya kurebuild Chato... fikra zanituma kua chato itakua mkoa soon
M
Mikoa yote ukiacha K’Njaro haiwezi kuendelea isipokuwa kwa upendeleo maalumu kutoka serikalini, cheki Dar, Pwani, Dod, Ntwala na sasa Mwanza. Mpaka tubebwe?
Hivi Mwanza kwenye kuendelea ilibebwa na nan?M
Mikoa yote ukiacha K’Njaro haiwezi kuendelea isipokuwa kwa upendeleo maalumu kutoka serikalini, cheki Dar, Pwani, Dod, Ntwala na sasa Mwanza. Mpaka tubebwe?
M
Mikoa yote ukiacha K’Njaro haiwezi kuendelea isipokuwa kwa upendeleo maalumu kutoka serikalini, cheki Dar, Pwani, Dod, Ntwala na sasa Mwanza. Mpaka tubebwe?
Kaskazini wanapiga magoti kanda ya ziwa..Mikoa ya kaskazin imeendelea kiuchumi na kielimu tangu enz za ukolon na sio Uhuru hata shule ni za watu binafsi nyingi ,Soma historian ya Tanganyika kabla ya uhuru
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi unazifananisha na zile za tandale kwa tumbo.Yale mashimo ya choo kule milimani ni kitu gani? Wewe lazima utakuwa unaishi katika moja ya hizi👇View attachment 1296305
Au kwa akili yako hizi siyo slums ni makaazi bora?
View attachment 1296307